litutumbwe
JF-Expert Member
- Mar 13, 2023
- 642
- 1,303
Kwema wandugu
Kuishi na watu kazi sana, kuishi na ndugu kazi sana
Huyu kijana wa shangazi yangu ni mhuni, mlevi, mvivu, si muwajibikaji na hana, nidhamu.
Namgharamia kwa vingi, kuanzia kumlisha, mavazi, malazi na kadhalika
Kazi nimemtafutia mimi, nilitumia jina langu apate kazi ingawa hakuwa na vigezo
Jana amekuja usiku hapa na kuanza kunitukana matusi ya nguoni akinituhumu kwa uongo kuwa namtaka mchumba wake, jambo ambalo ni uongo
Alikuja akiwa amelewa na ana kiboko mkononi ili anichape, oneni alivyo na laana kijana huyu
Akiwa kama mita 25 nje, niliweza kumuona, kutokana na taa za uani na alifunguliwa get na mlinzi kwa kuwa anajulikana hapa
Nikaona ameashika gongo, nikakumbuka yote niliyomfanyia na anayonilipa nikapata hasira sana
Nikiwa ndani bila kutegemea nikavuta pumzi kwa nguvu nikaivuta fimbo yake akiwa kule nje na nikamnyang'anya, nikaanza kumtandika mwenyewe mgongoni na mikononi huku nikiwa ndani
Kama haitoshi huku akiwa nje mimi ndani, nikamtapisha pombe yote na ghafla akili ikamrudi
Alishtuka kuona fimbo yake imemchapa mwenyewe ila hakujua ilikuwaje sababu alikuwa amelewa..
Mke wangu hakuamka alikuwa fofofo
Nimempa nafasi ya mwisho, othrwise next time ataamkia kituoni
Nipo naye hapa anakandwa na shemeji yake
Ndugu sina hamu nao kabisa
Kuishi na watu kazi sana, kuishi na ndugu kazi sana
Huyu kijana wa shangazi yangu ni mhuni, mlevi, mvivu, si muwajibikaji na hana, nidhamu.
Namgharamia kwa vingi, kuanzia kumlisha, mavazi, malazi na kadhalika
Kazi nimemtafutia mimi, nilitumia jina langu apate kazi ingawa hakuwa na vigezo
Jana amekuja usiku hapa na kuanza kunitukana matusi ya nguoni akinituhumu kwa uongo kuwa namtaka mchumba wake, jambo ambalo ni uongo
Alikuja akiwa amelewa na ana kiboko mkononi ili anichape, oneni alivyo na laana kijana huyu
Akiwa kama mita 25 nje, niliweza kumuona, kutokana na taa za uani na alifunguliwa get na mlinzi kwa kuwa anajulikana hapa
Nikaona ameashika gongo, nikakumbuka yote niliyomfanyia na anayonilipa nikapata hasira sana
Nikiwa ndani bila kutegemea nikavuta pumzi kwa nguvu nikaivuta fimbo yake akiwa kule nje na nikamnyang'anya, nikaanza kumtandika mwenyewe mgongoni na mikononi huku nikiwa ndani
Kama haitoshi huku akiwa nje mimi ndani, nikamtapisha pombe yote na ghafla akili ikamrudi
Alishtuka kuona fimbo yake imemchapa mwenyewe ila hakujua ilikuwaje sababu alikuwa amelewa..
Mke wangu hakuamka alikuwa fofofo
Nimempa nafasi ya mwisho, othrwise next time ataamkia kituoni
Nipo naye hapa anakandwa na shemeji yake
Ndugu sina hamu nao kabisa