Nimetukanwa matusi ya nguoni na mtoto wa shangazi yangu

Nimetukanwa matusi ya nguoni na mtoto wa shangazi yangu

litutumbwe

JF-Expert Member
Joined
Mar 13, 2023
Posts
642
Reaction score
1,303
Kwema wandugu
Kuishi na watu kazi sana, kuishi na ndugu kazi sana

Huyu kijana wa shangazi yangu ni mhuni, mlevi, mvivu, si muwajibikaji na hana, nidhamu.

Namgharamia kwa vingi, kuanzia kumlisha, mavazi, malazi na kadhalika

Kazi nimemtafutia mimi, nilitumia jina langu apate kazi ingawa hakuwa na vigezo

Jana amekuja usiku hapa na kuanza kunitukana matusi ya nguoni akinituhumu kwa uongo kuwa namtaka mchumba wake, jambo ambalo ni uongo

Alikuja akiwa amelewa na ana kiboko mkononi ili anichape, oneni alivyo na laana kijana huyu

Akiwa kama mita 25 nje, niliweza kumuona, kutokana na taa za uani na alifunguliwa get na mlinzi kwa kuwa anajulikana hapa

Nikaona ameashika gongo, nikakumbuka yote niliyomfanyia na anayonilipa nikapata hasira sana

Nikiwa ndani bila kutegemea nikavuta pumzi kwa nguvu nikaivuta fimbo yake akiwa kule nje na nikamnyang'anya, nikaanza kumtandika mwenyewe mgongoni na mikononi huku nikiwa ndani

Kama haitoshi huku akiwa nje mimi ndani, nikamtapisha pombe yote na ghafla akili ikamrudi

Alishtuka kuona fimbo yake imemchapa mwenyewe ila hakujua ilikuwaje sababu alikuwa amelewa..

Mke wangu hakuamka alikuwa fofofo

Nimempa nafasi ya mwisho, othrwise next time ataamkia kituoni

Nipo naye hapa anakandwa na shemeji yake

Ndugu sina hamu nao kabisa
 
Kwwema wandugu
Kuishi na watu kazisana,kuishi nandugu kazi,sana

Huyu kijana wa shangazi yangu ni mhuni,mlevi,mvivu, si muwajibikaji na hana,nidhamu.
Namgharamia kwa vingi,kuanzia kumlisha,mavazi,malazi na,kadhalika

Kazi nimemtaftia mimi,nilitumia jina langu apatekazi ingawa,hakuwa na,vigezo

Jana amekuja usiku hapa nakuanza kunitukana matusiya nguoni,akinituhumu kwa uongo kuwa namtaka mchumba,wake, jambo ambalo ni uongo

Alikuja akiwa,amelewa na ana kiboko mkononi ili anichape,oneni alivyo na laana kijana huyu

Akiwa kama mita 3 nje,niliweza kumuona,kutokana na taa za uani na alifunguliwa get na mlinzi kwa kua anajulikana hapa

Nikaona ameahika gongo,,nikakumbuka yote niliyomfanyia na,anayonilipa nikapata hasira sana

Nikiwa ndani bila kutegemea nikamnyang'anya ile fimbo nikaanza kumtandika mwenyewe mgongoni na mikononi.

Kama haitoshi huku akiwa nje mimi ndani, nikamtapisha pombe yote na ghafla akili ikamrudi

Alishtuka kuona fimbo yake imemchapa mwenyewe ila hakujua ilikuwaje sababu alikuwa amelewa..

Mke wangu hakuamka alikuwa,fofofo

Nimempa nafasi,yamwisho,othrwise next time ataamkia kituoni

Nipo naye hapa anakandwa na shemeji yake

Ndugu sina hamu nao kabisa
Mpaka leo hii bado una ndugu??
 
unalea ujinga si umuondoe hapo nyumbn kwako akajitegemee.

kijana anataka uhuru.
 
My guy is back 😄😄😄.Nimekumbuka ule mkasa wako uliiojitoa copy ,halafu nakala ikaenda mtaani kufanya mbishe nyingine .Halafu nakala halisi ikabaki na wife imelala.
 
Kwwema wandugu
Kuishi na watu kazisana,kuishi nandugu kazi,sana

Huyu kijana wa shangazi yangu ni mhuni,mlevi,mvivu, si muwajibikaji na hana,nidhamu.
Namgharamia kwa vingi,kuanzia kumlisha,mavazi,malazi na,kadhalika

Kazi nimemtaftia mimi,nilitumia jina langu apatekazi ingawa,hakuwa na,vigezo

Jana amekuja usiku hapa nakuanza kunitukana matusiya nguoni,akinituhumu kwa uongo kuwa namtaka mchumba,wake, jambo ambalo ni uongo

Alikuja akiwa,amelewa na ana kiboko mkononi ili anichape,oneni alivyo na laana kijana huyu

Akiwa kama mita 25 nje,niliweza kumuona,kutokana na taa za uani na alifunguliwa get na mlinzi kwa kua anajulikana hapa

Nikaona ameahika gongo,,nikakumbuka yote niliyomfanyia na,anayonilipa nikapata hasira sana

Nikiwa ndani bila kutegemea nikavuta pumzi kwa nguvu nikaivuta fimbo yake akiwa kule nje na nikamnyang'anya,nikaanza kumtandika mwenyewe mgongoni na mikononi huku nikiwa ndani

Kama haitoshi huku akiwa nje mimi ndani, nikamtapisha pombe yote na ghafla akili ikamrudi

Alishtuka kuona fimbo yake imemchapa mwenyewe ila hakujua ilikuwaje sababu alikuwa amelewa..

Mke wangu hakuamka alikuwa,fofofo

Nimempa nafasi,yamwisho,othrwise next time ataamkia kituoni

Nipo naye hapa anakandwa na shemeji yake

Ndugu sina hamu nao kabisa
Umempa nafasi mawazoni mwako au umemueleza uso kwa macho?
 
Ulevi mbaya sana, sikuwahi kujua ulevi unaweza kuharibu career ya mtu kabisa.
 
Kwwema wandugu
Kuishi na watu kazisana,kuishi nandugu kazi,sana

Huyu kijana wa shangazi yangu ni mhuni,mlevi,mvivu, si muwajibikaji na hana,nidhamu.
Namgharamia kwa vingi,kuanzia kumlisha,mavazi,malazi na,kadhalika

Kazi nimemtaftia mimi,nilitumia jina langu apatekazi ingawa,hakuwa na,vigezo

Jana amekuja usiku hapa nakuanza kunitukana matusiya nguoni,akinituhumu kwa uongo kuwa namtaka mchumba,wake, jambo ambalo ni uongo

Alikuja akiwa,amelewa na ana kiboko mkononi ili anichape,oneni alivyo na laana kijana huyu

Akiwa kama mita 25 nje,niliweza kumuona,kutokana na taa za uani na alifunguliwa get na mlinzi kwa kua anajulikana hapa

Nikaona ameahika gongo,,nikakumbuka yote niliyomfanyia na,anayonilipa nikapata hasira sana

Nikiwa ndani bila kutegemea nikavuta pumzi kwa nguvu nikaivuta fimbo yake akiwa kule nje na nikamnyang'anya,nikaanza kumtandika mwenyewe mgongoni na mikononi huku nikiwa ndani

Kama haitoshi huku akiwa nje mimi ndani, nikamtapisha pombe yote na ghafla akili ikamrudi

Alishtuka kuona fimbo yake imemchapa mwenyewe ila hakujua ilikuwaje sababu alikuwa amelewa..

Mke wangu hakuamka alikuwa,fofofo

Nimempa nafasi,yamwisho,othrwise next time ataamkia kituoni

Nipo naye hapa anakandwa na shemeji yake

Ndugu sina hamu nao kabisa
So hapa Content n nini?
 
Back
Top Bottom