Nimetukanwa matusi ya nguoni na mtoto wa shangazi yangu

Nimetukanwa matusi ya nguoni na mtoto wa shangazi yangu

Kwema wandugu
Kuishi na watu kazi sana, kuishi na ndugu kazi sana

Huyu kijana wa shangazi yangu ni mhuni, mlevi, mvivu, si muwajibikaji na hana, nidhamu.

Namgharamia kwa vingi, kuanzia kumlisha, mavazi, malazi na kadhalika

Kazi nimemtafutia mimi, nilitumia jina langu apate kazi ingawa hakuwa na vigezo

Jana amekuja usiku hapa na kuanza kunitukana matusi ya nguoni akinituhumu kwa uongo kuwa namtaka mchumba wake, jambo ambalo ni uongo

Alikuja akiwa amelewa na ana kiboko mkononi ili anichape, oneni alivyo na laana kijana huyu

Akiwa kama mita 25 nje, niliweza kumuona, kutokana na taa za uani na alifunguliwa get na mlinzi kwa kuwa anajulikana hapa

Nikaona ameashika gongo, nikakumbuka yote niliyomfanyia na anayonilipa nikapata hasira sana

Nikiwa ndani bila kutegemea nikavuta pumzi kwa nguvu nikaivuta fimbo yake akiwa kule nje na nikamnyang'anya, nikaanza kumtandika mwenyewe mgongoni na mikononi huku nikiwa ndani

Kama haitoshi huku akiwa nje mimi ndani, nikamtapisha pombe yote na ghafla akili ikamrudi

Alishtuka kuona fimbo yake imemchapa mwenyewe ila hakujua ilikuwaje sababu alikuwa amelewa..

Mke wangu hakuamka alikuwa fofofo

Nimempa nafasi ya mwisho, othrwise next time ataamkia kituoni

Nipo naye hapa anakandwa na shemeji yake

Ndugu sina hamu nao kabisa
Akutusi ni kwake hapo ? Timua kabisa atajua anakokwenda wajinga wajinga kama huyu anatakiwa akajifunze mwenyewe huko huku maisha yanampiga akomee
 
Kwema wandugu
Kuishi na watu kazi sana, kuishi na ndugu kazi sana

Huyu kijana wa shangazi yangu ni mhuni, mlevi, mvivu, si muwajibikaji na hana, nidhamu.

Namgharamia kwa vingi, kuanzia kumlisha, mavazi, malazi na kadhalika

Kazi nimemtafutia mimi, nilitumia jina langu apate kazi ingawa hakuwa na vigezo

Jana amekuja usiku hapa na kuanza kunitukana matusi ya nguoni akinituhumu kwa uongo kuwa namtaka mchumba wake, jambo ambalo ni uongo

Alikuja akiwa amelewa na ana kiboko mkononi ili anichape, oneni alivyo na laana kijana huyu

Akiwa kama mita 25 nje, niliweza kumuona, kutokana na taa za uani na alifunguliwa get na mlinzi kwa kuwa anajulikana hapa

Nikaona ameashika gongo, nikakumbuka yote niliyomfanyia na anayonilipa nikapata hasira sana

Nikiwa ndani bila kutegemea nikavuta pumzi kwa nguvu nikaivuta fimbo yake akiwa kule nje na nikamnyang'anya, nikaanza kumtandika mwenyewe mgongoni na mikononi huku nikiwa ndani

Kama haitoshi huku akiwa nje mimi ndani, nikamtapisha pombe yote na ghafla akili ikamrudi

Alishtuka kuona fimbo yake imemchapa mwenyewe ila hakujua ilikuwaje sababu alikuwa amelewa..

Mke wangu hakuamka alikuwa fofofo

Nimempa nafasi ya mwisho, othrwise next time ataamkia kituoni

Nipo naye hapa anakandwa na shemeji yake

Ndugu sina hamu nao kabisa
Huyo tatizo ni ulevi, full stop
 
Hivi kweli umeamini kabisa mtu mwenye akili kama hizi ana uwezo wa kuweka mlinzi wa kufungua geti au kuishi kwenye sehemu yenye geti?
Mimi siwezi kukaa na ndugu hadi akapazoea nyumbani ndo tulivyo lelewa hivyo ,
 
Ukiendekeza ndugu utavuna magugu utakufa kibudu na Mungu hutomwabudu
 
Kwema wandugu
Kuishi na watu kazi sana, kuishi na ndugu kazi sana

Huyu kijana wa shangazi yangu ni mhuni, mlevi, mvivu, si muwajibikaji na hana, nidhamu.

Namgharamia kwa vingi, kuanzia kumlisha, mavazi, malazi na kadhalika

Kazi nimemtafutia mimi, nilitumia jina langu apate kazi ingawa hakuwa na vigezo

Jana amekuja usiku hapa na kuanza kunitukana matusi ya nguoni akinituhumu kwa uongo kuwa namtaka mchumba wake, jambo ambalo ni uongo

Alikuja akiwa amelewa na ana kiboko mkononi ili anichape, oneni alivyo na laana kijana huyu

Akiwa kama mita 25 nje, niliweza kumuona, kutokana na taa za uani na alifunguliwa get na mlinzi kwa kuwa anajulikana hapa

Nikaona ameashika gongo, nikakumbuka yote niliyomfanyia na anayonilipa nikapata hasira sana

Nikiwa ndani bila kutegemea nikavuta pumzi kwa nguvu nikaivuta fimbo yake akiwa kule nje na nikamnyang'anya, nikaanza kumtandika mwenyewe mgongoni na mikononi huku nikiwa ndani

Kama haitoshi huku akiwa nje mimi ndani, nikamtapisha pombe yote na ghafla akili ikamrudi

Alishtuka kuona fimbo yake imemchapa mwenyewe ila hakujua ilikuwaje sababu alikuwa amelewa..

Mke wangu hakuamka alikuwa fofofo

Nimempa nafasi ya mwisho, othrwise next time ataamkia kituoni

Nipo naye hapa anakandwa na shemeji yake

Ndugu sina hamu nao kabisa
Mfukuze , swali fikirishi lengo la kumtafutia kazi lilikuwa ni lipi labda
 
Jinsi kichwa changu kisivyo na uvumilivu, muda huu angekuwa stendi ya mabasi arudi alikotoka au akatafute mahali pakuishi, kweli binadamu tumetofautiana
 
Kwema wandugu
Kuishi na watu kazi sana, kuishi na ndugu kazi sana

Huyu kijana wa shangazi yangu ni mhuni, mlevi, mvivu, si muwajibikaji na hana, nidhamu.

Namgharamia kwa vingi, kuanzia kumlisha, mavazi, malazi na kadhalika

Kazi nimemtafutia mimi, nilitumia jina langu apate kazi ingawa hakuwa na vigezo

Jana amekuja usiku hapa na kuanza kunitukana matusi ya nguoni akinituhumu kwa uongo kuwa namtaka mchumba wake, jambo ambalo ni uongo

Alikuja akiwa amelewa na ana kiboko mkononi ili anichape, oneni alivyo na laana kijana huyu

Akiwa kama mita 25 nje, niliweza kumuona, kutokana na taa za uani na alifunguliwa get na mlinzi kwa kuwa anajulikana hapa

Nikaona ameashika gongo, nikakumbuka yote niliyomfanyia na anayonilipa nikapata hasira sana

Nikiwa ndani bila kutegemea nikavuta pumzi kwa nguvu nikaivuta fimbo yake akiwa kule nje na nikamnyang'anya, nikaanza kumtandika mwenyewe mgongoni na mikononi huku nikiwa ndani

Kama haitoshi huku akiwa nje mimi ndani, nikamtapisha pombe yote na ghafla akili ikamrudi

Alishtuka kuona fimbo yake imemchapa mwenyewe ila hakujua ilikuwaje sababu alikuwa amelewa..

Mke wangu hakuamka alikuwa fofofo

Nimempa nafasi ya mwisho, othrwise next time ataamkia kituoni

Nipo naye hapa anakandwa na shemeji yake

Ndugu sina hamu nao kabisa
Tafuta jukwaa la watoto
 
Nikiwa ndani bila kutegemea nikavuta pumzi kwa nguvu nikaivuta fimbo yake akiwa kule nje na nikamnyang'anya, nikaanza kumtandika mwenyewe mgongoni na mikononi huku nikiwa ndani

Kama haitoshi huku akiwa nje mimi ndani, nikamtapisha pombe yote na ghafla akili ikamrudi

Alishtuka kuona fimbo yake imemchapa mwenyewe ila hakujua ilikuwaje sababu alikuwa amelewa..

Mke wangu hakuamka alikuwa fofofo
Hii Kali ......
 
Huyo dogo akiendelea kusumbua akilewa tu usimpige kamata peleka kwa yule mkuu wa mkoa mla vijambio utakuja kunishukuru kama atalewa tena huyo
 
Kwema wandugu
Kuishi na watu kazi sana, kuishi na ndugu kazi sana

Huyu kijana wa shangazi yangu ni mhuni, mlevi, mvivu, si muwajibikaji na hana, nidhamu.

Namgharamia kwa vingi, kuanzia kumlisha, mavazi, malazi na kadhalika

Kazi nimemtafutia mimi, nilitumia jina langu apate kazi ingawa hakuwa na vigezo

Jana amekuja usiku hapa na kuanza kunitukana matusi ya nguoni akinituhumu kwa uongo kuwa namtaka mchumba wake, jambo ambalo ni uongo

Alikuja akiwa amelewa na ana kiboko mkononi ili anichape, oneni alivyo na laana kijana huyu

Akiwa kama mita 25 nje, niliweza kumuona, kutokana na taa za uani na alifunguliwa get na mlinzi kwa kuwa anajulikana hapa

Nikaona ameashika gongo, nikakumbuka yote niliyomfanyia na anayonilipa nikapata hasira sana

Nikiwa ndani bila kutegemea nikavuta pumzi kwa nguvu nikaivuta fimbo yake akiwa kule nje na nikamnyang'anya, nikaanza kumtandika mwenyewe mgongoni na mikononi huku nikiwa ndani

Kama haitoshi huku akiwa nje mimi ndani, nikamtapisha pombe yote na ghafla akili ikamrudi

Alishtuka kuona fimbo yake imemchapa mwenyewe ila hakujua ilikuwaje sababu alikuwa amelewa..

Mke wangu hakuamka alikuwa fofofo

Nimempa nafasi ya mwisho, othrwise next time ataamkia kituoni

Nipo naye hapa anakandwa na shemeji yake

Ndugu sina hamu nao kabisa

Pole sana il Kumsaidia MTU hiyo huwa ni fursa usije ukaacha kusaidia watu iwe ndugu au marafiki na jamaa
 
Back
Top Bottom