Nimetumia karafuu kutoa kijipu lakini haijanisaidia, nisaidieni njia nyingineπŸ™

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚...lazima tufike huko maana macho yanaona.Futa picha hiyo weka ya jicho tu, mwili wako umekosa vitamini au uwe unachanganya na glycerin hayo Mafuta yako ili ngoz iwe laini kidogo
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜€πŸ˜€ Umejuaj kuwa hauna vitamin sasa ee
 
Niwe mlain kwan mm wa kikee
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚...lazima tufike huko maana macho yanaona.Futa picha hiyo weka ya jicho tu, mwili wako umekosa vitamini au uwe unachanganya na glycerin hayo Mafuta yako ili ngoz iwe laini kidogo

Au achekee kwenye kinu..hawa vijana wata sema ni iman za ajabu . wana sahau u Africa
Napata wapi kinuuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…