To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
Sawa mkuuNdo hujue kijana anabidi awe hivyo sio anamshika mshikaji mikono inasisimua kwel mtoto wa kiume
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa mkuuNdo hujue kijana anabidi awe hivyo sio anamshika mshikaji mikono inasisimua kwel mtoto wa kiume
Ha ha haaaaa. Dogo kapiga mwili kifua kizima. Nilivyosoma kichwa cha habari nikahisi ana mafua au kifuaAfu hakukuwa na ulazima wa kuvua shati ...maana uvimbe upo jichoni my son
Bwana we! Wajukuu au vitukuuDuh, kumbe na wajukuu wetu mmo humu? Halafu mnatutukana
😂😂😂Ha ha haaaaa. Dogo kapiga mwili kifua kizima. Nilivyosoma kichwa cha habari nikahisi ana mafua au kifua
Sent from my SM-N916S using JamiiForums mobile app
Muonekano tu ndio unapima ukubwa au udogo ohoo sawa sawa mkuuMwonekano mkuu
😂😂😂ndo ivo mkuuMuonekano tu ndio unapima ukubwa au udogo ohoo sawa sawa mkuu
Umetamani?😂😂😂...lazima tufike huko maana macho yanaona.Futa picha hiyo weka ya jicho tu, mwili wako umekosa vitamini au uwe unachanganya na glycerin hayo Mafuta yako ili ngoz iwe laini kidogo
😳makubwa!Jmn nina umri mkubwa tuu
Umenikosea mkuu!Umetamani?
Hapo tumia kituguu swaumu na maji ya motooooo sana kandia kwa juuNdiyo hivoo mkuu bd sitoboi
Mimi Mchagga nawashangaa aangalie kinu ya nani?Hii ya kinu naijua pia, asbh mapema kabla hajaongea na mtu.
It works! Sijui ni kwa namna ipi ila inafanya kazi
Hamuna zaid ya apo maana wengine wanaonekana wadogo kumbe wakubwa na wengine wakubwa kumbe wadogo😀😀😂😂😂ndo ivo mkuu
We!!!!! Siku hizi mama miaka 60 anatembea na kijana 20 yrs! Siwaamini siku hiziUmenikosea mkuu!
Oo kumbe sawa mkuuWe!!!!! Siku hizi mama miaka 60 anatembea na kijana 20 yrs! Siwaamini siku hizi