Nimeua nyoka mkubwa Mikumi

"Nyoka yoyote anayekatisha mbele yangu huwa nampelekea moto bila kujali yuko eneo gani, nyoka ni nyoka tu hata kama ni wa royo tuwa"

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Sasa umemuwa wa Nini?

Infact wala sio sifa. Huyo nyoka umemfuata hifadhini, ndio kwake hapo ni wewe ndio hukutakiwa kuwa hapo sio yeye. Umemuonea Bure na Wala hujafanya ushupavu wowote!
Mkuu nakubaliana na wewe kuwa huyu jamaa amemuonea sana huyo nyoka maana yupo kwake ingelikuwa yupo milima ya Namanyoro ingekuwa sawa.

Huko Mlalo - Lushoto, vijiji vya Mng'aro, Mzinde, Kwamkole n.k Tembo si chini ya 10 wanakula mazao ya wakulima na kuharibu miundombinu yso hakuna hata ofisa yeyote wa Serikali anayejali.

Wakulima wavuna mahindi na mazao mengine kabla ya kulomaa. Hakuna tathimini inayofanyika kwa walio haribiwa mazao yao. Mabwana na mabibi shamba hawaonekani. INASIKITISHA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…