Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ishu sio kutoa hukumu ni kusahihishana haiwezekani ufanye jambo la kipuuzi uachwe usikemeweya Ngoswe muachie Ngoswe.
Mwenyezi Mungu mwingi wa rehma ndiye mwenye kutoa hukumu kwa kila mwanadamu japo ametupa muongozo na kutuasa kuishi kwa kufuata miongozo hiyo.
Wapo tunaomkosea gizani, wapo tunaomkosea mwangani, lakini bado Mwenyezi Mungu ni mkubwa na mwingi wa rehma.
Inabid ukumbuke walivhokwenda kanisani kufunga ndoa hawakuwa wamevaa hivi hapo ni ukumbine mzeeView attachment 2294935
Nilijaribu kujibu hivi...
[emoji457] Muda umebadilika sana, naweza kukubali au kukataa ila nitakuwa nimebakizwa nyuma sana (old stone) japo mambo ya Mungu hayapitwi na wakati.
Toa sababuNisingefungisha
Angalia picha ya bibi yako hakuna tofauti na nyani sasa watoto wa siku hizi wanatamanisha sanaVazi la Mwafrika kabla ya kuja wazungu lilikuwaje?.
Tunapoteza time kudiscuss ujinga ndoa ishafungwa na hao watu ni Mr and Mrs tuendelee na mambo yetu mengineView attachment 2294935
Nilijaribu kujibu hivi...
[emoji457] Muda umebadilika sana, naweza kukubali au kukataa ila nitakuwa nimebakizwa nyuma sana (old stone) japo mambo ya Mungu hayapitwi na wakati.