Nimeumia sana kuona mke wa mtu anazini ndani ya usafiri wa umma, tena akiwa na mtoto mdogo

Nimeumia sana kuona mke wa mtu anazini ndani ya usafiri wa umma, tena akiwa na mtoto mdogo

Huyu anaweza kuwa mchaga tena mmachame. Hawa na wapare wana mila ya kutembea na yoyote hata kaka na wajomba au baba wadogo au wakubwa zao. Hovyo kabisa. Ndiyo maana kila Desemba utawasikia wakisema wanakwenda Moshi kudumisha mila. Uchafu na umalaya mtupu.
Wewe ni wa wapi. Hizo chuki binafsi ndugu. Hizo tuhuma sio za kweli dhidi ya wapare na wachagga.
 
Huyu anaweza kuwa mchaga tena mmachame. Hawa na wapare wana mila ya kutembea na yoyote hata kaka na wajomba au baba wadogo au wakubwa zao. Hovyo kabisa. Ndiyo maana kila Desemba utawasikia wakisema wanakwenda Moshi kudumisha mila. Uchafu na umalaya mtupu.
Did u pray today
 
Nilichojifunza ni mwanamke hachungwi, wanaume tunaotia mikwara kwakwenda mbele mke asi cheat tunajidanganya tu.

Mwanamke anatoa popote na kwa yeyote, haya hapo ukute mumewe kamkazia kamsafirisha tena kamsubiri mpaka kahakikisha bus limeondoka ndio na jamaa akaondoka.

Mtu kaingia ndani ya bus ametoa utamu kwa abiria,yani jamaa kajiokotea dodo lake kiulainiiii.

sijui walitongozana saa ngapi,yani process nzima naona ilikua EXPRESS

Ukisikia Mtongozano EXPRESS ndio huo sasa, hiyo inaitwa DIRECT TO THE POINT.

Tuishi tu vizuri na hawa wanawake,Maana wana njia yao 1 express ya kuondoa stress ambayo ni very risk..
Hata kinga hakuna. Upo sahihi mkuu tusijisumbue kuwalinda watu wazima wenye mbinu za ajabu. Tutakufa mapema tuwaachie wengine. Tutakuwa tumefaidi nini?
 
Habari zenu ndugu zangu? binafsi namshukuru huyu MUNGU kwa uzima.

Ni jana tu siku ya alhamisi nikiwa natokea Dar kwenda Moshi mjini nikipanda gari ya umma (nikumbushie kidogo sio kila siku binafsi tu). Mida ya saa 4 hivi asubuhi nilifika stendi ya mabasi MAGUFULI pale mbezi nikijua kabisa siwezi kosa gari la Moshi.

Kweli nikapata gari inayoenda Arusha mjini ikipita moshi mjini(kampuni kapuni), wakati naingia kwa gari naoneshwa seat yangu pembeni kulikuwa na dada mmoja akiwa na mtoto wa miaka kama mitatu hivi, huyu dada alionekana anajaziba muda wote kwani alikuwepo hapo tangu saa 1 asubuhi na Gari bado haliondoki.

Ni kweli Gari lilikuwa linaendelea kupakia abiria ili lienee, wakati anajilalamisha muhuni hata nilikuwa sina shobo kwani nilihisi hana sababu ya msingi kwani hata Gari linatafuta ridhiki haliwezi kuondoka na yeye mwenyewe basi muhuni msomi nikawa namtazama huku nampuuzia kwa kutikisa kichwa pale akijaribu kunishirikisha malalamishi yake.

Basi bhna kabla kama dakika kumi hivi gari hilo kuondoka akaingia kijana mmoja na akaoneshwa seat ambayo huyo dada alikuwepo yeye na mtoto wake, akakaa hapo na safari ikaanza baada ya basi lile kujaa.

Wakati tunaendelea na safari mida kama ya saa moja hivi kigiza kikiwa kimekolea baada ya mambo ya kawaida safarini kutokea kama kawaida mkiwa kwenye basi, nikiwa napepesa macho yangu ghafla nikaona yule mdada anajibinua kwa sura ambayo kama yupo kufanya mapenzi akiwa amempakata mtoto aliyekuwa amalala.

Nilipochunguza kwa macho ya pembeni nikagundua jamaa ameingiza mkono ndani ya dela la yule binti akiendelea kusugua mbususu ya yule binti huku akijifanya hajui kinachoendelea but nae usoni mwake akiwa na usongo wa kuisugua. Baadae wakawa wanapeana na mate huku yule mdada akitoa miguno ya kimahaba mtoto akiwa amelala, walifanya vituko vingi hapo sitaweza kusimulia vyote(kuna wakati mkuyenge wangu ulidinda niwe mkweli)


Sasa nini kilifanya niumie.....?

Wakati wote wa safari huyu binti alikuwa anapigiwa simu na baba wa mtoto wao na alionekana yuko very mpole huyo mumewe since alikuwa anaweka loudspeaker wakati wakizungumza kuhusu maendeleo ya safari na wamefika wapi?

Ikafika hatua huyu binti alimjibu jamaa yeye atalala stendi hiyo siku ya jana kwa hiyo jamaa aende tu nyumbani kulala akidai barabarani kuna shida, ni kweli jana mabus ya kutoka dar kuanzia mida ya saa 2 asubuhi hivi tulifika moshi mjini saa nane usiku sababu kuna lori moja liliferi likaziba barabara na hakuna bus lolote kutoka pande zote lililoweza kupita hapo. Nadhani ilikuwa ni pale Mwanga.

Na kuna wakati wakati tupo hapo kwa majanga ya hilo lori tulikaa kama masaa matano hivi hapo, yule binti akamlaza mtoto kwa seat akatoka na yule kijana njee mimi sababu nilijua mchezo wao nikawafatilia nikawaona wamekaa pembeni mwa lori ambalo lilikuwa pembeni mwa barabara nami nikashuka nikajifanya naongea na simu but nilikuwa nimeacha camera on nichukue lile tukio kidogo, kweli yule binti akapandisha dela akaikalia mashine na kuanza kuikatikia.

FUNZO.
Wanaume tuangalie wanawake wakuzaa nao tuache kuangalia makalio (yule binti alikuwa na makalio balaa na alivyokuwa na makusudi alikuwa akiinuka analishikia dela kwa juu basi makaliooo) sasa imagine mkeo anafanya ufuska kama huo mbele ya mtoto tena ndani ya gari na mtu ambaye hata hamjui wamekutana safarini, iliniuma sana.


ASANTENI
Kuna mafunzo mengi hapo zaidi ya hilo uliloiona wewe la makalio. Wewe mwenyewe nawe ni tatizo.Unaona uchafu unafanyika mbele yako badala ya kutishia wakaacha hiyo habari wewe unaangalia mpaka unatamani.Hujui kama mambo kama hayo yanapelekea ghadhabu za Mwenyezi Mungu.Haya mabasi yanayopinduka na kushika moto mara nyingi huwa kuna siri za chini kwa chini.Wamiliki wake ni watu wao na wanaodhulumu watu au hawafuatilii uchafu unaofanyika ndani ya vyombo vyao vya usafiri. Wewe hapo kama ulikasirika kweli ungemtonya utingo wa gari akawakemea.Badala yake umetoka ukawafuatilia mpaka nje ya gari walipokwenda kumalizia uchafuj wao kwani naamini kwenye gari isingewezekana zaidi ya kupanda kwa matamanio.Sasa maumivu yako si ya kweli bali zaidi ni wivu na udaku usiokuwa na tija.
 
Habari zenu ndugu zangu? binafsi namshukuru huyu MUNGU kwa uzima.

Ni jana tu siku ya alhamisi nikiwa natokea Dar kwenda Moshi mjini nikipanda gari ya umma (nikumbushie kidogo sio kila siku binafsi tu). Mida ya saa 4 hivi asubuhi nilifika stendi ya mabasi MAGUFULI pale mbezi nikijua kabisa siwezi kosa gari la Moshi.

Kweli nikapata gari inayoenda Arusha mjini ikipita moshi mjini(kampuni kapuni), wakati naingia kwa gari naoneshwa seat yangu pembeni kulikuwa na dada mmoja akiwa na mtoto wa miaka kama mitatu hivi, huyu dada alionekana anajaziba muda wote kwani alikuwepo hapo tangu saa 1 asubuhi na Gari bado haliondoki.

Ni kweli Gari lilikuwa linaendelea kupakia abiria ili lienee, wakati anajilalamisha muhuni hata nilikuwa sina shobo kwani nilihisi hana sababu ya msingi kwani hata Gari linatafuta ridhiki haliwezi kuondoka na yeye mwenyewe basi muhuni msomi nikawa namtazama huku nampuuzia kwa kutikisa kichwa pale akijaribu kunishirikisha malalamishi yake.

Basi bhna kabla kama dakika kumi hivi gari hilo kuondoka akaingia kijana mmoja na akaoneshwa seat ambayo huyo dada alikuwepo yeye na mtoto wake, akakaa hapo na safari ikaanza baada ya basi lile kujaa.

Wakati tunaendelea na safari mida kama ya saa moja hivi kigiza kikiwa kimekolea baada ya mambo ya kawaida safarini kutokea kama kawaida mkiwa kwenye basi, nikiwa napepesa macho yangu ghafla nikaona yule mdada anajibinua kwa sura ambayo kama yupo kufanya mapenzi akiwa amempakata mtoto aliyekuwa amalala.

Nilipochunguza kwa macho ya pembeni nikagundua jamaa ameingiza mkono ndani ya dela la yule binti akiendelea kusugua mbususu ya yule binti huku akijifanya hajui kinachoendelea but nae usoni mwake akiwa na usongo wa kuisugua. Baadae wakawa wanapeana na mate huku yule mdada akitoa miguno ya kimahaba mtoto akiwa amelala, walifanya vituko vingi hapo sitaweza kusimulia vyote(kuna wakati mkuyenge wangu ulidinda niwe mkweli)


Sasa nini kilifanya niumie.....?

Wakati wote wa safari huyu binti alikuwa anapigiwa simu na baba wa mtoto wao na alionekana yuko very mpole huyo mumewe since alikuwa anaweka loudspeaker wakati wakizungumza kuhusu maendeleo ya safari na wamefika wapi?

Ikafika hatua huyu binti alimjibu jamaa yeye atalala stendi hiyo siku ya jana kwa hiyo jamaa aende tu nyumbani kulala akidai barabarani kuna shida, ni kweli jana mabus ya kutoka dar kuanzia mida ya saa 2 asubuhi hivi tulifika moshi mjini saa nane usiku sababu kuna lori moja liliferi likaziba barabara na hakuna bus lolote kutoka pande zote lililoweza kupita hapo. Nadhani ilikuwa ni pale Mwanga.

Na kuna wakati wakati tupo hapo kwa majanga ya hilo lori tulikaa kama masaa matano hivi hapo, yule binti akamlaza mtoto kwa seat akatoka na yule kijana njee mimi sababu nilijua mchezo wao nikawafatilia nikawaona wamekaa pembeni mwa lori ambalo lilikuwa pembeni mwa barabara nami nikashuka nikajifanya naongea na simu but nilikuwa nimeacha camera on nichukue lile tukio kidogo, kweli yule binti akapandisha dela akaikalia mashine na kuanza kuikatikia.

FUNZO.
Wanaume tuangalie wanawake wakuzaa nao tuache kuangalia makalio (yule binti alikuwa na makalio balaa na alivyokuwa na makusudi alikuwa akiinuka analishikia dela kwa juu basi makaliooo) sasa imagine mkeo anafanya ufuska kama huo mbele ya mtoto tena ndani ya gari na mtu ambaye hata hamjui wamekutana safarini, iliniuma sana.


ASANTENI
Mi siamini bhna ''HUO NI UONGO "
Tuma hyo video n ikague😒😁
 
kwa hili nipo tayari kaka
Mh! Huyo bi dada naye alikuwa ni "maharage ya mbeya" hasa, tena yale meupe wanaita lusaka!

Kufanya mapenzi ni takwa la starehe ya hiyari na hutakiwa kufanyiwa maandalizi ya kisaikolojia na kimwili kabla ya utekelezaji wake!

Hapo kilichoangaliwa ni "mbususu" na "kuikalia" tu basi, mambo mengine ya kukamilisha kistaarabu mchakato huo yalifumbiwa macho kwa tamaa ya fisi!

Unazini kiholela na mtu usiyemjua bila kinga, huo ushujaa wa mangi sina jamaa aliutoa wapi!

Naanza kuhisi kuwa hao huenda walifahamiana kabla na kukosa muda wa kufanya waliyoyafanya siku hiyo labda!

Ni hivi hivi tu kweli jitu from no where unaliparamia na kuligonga, au walikuwa na visa vya uhasama ama madai mwanamke kudaiwa!

Maana sex, some time hutumika kumaliza visa ama kufutia madeni sugu yaliyoshindikana kulipwa ili kumaliza tofauti zilizopo na kuwaleta watu pamoja!

Halafu katikati ya safari mnazini kweli, maji ya kujiswafi mnayatoa wapi!

Ni mwendo wa kunuka vikwapa njia nzima kama mabeberu!

Kwa kweli sisi binadamu ni wanyama kibaiolojia na ki matendo pia, tena kuwazidi hao wanyama wa mstuni wasio na utashi!

Kwa hiyo baada ya tendo jamaa akajiona mjanjaaa, kwa kuwaona wanaume wote basi zima wapumbaf kawazidi uhuni siyo!
 
Back
Top Bottom