Nimeuza mechi alfajiri ya leo, nahisi nimeambukizwa VVU naombeni PEP

Nimewapigia simu hao Marie Stopes wamenipa ushauri mwiiiingi na mwisho wa siku wamesema niende kituo cha afya nikaelezee mkasa wangu.
Wamenielekeza niende kituo cha afya pale Sinza Palestina.
Okay. Pole sana.

Siku nyingine amini kile kilichoko ndani ya moyo wako. Malaika walikuwa wanakusaidia afu wewe unambwela tu.
 
Hivi namie nnaepiga kavu mwaka wa nne huu baada ya kusoma uzi wa deception nijiweke kundi gani?

Yaani ndomu nlishazisahau kabisa Hivi namie ninaezagamua kavu mwaka wa nne huu baada ya kusoma uzi wa deception nijiweke kundi gani?

Yaani ndomu nlishazisahau kabisa
 
Peponi moja kwa moja
 
😁😁😁😁😁 Kifo ni kifo tu
Kifo ni kifo dr. Ngugulile yupo wap na aliramba teuzi kali kabisa...

Madogo wanapenda kutishana humu kwa kitu ambacho wakulungwa washakijadili humu tena miaka ile ambayo inatisha zaidi since 2013.

Hadi nikashangaa hadi ww mkulungwa umeanza kutishwaπŸ˜‚πŸ˜‚

Kweli kitu kikirudiwa mara nyingi, mwishowe huonekana ni ukweli
 
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ Nimegundua kuna tofauti kubwa sana ukiwa bachelor na ukiwa na familia.
 
Utanyooka tu utake usitake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…