Nimeuziwa mbwa maeneo ya Victoria, nilipomfikisha nyumbani mume wangu akasema eti sio mbwa ni fisi

Umeuziwa fisi kweny gunia
 
Si tutakamatwa kwa ujangili? Kesho ntaamka saa kumi alfajiri, kwa kuwa siendi kazini nitakabwaga maeneo ya Coco Beach, sitaki kesi mie
Coco Beach utakamatwa na walinzi, Bora umrudishe Serikalini, hawatakukamata, watafanya utaratibu wa kumrudisha, asije akadhuru watu
 
mpeleke ktk ofisi yoyote ya fisi em atakuwa amefika kwao, hyena hynea
 
Hii story sio ya kweli umetunga eti puppy wee mjinga nini... [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…