Nimevumilia nimeshindwa, amerudi amelewa na hana nguo hata moja

Pole sana mkuu
[emoji56] [emoji56] [emoji56]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
sawa mhenga !lakini kuna kauli zinachoma sana moyo !huwez jua moyon mwake anajua yy ndo cause thts y yupo nae had sasa
Mkuu usitetee ujinga suluhisho la tatizo hili ni kumuacha huyo mwanamke aendelee na maisha yake tu!
 

Dah..... Huyu majinga matupu...
Msaada: Sijawahi mpata mwenye bikira




Sent from my beretta ARX 160 using JamiiForums Mobile App
 
.muangalie marinda yako sawa kuna mmoja mtaani hapo yuko hivyo tukaja kujua shida nini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole! Kwani mkuu ulipewa bure kama zindiko?! Kwa mapungufu yale katika para ya kwanza tu hukustahili kumsamehe!
Ni zindiko au laana?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…