Nimevumilia nimeshindwa, amerudi amelewa na hana nguo hata moja

Nimevumilia nimeshindwa, amerudi amelewa na hana nguo hata moja

Kwa uandishi wa jamaa ni kweli yamemkuta. Na jamaa sio mtoto au mvulana wa shule bali mwanaume tena mwenye kifua kipana na ndio maana kavumilia hadi sasa.
NB: Kifua kipana sio kwa umbo bali kuwa na roho ya uvumilifu au ustahimilivu.


bora wewe umeelewa andika na comments zake tu unajua huyu ni kweli na anaumia!sio mvulana wala
 
Kuoa mwanamke aliyekuwa anajiuza hakujawahi kumuacha mtu salama!
 
hahhahhahahah!alinivuta kwa upole wake jaman !olalalaa


hahaha hv akiamka huwa ananianzishiastry ambazo nipo interest nazo !hahaa hv ataanzisha la ndge kukamatwa Vancouver hahahah!maana anajua mi mpinzan!haha dah !naskia wanae wanamuimbia wimbo wa I SURRENDER !ahahahah
 
hahaha hv akiamka huwa ananianzishiastry ambazo nipo interest nazo !hahaa hv ataanzisha la ndge kukamatwa Vancouver hahahah!maana anajua mi mpinzan!haha dah !naskia wanae wanamuimbia wimbo wa I SURRENDER !ahahahah
Kumbe unafaidi best....mastory na nyimbo tena..... umenifurahisha mummie.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbe unafaidi best....mastory na nyimbo tena..... umenifurahisha mummie.

Sent using Jamii Forums mobile app


ahhahahaha uwiiii dah !si anataka kunisahaulisha? na mie huwa naliunga kwakweli maana anajua tunavyotokwa povu !hahaha yeah wanangu wanapenda sana kuimba !hhaa bas namwambia rafk angu ananiambia mbiti had watoto waimba nyimbo za gospel bas andaa tu pilau la msiba (akimanisha jamaa atakuwa amerip) !nimecheka had kulia jaman lol!
 
hv kwanini mnahukumu namn hiyo jaman !WTF madala mujipa akija kukiri yeye ndo cause utajiskiaje kumuita mke wa mwnaaume mwenzako kahaba ! dah
Naomba nikuulize kitu muheshima Fatuma Karume,je kwa mienemdo yooote hiyo ya mleta uzi,unampa cheo gani huyo mwanamke kama cha ukahaba hakimfai?Narudia tena ni kahaba nenda kagoogle neno kahaba ujue maana yake lakini sitabadilisha kauli wala kuitengua
 
Naomba nikuulize kitu muheshima Fatuma Karume,je kwa mienemdo yooote hiyo ya mleta uzi,unampa cheo gani huyo mwanamke kama cha ukahaba hakimfai?Narudia tena ni kahaba nenda kagoogle neno kahaba ujue maana yake lakini sitabadilisha kauli wala kuitengua


hahaha sasa wewe unaleta utani !ngj nichek tu !unaonekana bado mtoto sana nakuacha
 
hahaha sasa wewe unaleta utani !ngj nichek tu !unaonekana bado mtoto sana nakuacha
sileti utani na nakuomba unitake radhi mimi sio mtoto,nimezaliwa very early 70s,kuendelea kuvumilia ujinga nikujitafutia kifo,huyu mwanamke akitoka huko akija naye jamaa anakula mzigo maana yake nini?mwambie mleta uzi naona upo karibu naye asome signature yangu
 
ahhahahaha uwiiii dah !si anataka kunisahaulisha? na mie huwa naliunga kwakweli maana anajua tunavyotokwa povu !hahaha yeah wanangu wanapenda sana kuimba !hhaa bas namwambia rafk angu ananiambia mbiti had watoto waimba nyimbo za gospel bas andaa tu pilau la msiba (akimanisha jamaa atakuwa amerip) !nimecheka had kulia jaman lol!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ..... So happy..... at least una upande wa kufurahia....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ahhahahaha uwiiii dah !si anataka kunisahaulisha? na mie huwa naliunga kwakweli maana anajua tunavyotokwa povu !hahaha yeah wanangu wanapenda sana kuimba !hhaa bas namwambia rafk angu ananiambia mbiti had watoto waimba nyimbo za gospel bas andaa tu pilau la msiba (akimanisha jamaa atakuwa amerip) !nimecheka had kulia jaman lol!
Duh wana waza mshikaji ku R.I.P tena.... Burudani sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
sileti utani na nakuomba unitake radhi mimi sio mtoto,nimezaliwa very early 70s,kuendelea kuvumilia ujinga nikujitafutia kifo,huyu mwanamke akitoka huko akija naye jamaa anakula mzigo maana yake nini?mwambie mleta uzi naona upo karibu naye asome signature yangu



sawa mhenga !lakini kuna kauli zinachoma sana moyo !huwez jua moyon mwake anajua yy ndo cause thts y yupo nae had sasa
 
Kama joto limemzidi mpeleke Makete. Ila hatari ya huko Makete anaweza kuwa Pampula mara 10 maana kwa baridi ya huko atalazimika kuwa karibu na spirits.

Sent using Jamii Forums mobile app


hahhaha nakufaham maket hahhah !niliwah kwenda nae iringa alishindwa kunywa alikua mgonjwa kbs !hawez barid kbs
 
Back
Top Bottom