Nimevumilia nimeshindwa, amerudi amelewa na hana nguo hata moja

Nimevumilia nimeshindwa, amerudi amelewa na hana nguo hata moja

Mke alie katika ndoa anywe kiasi kama kilichoelezwa! Sijui! Labda ni kama wengine walivyosema, hapo kuna jambo linalohitaji maombi.

Sent using Jamii Forums mobile app


huwajui wakinga kumbe! mie hii stry naiamini huyu kaka mie nimemuelewa nilikua napewa stry na watu nikawa sielewe kbs nilikuja kutanishwa na live na huyo dada na ni kabila langu dada hemuz mzania ! ni vile si poa kuweka pic ya mtu humu !
mi nnapoish yupo copy na huyu ! sema yye mambo safi balaa anaweza nunua konyagi,akamix na dompo akamix na bia akawa anakunywa !akilewa anaenda muziki ndo anapotelea huko huko mazima! unaweza mchek siku 4 nzm hapatikan anaibiwa mnoo simu lakin ihuez amini mwez huo huo mumewe anamnunulia simu matata !we acha tu !alafu jpl haoo kanisani ni walokole!
 
Wanawake wa hivi wapo kabisa. Mimi ni shuhuda wa mwanamke mmoja huku nako ishi. Huyu mwanamke kaolewa kabisa na ni mzuri wa sura na umbo (Shombeshombe). Anaweza muaga mume kwenda kwenye sherehe lakini akaishia kwenye mgegedo.

Sent using Jamii Forums mobile app


si bora huyo anaishia kwenye gegdo anaenda kata hamu !huyu nnaemjua mie yy anamix pombe nying nying harud hom hata week akirud mumew anamfungulia ! huwa anaokotwa kweny mitaro hajitambui kbs wanaume wanamlala barabaran live ! asubuhi ukimkuta kashikilia usukan huamini ! kwa nusu saa lote anawza mtext mumewe jins gan anampenda jaman anamcare mumewe uwiiiiiiiii huwa nakufa mbav mie! niki dak 5 ashatxt

maskin na mumewe mpolee anamjibb anamwita majina yote! yaan unaweza hisi wanadate kumbe wanandoa wana 10yrs! jion mume anampitia haooo nyumban!haya mambo yapo sijui y watu hawaamini!siku akitaka kulanduka ndo anamwambia mume usinipitie nipo tayar nyumban mum nae na upoyoyo hampitii mwenzak analiamsha dude bar !akisikia neno bia huwa hawez kufanya kazi tena una kuwa umeharibu akili zake!hatariuos
 
si bora huyo anaishia kwenye gegdo anaenda kata hamu !huyu nnaemjua mie yy anamix pombe nying nying harud hom hata week akirud mumew anamfungulia ! huwa anaokotwa kweny mitaro hajitambui kbs wanaume wanamlala barabaran live ! asubuhi ukimkuta kashikilia usukan huamini ! kwa nusu saa lote anawza mtext mumewe jins gan anampenda jaman anamcare mumewe uwiiiiiiiii huwa nakufa mbav mie! niki dak 5 ashatxt

maskin na mumewe mpolee anamjibb anamwita majina yote! yaan unaweza hisi wanadate kumbe wanandoa wana 10yrs! jion mume anampitia haooo nyumban!haya mambo yapo sijui y watu hawaamini!siku akitaka kulanduka ndo anamwambia mume usinipitie nipo tayar nyumban mum nae na upoyoyo hampitii mwenzak analiamsha dude bar !akisikia neno bia huwa hawez kufanya kazi tena una kuwa umeharibu akili zake!hatariuos
Vp happy birthday ili ishaje jana?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
si bora huyo anaishia kwenye gegdo anaenda kata hamu !huyu nnaemjua mie yy anamix pombe nying nying harud hom hata week akirud mumew anamfungulia ! huwa anaokotwa kweny mitaro hajitambui kbs wanaume wanamlala barabaran live ! asubuhi ukimkuta kashikilia usukan huamini ! kwa nusu saa lote anawza mtext mumewe jins gan anampenda jaman anamcare mumewe uwiiiiiiiii huwa nakufa mbav mie! niki dak 5 ashatxt

maskin na mumewe mpolee anamjibb anamwita majina yote! yaan unaweza hisi wanadate kumbe wanandoa wana 10yrs! jion mume anampitia haooo nyumban!haya mambo yapo sijui y watu hawaamini!siku akitaka kulanduka ndo anamwambia mume usinipitie nipo tayar nyumban mum nae na upoyoyo hampitii mwenzak analiamsha dude bar !akisikia neno bia huwa hawez kufanya kazi tena una kuwa umeharibu akili zake!hatariuos
Vp happy birthday ili ishaje jana?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
sasa big diamond wewe umeongea! kwanza nikupongeze kwa kuwa kati ya wanaume wachache hapa bongo! jana na juzi nimekuw nawaambia hakuna mtu perfect wa kuoa au kuolewa mtu anakuja na swag za ajabu eti ohh uliolewa nae akiwa mlev sasa h unakuja lalamika kwann mnaolewa na walevi !!!!!!!!!!!!nilishindwa hata kuhimilihisia zangu jins gan inavyokera!

huyu madala mujipa aseme ukweli wake toka rohoni na akiri kuwa yeye ndo chanzo ! ni ngumu sana mwanamke kufanya mambo km hayo ! mie huyu bishost naemfaham niliwah muuliza shida nn aliniambia mumewe amezaa na mdg ake kabisa kabisa ! ila majiran nao wana sema kazaaa pia na dada wa kazi ! na kama ni kweli umewah mkosea mkeo muombe msamaha wa dhati kbs jaman uokoe ndoa yako !kubali adhabu za mkeo atakazokupa mrudishe zizini mkeo !yaan mi nahakika moyoni wewe umemkosea mkeo thts y huna guts za kumfukuza hapo !kuwa mkweli mkuu

narudia tena na tena jaman hakuna mwanandoa perfect chini ya dunia hii kuna watu wnahis ndoa zao ni perfect lakini huez jua moyo wa mtu ni kiza kinene! hebu tuache kukashifu mambo mazito km haya mnakuwa mnazid kumuumiza mhusika anajiona hafai kuwa duniani !thts y jana nilikua nawajibu watu shit kwa upuuzi wao !mnahis kilastry inatungwa tu!kwan tupo facebook hapa !

madala mujipa uje pande hizi
 
hahha alfajir kaanguka hahah alikua anatoka toilet !kaenda kulala nje had nw anapigwa tu upepo !hata sitak kutoka nimuone !wanae ndo wameweka kambi hapo nje lol
Duh ila sie wanaume wakati mwingine tumezidi. Duh hadi watoto wanaona kuwa shida ipo. Sasa watoto wamepiga kambi kumshangaa mshua anavyo taabika na ulabu. Kwahiyo hata keki hamkukata. Duh pole sana mama.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Fix hizo... Hadithi za kufikirika... Mke atoke arudi bila nguo wewe bado unaitwa Mwanaume??? Ulikuwa wapi?? Yamefika mpaka hapo ulikuwa wapi??? Kasome kwanza utayakuta tu..!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa uandishi wa jamaa ni kweli yamemkuta. Na jamaa sio mtoto au mvulana wa shule bali mwanaume tena mwenye kifua kipana na ndio maana kavumilia hadi sasa.
NB: Kifua kipana sio kwa umbo bali kuwa na roho ya uvumilifu au ustahimilivu.
 
Ila akianza kufanya pia uje ueleze kama nilivyoeleza mimi


hahaha huyo jana nilimuangalia tu nikasma ngj nipite !binafs ukitaka umjue mwanamk jitahd uwazoee na uwe mdukuzi !unaweza kufa kwa presha ! kuna mambo yanaendelea huko nje jaman ukiambiwa huyu ndo anafanya huamini ! yaan muache kbs kujisifia kuwa mume /mke hawez fanya upuuz km huoo !moyo ni kiza atii!
 
Duh ila sie wanaume wakati mwingine tumezidi. Duh hadi watoto wanaona kuwa shida ipo. Sasa watoto wamepiga kambi kumshangaa mshua anavyo taabika na ulabu. Kwahiyo hata keki hamkukata. Duh pole sana mama.

Sent using Jamii Forums mobile app


alafu nadhan watoto bado hawajajua! ila huwa wanamwambia mhhh dady u r smelling bady! eti siku 1 ananilalamikia anamwambia nawaambia hvyo wamwambie !alinikera sana !mie najua hawajui km baba kalewa !huwa wananiambia mama njoo baba anaumwa !maana akiwa anatapika akiulizwa na wanae anasema naumwa !so wanajua baba ANAUMWA! hata hapa wananilazimisha niamke nikamwangalie baba nawaambia nakuja !keki tumekata fresh mkuu jana kaupigia hapa hapa hom!

kiukwli akili ishastuck... usishangae saa 9 anaamka na kwnda bar!
 
alafu nadhan watoto bado hawajajua! ila huwa wanamwambia mhhh dady u r smelling bady! eti siku 1 ananilalamikia anamwambia nawaambia hvyo wamwambie !alinikera sana !mie najua hawajui km baba kalewa !huwa wananiambia mama njoo baba anaumwa !maana akiwa anatapika akiulizwa na wanae anasema naumwa !so wanajua baba ANAUMWA! hata hapa wananilazimisha niamke nikamwangalie baba nawaambia nakuja !keki tumekata fresh mkuu jana kaupigia hapa hapa hom!

kiukwli akili ishastuck... usishangae saa 9 anaamka na kwnda bar!
Huyu Ngosha kiboko. Na amini ipo siku atakuwa pouwa..... na utampenda.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
sasa big diamond wewe umeongea! kwanza nikupongeze kwa kuwa kati ya wanaume wachache hapa bongo! jana na juzi nimekuw nawaambia hakuna mtu perfect wa kuoa au kuolewa mtu anakuja na swag za ajabu eti ohh uliolewa nae akiwa mlev sasa h unakuja lalamika kwann mnaolewa na walevi !!!!!!!!!!!!nilishindwa hata kuhimilihisia zangu jins gan inavyokera!

huyu madala mujipa aseme ukweli wake toka rohoni na akiri kuwa yeye ndo chanzo ! ni ngumu sana mwanamke kufanya mambo km hayo ! mie huyu bishost naemfaham niliwah muuliza shida nn aliniambia mumewe amezaa na mdg ake kabisa kabisa ! ila majiran nao wana sema kazaaa pia na dada wa kazi ! na kama ni kweli umewah mkosea mkeo muombe msamaha wa dhati kbs jaman uokoe ndoa yako !kubali adhabu za mkeo atakazokupa mrudishe zizini mkeo !yaan mi nahakika moyoni wewe umemkosea mkeo thts y huna guts za kumfukuza hapo !kuwa mkweli mkuu

narudia tena na tena jaman hakuna mwanandoa perfect chini ya dunia hii kuna watu wnahis ndoa zao ni perfect lakini huez jua moyo wa mtu ni kiza kinene! hebu tuache kukashifu mambo mazito km haya mnakuwa mnazid kumuumiza mhusika anajiona hafai kuwa duniani !thts y jana nilikua nawajibu watu shit kwa upuuzi wao !mnahis kilastry inatungwa tu!kwan tupo facebook hapa !

madala mujipa uje pande hizi

Nipo mkuu nakufuatilia kwa umakini kila hatua ya herufi binadamu hatuko sawa mwingine ni mwepesi kusema linalomkera mwingine huifazi na kuanza visa,wacha nijaribu kumuuliza lakini wakati nikiwa nishamfikisha kwao katika ile likizo ya siku tisini
 
Back
Top Bottom