Nimevumilia nimeshindwa, amerudi amelewa na hana nguo hata moja

Nimevumilia nimeshindwa, amerudi amelewa na hana nguo hata moja

Ndio mkeo hafugiki... Sa mambo gani hayo anavokufanyia??? Ni aibu kama mke wa mtu kufanya hiyo. Mpaka kujinyea sijui kurudi bila chupi aaawwsssssshhh ni balaa hilo mke wa mtu . Historia kubwa ya mambo hayo ya kulala kibalazani sijui nje ni wanaume.. So sad kwakweli..ashakua addicted huyo . Mkeo Anahitaji maombi mkuu.




Mahondaw wa Smart911
I wanted to say the something...

Ingawa ni matendo mabaya sana... Ila historia ya hayo matendo hufanywa na wanaume...

Sasa kwa mwanamke tena, mke wa mtu daah... Na mume wake hachukui hatua hata za kibabe kumrekebisha...

Inasikitisha sana...
 
Stor ya uongo hii,..au laa nyi mko kijijin kabsaa.manake wanawake wa vijijin ndo wq sampul hii
 
bado kidogo tu...ila tarajali ni smoker .....ndo najiandaa ivo


zako tia maji shogaa! akiona sigara kazizoa tahamia kwny vilv vingin !usikebehi kbs maisha ya watu wngn !hawa viumb wanabadilikaga km kinyonga
 
bado kidogo tu...ila tarajali ni smoker .....ndo najiandaa ivo


zako tia maji shogaa! akiona sigara kazizoa tahamia kwny vilv vingin !usikebehi kbs maisha ya watu wngn !hawa viumb wanabadilikaga km kinyonga
 
Huyu atakuwa

mke wa kwa sadikika haiwezekani mwanamke mmoja ana matukio mengi hivi lol mleta mada wewe ni chiziiiiiiiiiiiiiimoja aliyetoroka Nuremberg kwanza unatafutwa
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]
 
Haya ni ya kweliiii au ni hadithi mkuu...

Kuna mwanamke wa hivyo kweeeli????? Na kuna mwanaume mvumilivu kiasi hicho kweeeli???? Bado inaniwia ngumu kuamini
Haya si ya kweli sakayo, just mkuu ameamua tu kuleta story hapa kijiweni
 
mkuu kuna wanaume wanapata shida mnoo na bado anamvumilia mkewe !mie nimekumbana na visa unabaki unaema kumbe yako yana unafuu !kinachokera weng wanamkebehi
Kwa bht mbya wa2 hao ndy wenye mkosi wa kukutana na watu wenye tabia za hovyo mno ktk ndoa zao,hakika kila shetan na mbuyu wake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
9.jpg
 
Back
Top Bottom