Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio safari mkuu wacha akapumzikeNgoja uletewe magonjwa mrudishe kwao
Watu wa Makete wanatabia gani kiongozi? Ili na mimi nijipange maana duh....Makete! Nafikiri huwafahamu watu wa Makete. Na hii imefanya stori yako ionekane ni changamsha jf kwa wanaoifahamu Makete na tabia za watu wa huko. Nimefanya kazi huko miaka 10
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanawake wa hivi wapo kabisa. Mimi ni shuhuda wa mwanamke mmoja huku nako ishi. Huyu mwanamke kaolewa kabisa na ni mzuri wa sura na umbo (Shombeshombe). Anaweza muaga mume kwenda kwenye sherehe lakini akaishia kwenye mgegedo.NAMUUNGA MKONO SAKAYO.HAKUNA MWANAMKE WA HIVYOOO ! WALA HAKUNA MWANAUME MVUMILIVU KIHIVYO.FAMILIA YA MAZINGIRA HAYO NA NDOA YA HIVYO INGEKUWA IMESHAKUFA KWA UKIMWI ZAMANI....
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji102] [emoji101]
Hii ndio mikataba ya Kiafrika. Richmond, IPTL, Madini.....Mpaka kifo kiwatenganishe
Wakati unaulizwa *unampenda ?* ukajibu ndiyo, ukaulizwa upo tayari ukajibu ndiyo, ukaulizwa kwa shida na raha , kwa magonjwa na afya ukasema ndiyo, siye tulishangilia tuuu.
Sasa leo unaongea nini. subiri kifo kiwatenganishe
Ndiyo mkataba unavyosema.
Nilipokuwa huko wengi wao, hasa wamama walio katika ndoa, hujiheshimu sana. Kama habari ya mdau ni ya kweli basi niungane na wadau wengine wanaosema huyo mama hatumii akili yake ya kawaida, anastahili maombi.Watu wa Makete wanatabia gani kiongozi? Ili na mimi nijipange maana duh....
Sent using Jamii Forums mobile app
Mke alie katika ndoa anywe kiasi kama kilichoelezwa! Sijui! Labda ni kama wengine walivyosema, hapo kuna jambo linalohitaji maombi.sijakuelewa huamini anaishi makete au ni nn ? makete hawanywi pombe ? au unamanisha nn
Ni ngumu kuamini mpaka likitokea ni rahisi kutoa ushuhudaMke alie katika ndoa anywe kiasi kama kilichoelezwa! Sijui! Labda ni kama wengine walivyosema, hapo kuna jambo linalohitaji maombi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu si lazima wawe wote kama uliowaona wewe na ulijuaje kama wanatabia nzuri ulitumia kipimo ganiNilipokuwa huko wengi wao, hasa wamama walio katika ndoa, hujiheshimu sana. Kama habari ya mdau ni ya kweli basi niungane na wadau wengine wanaosema huyo mama hatumii akili yake ya kawaida, anastahili maombi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwambie nitakuwa mdhamini hii tamthilia inaweza kuwatoa hao wana ndoa kimaisha na umaarufu pia
I wanted to say the something...
Ingawa ni matendo mabaya sana... Ila historia ya hayo matendo hufanywa na wanaume...
Sasa kwa mwanamke tena, mke wa mtu daah... Na mume wake hachukui hatua hata za kibabe kumrekebisha...
Inasikitisha sana...
Salaam,
Jamani nasumbuliwa na shemeji yenu ndoa hii ina tabu sana nimevumilia mpaka nimeona leo niwashikishe mke huyu anavuta ugoro, pariki, mlevi wa pombe na kikojozi choo kipo ndani yeye anatumia ndoo na siku nyingine anajisaidia bila kujua kwa ulevi.
Nilijaribu kuwaita ndugu na jamaa kuomba msamaha na kusema harudii, siku nyingine akitoka amevaa chupi harudi nayo mi navumilia mpaka niliamua kuwacha mlango wazi ili asinisumbue kugonga.
Sasa kali ni jana amerudi amelala ukumbini nguo hata moja hana na ananuka choo mpaka muda huu naona watoto pia hawajatoka vyumbani kwa kuogopa fedhea nahisi walitoka wakamuona mama yao, hii ni safari namrudisha Makete nimechoka wadau.
Uvumilivu umenishinda
Hongera mkuu unauvumilivu aisee..Salaam,
Jamani nasumbuliwa na shemeji yenu ndoa hii ina tabu sana nimevumilia mpaka nimeona leo niwashikishe mke huyu anavuta ugoro, pariki, mlevi wa pombe na kikojozi choo kipo ndani yeye anatumia ndoo na siku nyingine anajisaidia bila kujua kwa ulevi.
Nilijaribu kuwaita ndugu na jamaa kuomba msamaha na kusema harudii, siku nyingine akitoka amevaa chupi harudi nayo mi navumilia mpaka niliamua kuwacha mlango wazi ili asinisumbue kugonga.
Sasa kali ni jana amerudi amelala ukumbini nguo hata moja hana na ananuka choo mpaka muda huu naona watoto pia hawajatoka vyumbani kwa kuogopa fedhea nahisi walitoka wakamuona mama yao, hii ni safari namrudisha Makete nimechoka wadau.
Uvumilivu umenishinda