madala mujipa
JF-Expert Member
- Feb 23, 2017
- 1,417
- 862
- Thread starter
- #121
mkuu Mbitiyaza labda ugomvi ni kumwambia aache pombe na kumrudia mungu na watoto wanaweza pata wenza ni aibu kwa wakwe sema nimekusoma wacha nikamtie kwenye friza huko makete@mudala mujipamrudishe kwa muda kwao huenda akabadilika lakini chanzocha yote haya hakuna ugomvi kweli mkuu?