MBITIYAZA
JF-Expert Member
- Jan 22, 2017
- 14,947
- 26,074
Duuuh
Na mwanaume anavumilia tuu jamanii... Lakini huyoo nae tayari kuna linalomsukuma anywe, ingawa sio njia nzuri ya kulitatua tatizo.... Mleta mada kasema mkewe ana puuu kabisaa ndani..... Ndo maana Siamini ujue
mume mstaarab akija anamfungulia mlango analala !anamuosha anambadilisha nguo asbh unawaona wapo kwenye gar anamdrop job mume anaenda kazini !yaan km sio huyu sijui !sitak hata kumcheka !ni maisha ya ajabu sana