Blessingmore
JF-Expert Member
- Jun 14, 2016
- 377
- 394
Mrudishe Makete kwanza huyo akapigwe na baridiNilimuoa kujaribu kumrekebisha tabia yake lakini duuh
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mrudishe Makete kwanza huyo akapigwe na baridiNilimuoa kujaribu kumrekebisha tabia yake lakini duuh
Josee amerudi na id nyingi kweli kweli
Ngumu kumesa!Haya ni ya kweliiii au ni hadithi mkuu...
Kuna mwanamke wa hivyo kweeeli????? Na kuna mwanaume mvumilivu kiasi hicho kweeeli???? Bado inaniwia ngumu kuamini
Duh... MBITIYAZA na shosti wako mbea espy njooni mumsome mwanamke wa shoka huku...Salaam,
Jamani nasumbuliwa na shemeji yenu ndoa hii ina tabu sana nimevumilia mpaka nimeona leo niwashikishe mke huyu anavuta ugoro, pariki, mlevi wa pombe na kikojozi choo kipo ndani yeye anatumia ndoo na siku nyingine anajisaidia bila kujua kwa ulevi.
Nilijaribu kuwaita ndugu na jamaa kuomba msamaha na kusema harudii, siku nyingine akitoka amevaa chupi harudi nayo mi navumilia mpaka niliamua kuwacha mlango wazi ili asinisumbue kugonga.
Sasa kali ni jana amerudi amelala ukumbini nguo hata moja hana na ananuka choo mpaka muda huu naona watoto pia hawajatoka vyumbani kwa kuogopa fedhea nahisi walitoka wakamuona mama yao, hii ni safari namrudisha Makete nimechoka wadau.
Uvumilivu umenishinda
Acha dharauPOLE KWA KUOA BAAMEDI ET BADO UNAMVUMILIA CHEFUUUU WATOTO WAZURI WAMEJAA UNAHANGAIKA NA TAKATAKA LOOOH
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli umejaribu kuvumilia sana lakini akiwa hajalewa hukai naye na kuzungumza haya?Salaam,
Jamani nasumbuliwa na shemeji yenu ndoa hii ina tabu sana nimevumilia mpaka nimeona leo niwashikishe mke huyu anavuta ugoro, pariki, mlevi wa pombe na kikojozi choo kipo ndani yeye anatumia ndoo na siku nyingine anajisaidia bila kujua kwa ulevi.
Nilijaribu kuwaita ndugu na jamaa kuomba msamaha na kusema harudii, siku nyingine akitoka amevaa chupi harudi nayo mi navumilia mpaka niliamua kuwacha mlango wazi ili asinisumbue kugonga.
Sasa kali ni jana amerudi amelala ukumbini nguo hata moja hana na ananuka choo mpaka muda huu naona watoto pia hawajatoka vyumbani kwa kuogopa fedhea nahisi walitoka wakamuona mama yao, hii ni safari namrudisha Makete nimechoka wadau.
Uvumilivu umenishinda
Alikua anakunya nikajaribu kumbadili tabia!
Hakuna jinsi nimenyoosha