Nimevumilia nimeshindwa, amerudi amelewa na hana nguo hata moja

Nimevumilia nimeshindwa, amerudi amelewa na hana nguo hata moja

Pole sana...
Na...
Inasikitisha sana...

Kama umeshindwa kumdhibiti mke wako kwa hayo mambo anayofanya, kheri umuache...

Baba ndiyo kichwa cha nyumba, unashindwaje sasa...

Kama easy ways zimeshindikana, use the hard ways...

Tatizo binadamu ni wabishi sana...


Cc: mahondaw
 
Haya ni ya kweliiii au ni hadithi mkuu...

Kuna mwanamke wa hivyo kweeeli????? Na kuna mwanaume mvumilivu kiasi hicho kweeeli???? Bado inaniwia ngumu kuamini




Sakayo kuna mwanamke wa hvyo sehem nayoishi mie ! tena shoga ukimuona hv humdhanii ! dada anakunywa pombe had pombe inamuogope harud kwake, anaeza kata week nzima yuko kitaa ! akitoka nje ukimuona kwenye rav 4 yake utabishaaaaaaaa ! anarudishwa na wanaume akiwa hajitambui !hv muda km huu anaweza kuwa ashalewa anakata tu mauno bar! mie nimeshuhuduia kwa macho yangu mwenyeweeeeeeeeeeeeeeeeee! dada mzuri anajicho zuri km la mama samia ! anajikwtua utampenda nwenyewe ! akiskia neno pombe ananyanyuka ! anachanganya pombe aina km 4 anakunywa ! jaman haongeag yule dada !!ukiambiwa mumewe profesa huez amini ! jumapili anakutumia picha yuko na mumewe kanisani jaman huwa nachekahad nakaa chini !mwokovu !uwiii wapo shogaaa !

huyu mtoa mada angetaja mkoa mwingne(anaomrudisha) tu ningejua ndo yeye !hahahha na mumewe msukuma heheheh! handsup SUKUMA

niliwah muuliza shida sana ni nn akasema mumewe kazaa na mdg ake wa damu !

TEMBEA UONE
 
Pambana na sijui nini yako mkuu

Sent from my TV
 
Mh! Pole sana Mkuu. Jamaa wamemalizana naye mtaani kisawa sawa. Nawe unamjua tabia yake inakuwaje unamruhusu atoke? Marinda yote kwisha kazi. Pole sana Mkuu.

Salaam,

Jamani nasumbuliwa na shemeji yenu ndoa hii ina tabu sana nimevumilia mpaka nimeona leo niwashikishe mke huyu anavuta ugoro, pariki, mlevi wa pombe na kikojozi choo kipo ndani yeye anatumia ndoo na siku nyingine anajisaidia bila kujua kwa ulevi.

Nilijaribu kuwaita ndugu na jamaa kuomba msamaha na kusema harudii, siku nyingine akitoka amevaa chupi harudi nayo mi navumilia mpaka niliamua kuwacha mlango wazi ili asinisumbue kugonga.

Sasa kali ni jana amerudi amelala ukumbini nguo hata moja hana na ananuka choo mpaka muda huu naona watoto pia hawajatoka vyumbani kwa kuogopa fedhea nahisi walitoka wakamuona mama yao, hii ni safari namrudisha Makete nimechoka wadau.

Uvumilivu umenishinda
 
Sakayo kuna mwanamke wa hvyo sehem nayoishi mie ! tena shoga ukimuona hv humdhanii ! dada anakunywa pombe had pombe inamuogope harud kwake, anaeza kata week nzima yuko kitaa ! akitoka nje ukimuona kwenye rav 4 yake utabishaaaaaaaa ! anarudishwa na wanaume akiwa hajitambui !hv muda km huu anaweza kuwa ashalewa anakata tu mauno bar! mie nimeshuhuduia kwa macho yangu mwenyeweeeeeeeeeeeeeeeeee! dada mzuri anajicho zuri km la mama samia ! anajikwtua utampenda nwenyewe ! akiskia neno pombe ananyanyuka ! anachanganya pombe aina km 4 anakunywa ! jaman haongeag yule dada !!ukiambiwa mumewe profesa huez amini ! jumapili anakutumia picha yuko na mumewe kanisani jaman huwa nachekahad nakaa chini !mwokovu !uwiii wapo shogaaa !

huyu mtoa mada angetaja mkoa mwingne(anaomrudisha) tu ningejua ndo yeye !hahahha na mumewe msukuma heheheh! handsup SUKUMA

niliwah muuliza shida sana ni nn akasema mumewe kazaa na mdg ake wa damu !

TEMBEA UONE
Duuuh
Na mwanaume anavumilia tuu jamanii... Lakini huyoo nae tayari kuna linalomsukuma anywe, ingawa sio njia nzuri ya kulitatua tatizo.... Mleta mada kasema mkewe ana puuu kabisaa ndani..... Ndo maana Siamini ujue
 
Haya ni ya kweliiii au ni hadithi mkuu...

Kuna mwanamke wa hivyo kweeeli????? Na kuna mwanaume mvumilivu kiasi hicho kweeeli???? Bado inaniwia ngumu kuamini
Wanawake wa aina hii wapo mkuu,huku kitaa kuna mke wa mtu ana sifa zote alizotaja huyu
 
Sakayo kuna mwanamke wa hvyo sehem nayoishi mie ! tena shoga ukimuona hv humdhanii ! dada anakunywa pombe had pombe inamuogope harud kwake, anaeza kata week nzima yuko kitaa ! akitoka nje ukimuona kwenye rav 4 yake utabishaaaaaaaa ! anarudishwa na wanaume akiwa hajitambui !hv muda km huu anaweza kuwa ashalewa anakata tu mauno bar! mie nimeshuhuduia kwa macho yangu mwenyeweeeeeeeeeeeeeeeeee! dada mzuri anajicho zuri km la mama samia ! anajikwtua utampenda nwenyewe ! akiskia neno pombe ananyanyuka ! anachanganya pombe aina km 4 anakunywa ! jaman haongeag yule dada !!ukiambiwa mumewe profesa huez amini ! jumapili anakutumia picha yuko na mumewe kanisani jaman huwa nachekahad nakaa chini !mwokovu !uwiii wapo shogaaa !

huyu mtoa mada angetaja mkoa mwingne(anaomrudisha) tu ningejua ndo yeye !hahahha na mumewe msukuma heheheh! handsup SUKUMA

niliwah muuliza shida sana ni nn akasema mumewe kazaa na mdg ake wa damu !

TEMBEA UONE
Duuuh
Na mwanaume anavumilia tuu jamanii... Lakini huyoo nae tayari kuna linalomsukuma anywe, ingawa sio njia nzuri ya kulitatua tatizo.... Mleta mada kasema mkewe ana puuu kabisaa ndani..... Ndo maana Siamini ujue
 
Back
Top Bottom