Nimevunja Ndoa ya Ex Wangu kisa kumchangia Damu. Mumewe kawa mbogo kaapa kuni surprise

Umejitakia mwenyewe, kwakua bado unampenda na amesha olewa ulipaswa kukaa nae mbali kwa maana ya kusiwe na mwasiliano hata ya salamu kati yenu, acha mazoea na mke wa mtu
 
Mwenye kosa ni wewe kwann wanaume tunaumizana wenyewe?
Eb muwe mnajarib kubeba maumivu kama ungekuwa wewe unafanyiwa ivo kwa mkeo?

Wamekushauri mengi sana ila kama unaakili huyo mwanamke hafai ndugu,,,hizo suprise ulizozifanya kwa mme wake wa halali ukijidanganya ukamuoa tu,,, utarudi hapa kuthibitisha kwamba kupendana haimanishi ndo kuishi pamoja ,,,,huyo mwanamke ogopa mkuu ,,,wewe unaamin utamridhisha kwa kila kitu anachotaka? Bro hiv viumbe vinabadilika aisee
 
Huyu bwana mtoa mada mkiona zimepita siku 5-7 kwanzia alipotoa hii thread basi mjue kabisa keshayapokea malipo yake na sapraiz kutoka kwa huyo mme wa X wake, kwahiyo wana JF msiumize kichwa mtajua pa kuanzia kuhusu kesi ya kupotea kwa huyu bwana mtoa uzi[emoji23][emoji23][emoji23].

Nawewe ni mpumbavu kwan huwez kumsaidia huyo x wako kimya kimya pasipo kumsabishia mmewe kujua?

Jifunze kitu, X harudiwi wala hatafutwi haijalishi anapitia mangap huko aliko acha ayapitie ni wakati wake na ni malipo yake ya uchaguzi wake wa maisha, acha kihelehele na ujuaji, utaja potezwa siku si zako.
 
Tangu lini machawa mkawa na akili? Yaan ndoa ifungwe then ivunjwe sababu kwa sababu za kitoto kama hizo?? Ndiomaana hata mnauza bandari zetu na resources za nchi pia hamuoni shida kusaini mikataba ya ulaghai kwa tamaa zenu za kijinga
 
NAKAZIA SANA
 
Ukiona binti alikuwa anakukataa miaka halafu ghafla akakukubalia ,kaa naye mbali, ndio kuolewa kwa mihemko sababu kagombana na mtu wake. Huyo binti hampendi huyo jamaa, na asipoangalia wataumizana naye.
Huyo kaka akae naye mbali, kama binti ana ubavu avunje ndoa yake mwenyewe maana aliingia kichwa kichwa akidhani amemkomoa ex wake kumbe anajipalia mkaa.
 
Wabongo bwana, hujui kupata mtu wa kuchangia damu ni mtihani, kafanya vyema kuokoa uhai wa mtu.

Kupata mtu wa kuchangia damu ni kipengele.
 
Tena bora huyo katoa taarifa wengine wanamaliza kimyakimya

Sent from my HUAWEI MLA-AL10 using JamiiForums mobile app
Wanaume wa kibongo bwana, eti unaua mtu sababu ya mke , huko ni kukosa kujiamini. Kama mke anachepuka muache aende kuliko kujitafutia matatizo na kutia kizazi chako doa. Kwani umemzaa wewe mpaka uuwe sababu yake? Grow up men.
 
Mimi siwezi kujitesa kuishi na mtu ambaye naona hakuna mapenzi, cha kujifia nini.
 
Huwenda ninachokiandika kikakuuma au nikapigwa mpaka ban na moderator lakini kama kisa kilichotokea kwako kilimtokea jirani yangu kazinguana na dem wake dem hasira akaenda kuolewa na jamaa fulani.

Baada ya muda dem akawa anaznguana na mmewe na kisa ni huyu jirani yangu mara apige sim mara atume mesage,mme mtu alimpa warning zaid ya mara tatu achana na mke wangu kama ungekuwa unampenda ungemuweka wewe ndani kama mkeo.

Jamaa kila akiambiwa anakaa week anaendelea na mwanamke ndo kila saa mara jamaa hanipend kama unavyonipenda wewe mara hivi mara vile kama sababu ya kutafutia njia ya kuchepuka.

Siku ya siku jirani yangu kaenda zake bar wazee wakamchezeshea mchezo kalewa mpaka amezika anaamka asubuh anajikuta yuko sokoni mtaani akiwa mtupu akafu kamwagiwa manii mwili mzma kuanzia mkndun mpka kichwani inshort walimfira.

Kama unavyojua mitaani kwetu mwenye siku kapiga picha wengine video ilimradi mpka saa 4 mtaa mzma una habari mpka napozungumza na wewe hapa ni kwamba jamaa kakimbia mji,dem kaachwa na mwamba wakapelekana mpaka ustawi jamaa analipa 20k kwa week kwa ajili ya watoto tu wakati alikuwa anapewa mpaka 50k kwa siku kabaki single maza.

Kisa kingine ni jamaa alikuwa na uwezo hivyo hvyo achana na mke wangu mbishi watu wakamtegeshe demu pisi kali aliyeungua ndani ya week tu ngoma hyo tena jamaa alivyokuwa na hasira alihakikisha hadi mkewe ameukwaa


So visa ni vingi huwez jua uchungu wa mke mpaka uingie kwenye ndoa na mme anaweza kufanya lolote hata kuua sababu ya mkewe na huwa siyo sababu ya **** bali dharau anayopata ndani ya jamii hasa kila mtu akijua mkeo anatombwa na fulani.
 
Huu nao ni wendawazimu, na I tabia za watu masikini. Watu kama kina Mosha wangetaka kufanya umafia wangefanya ila wanaona ni ujuha uliopitiliza. Haweza halibu jina lake sababu ya mtu amlokutana ukibwani.
 
Well said
 
Sijajua kama nitakachoandika wameshaandika wenzangu

Ni hivi, inawezekana kwanza huyo jamaa alipanga mchezo na huyo aliyekuwa shemeji yako na wakafanikiwa. Shemeji akavujisha siri na hatimaye mwenza wako akapaniki. Ni kawaida yao kupaniki na kutafuta cha kuwaondolea hasira. Ndio usaliti unaingia. Hii sio kwa wanawake tu.

Sasa kosa linaanzia kwako kukubali. Kisha kosa linaendelea kwa mwenzio kukusaliti.

Najaribu kumuelewa huyo dada. Pengine kwa kujua kuwa hasira zitakapopungua angeweza kurudi kwako ndio maana jamaa akampa mimba. Jamaa anajua afanyacho. Ila pia hana sababu za kupaniki sana kwa kuwa alijivika ufisi kuvizia mkono unaodondoka. Alipoona haudondoki akaamua kupita nao.

Huyo mwanamke maisha yake hatakuja kuwa sawa. Hata kama akirudi kwako ukweli ni kwamba wana ndoa. Zaidi wana mtoto. Mtasumbuka sana. Wewe unaweza ku move on ila huyo mwanamke ni ngumu.

Fikisha hili suala kwa ndugu na jamaa. Nenda mbali zaidi ripoti polisi. Lakini kubwa zaidi angalieni msije poteza uhai wa huyo dada.

Na hii ni kwetu sote. Usaliti upo. Japo si halali haimanishi tuendekeze. Kubwa la kufanya ni kujipa muda wa kutuliza hasira angalau miezi 3. Maamuzi yafanyikayo wakati wa hasira, huzuni, furaha hayajawahi kumuacha mtu salama
 
Watu wapo too emotional amesema yeye huyo binti ndio anaemfuatafuata wajinga wamekomaa achana na wake za watu kwani kuna wake za wanyama shenzi type, baada mtoe ushauri mmekomaa achana na wake za watu km hamjasoma story kasema binti ndio anaemfuatafuata na walishafanya ya kufanya zaidi ya miaka 3 kwa hio wanajuana then what? Mmekomaa TU achana na wake za watu

Rubbish

Ebwana Mimi nakupa ushauri wa kiume

Rule #1 Mwanaume hutakiwi kua muoga

Rule #2 usipangiwe na kima yoyote nini ufanye na nini usifanye ndio hawa kima humu wasikupangie cha kufanya

Rule #3 jiamini katika maamuzi yako hata km unakosa Ila Amini upo sahihi

Rule #4 achana na ushauri unaokupeleka njia hasi ushauri unaokusiribia kwamba umekosea umekosea umekosea achana na huo ushauri

Rule #5 don't forget Rule #1 Mwanaume lazima uwe jasiri hata km unakatiza kwenye kundi la Simba wenye njaa kali ambao wapo tayari kukuralua mda wowote bila kujali unaelekea wapi au unatoka wapi

Nimemaliza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…