Nimevuruga kikao cha watu, hakuna ndoa tena

Nakuunga mkono lakini naogopa!

Ninapoangalia ulimwengu na yaliyomo halafu wanaoyapinga mko wachache hivi


Mkuu sisi tutaendelea kuliendesha hili gurudumu mpaka mwisho
 
Umeanza na jina linaanziwa name J baadae umenogewa kutuambia ni James

Ila hata ukiachana na mambo ya Bikra. Hakuna ndoa hapo......mapema sana kakunjua makucha tayari huyo mgogo/mrangi
Atakuwa Mrangi. Hao watu ni zaidi ya Messi kwenye mapenzi.
 
Naam
Kwa mujibu wa Biblia umetenda haki na thawabu yako njema inakisubiri.

Mwanamke aina hiyo kumuoa anaenda kuwa mwiba mwilini mwako hadi mwisho wa uhai wako.

Just like Israel na Palestina.
 
Wakuu kwema!

Jana jumamosi nilikuwepo kwenye Kikao kilichofanyika Tegeta Tangibovu.
Bikra si issue sanaaa issue ni heshima na kujitambua huyo bint bado hajitambui na hana heshima kwa mdogo wako.

Kila mtu ana mapito yake kwahyo akina dada wasio na bikra wasilaumiwe sanaaa wengine walikuwa kwenye relationship ambazo walikuwa wanaamin zitawafikisha mbali ila hazikuworkout sasa wafenyeje?.

Huyo mdogo wako hana msimamo na trust me atakuja kuishi na huyo dada na wote kwa pamoja watakuja kukugeuza ww kuwa adui mkuu wa mahusiano yao. Nadhan huijui vizur nguvu ya papuchi
 
Wataoana. Trust me. Na wewe utakuwa adui yao namba moja. Usipende kujihusisha na mambo ya watu wawili hadharani hasa wenye akili za kitoto kama huyo mdogo wako
🤣🤣🤣🤣🤣!!! Jamaaa atakua adui namba moja wa familia.
 


Sasa Kama binti Hana bikra unauhakika upi anajiheshimu?

Huyu ni Kwa sababu kashikwa je asingeshikwa?

Ni ujinga kusema muhimu Kwa mwanamke ni kujiheshimu wakati huo huo huna uthibitisho.

Mimi Nina maadui wakubwa, hivi vitoto havitanisumbua akili.
 
Naam
Kwa mujibu wa Biblia umetenda haki na thawabu yako njema inakisubiri.

Mwanamke aina hiyo kumuoa anaenda kuwa mwiba mwilini mwako hadi mwisho wa uhai wako.

Just like Israel na Palestina.


Hata Biblia isingeandika, ni akili ya kawaida kutambua Jambo hilo.
 
Wakuu kwema!

Jana jumamosi nilikuwepo kwenye Kikao kilichofanyika Tegeta Tangibovu.

Kikao kilimhusu mtoto wa Baba Mkubwa, ambaye kiumri anamiaka 29 nikiwa nimemzidi miaka Kama sita hivi.
Safi sana, mwanamke asiye na Bikra hastahili kupewa heshima ya ndoa, ni malaya tu.
 
Kwanza kabla sijamaliza kusoma tuanze na hilo swala la bikira unalowadanganya siku nyingi wasiooa ,waanze kuzitafute kumbe hazipo. Wewe na huo umri wa miaka 35,bikira zipi unazipata?. Unabaka vitoto vya shule ya msingi?. Maana pekee ndivyo vyenye bikira. Ukiniambia katika huo umri eti kuna bikira unakumbana nazo watakuelewa wenye akili kama zako tu. Hata uniambie umri wa miaka 27 unapata bikira bado sio kweli kwa kizazi cha sasa
 
Wataoana. Trust me. Na wewe utakuwa adui yao namba moja. Usipende kujihusisha na mambo ya watu wawili hadharani hasa wenye akili za kitoto kama huyo mdogo wako
Huyu jamaa ana akili za kitoto hatari. Halafu anaelekea kwenye uzee. Vijana wanamsikiliza kweli na porojo zake za bikira.
 
Umeanza na jina linaanziwa name J baadae umenogewa kutuambia ni James

Ila hata ukiachana na mambo ya Bikra. Hakuna ndoa hapo......mapema sana kakunjua makucha tayari huyo mgogo/mrangi
Binti kama huyo ukiweka ndani ni pasua kichwa,anaonekana ni mtu wa tamaa za pesa na limbukeni.
Akija mtu mwenye gari hata kama ni ya kuazima anaondoka naye kirahisi sana na hajui thamani ya ndoa

Sent from my SM-C7000 using JamiiForums mobile app
 


Yaani binti yuko kwenye taratibu za kuolewa anachepuka wanaume wengine!?

Wazazi tuombe rehema za Mungu kwaajili ya watoto wetu
 
Yaani binti yuko kwenye taratibu za kuolewa anachepuka wanaume wengine!?

Wazazi tuombe rehema za Mungu kwaajili ya watoto wetu

Mbona hiyo IPO Sana.

Mwingine analala na mwanaume mwingine siku moja kabla ya Harusi.

Dunia ina mambo hii
 
Hongera sana joka jeusi, umemuokoa J. bi harusi angemegwa sana siku moja kabla ya harusi kisha akaachiwa aende nae fungate.
 
Mkuu kama nadanganya hapa Basi Mungu anilaani mimi na kizazi changu chote, nimewahi kukutana na binti wa miaka 24 aliemaliza chuo cha mipango dodoma akiwa mpya kabisa (bikra) na nikamtoa mimi mwenyewe.

Mkuu amini bikra zipo,kuna wanawake wanajua kujiheshimu inategemeana tu na cycle yako ya maisha.Sio rahisi kuwapata kutokana na aina ya maisha wanayoishi ila wapo wengi tu.

Mke wangu pia nilimkuta slid kabisa, ndiomaana mimi huwa namsupport Sana mkuu Jokajeusi .
 
Fake news
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…