Nimevuruga kikao cha watu, hakuna ndoa tena

Nimevuruga kikao cha watu, hakuna ndoa tena

Kulikuwa na binti aliitwa Mercy. Mercy alisoma UDSM akamliza na miaka 27.

Mercy katika kuhustle na life akakutana na mjeda. Wakaanza mahusiano. Katika kipindi kdogo cha mahusiano (3 months), mjeda akawa anamchallenge wafanye matusi.

Mercy akawa reluctant at first. Yeye alikuwaga na rafikize kadhaa. Siku wakawa wamekaa wanapiga story. Akawaambia kuhusu mwanaume wake na anachokitaka kwake.

Wakamuuliza Mercy una miaka mingapi akawaambia 27. Wakamwambia " unasubiri nini wewe, sealed sealed ndo ushubwada gani. Em achana na uzamani na ufamba. Anakupenda huyo kakuvumilia sana huoni tu. Embu usimtese bwana. Kwanza sealed sio guarantee ya ndoa kudumu so achana na hizo fikra"

Miss Mercy akaubeba ushauri kama ulivyo. Chap kwa haraka wakameet hotelini kutia signature kwenye mahusiano yao.

Sasa baada ya mjeda kugundua binti alikua sealed hakuendelea. Akamwambia "what wewe ni bikra? Kwanini hukuniambia. Yani kumbe we wa kizamani hivyo. Akamdharau, hakumlala, akamuacha. Akajisikia kuumia sana na kujiona ana mkosi, kasoro.

Akaongea na mmama mmoja akamwambia embu usiwasikilize wenzako watakupoteza. Tafuta maisha yako jitunze muoaji atakuja mapema tu usiogope.

Alivyofika 30 years akiwa katika ofisi flani, akakutana na mwanaume aliyekuwa akiishi China. Mwanaume akampenda Mercy sana. Akamposa, mahari ndoa ndani ya muda mfupi sana. Alikuja kwa ajili ya kazi iliokuwepo Tanzania kwenye shirika la reli. Alikua na mafanikio kiasi chake.

Sasa tayari wana watoto watatu. Sio kwamba its a perfect marriage but its a blessed one.

Ila tu mwe na uhakika hata kama sealed, msipoendelea kumuomba Mungu na kutembea katika njia zake katika ndoa hata sealed haina thamani. The Hand of God is everything in a marriage.

#nawasilisha#
 
Kulikuwa na binti aliitwa Mercy. Mercy alisoma UDSM akamliza na miaka 27.

Mercy katika kuhustle na life akakutana na mjeda. Wakaanza mahusiano. Katika kipindi kdogo cha mahusiano (3 months), mjeda akawa anamchallenge wafanye matusi.

Ahsante Kwa ku-share Stori hii.

Kumuomba Mungu ni pamoja na kulinda na kutumia vyema vitu alivyokupa
 
Iko hivi. Sera ya mkuu jokajeusi naielewa kiasi.

Lakini naomba niitimilize. Mwanaume pale unapoanza kujitambua si uache kufunua wanawake sketi zao. Wewe unakitembeza nje kwa spidi ya 4G sa unategemea utapata hiyo sealed?

Kama mwanaume una hulka ya kikahaba utapata kahaba vilevile. Lakini kama mwanaume unajitambua, kwamba si kila shimo la kuingia, kwamba unazisemesha hisia zako, kwamba kichwa cha chini unaweza kukicontrol basi na wewe utapatiwa hitaji lako.

Lakini ikiwa wewe kwa siku unaweza lala wanawake tofauti na ukajiona "ndio mi si mwanaume, hela za kwangu, tamaa imeniwaka vibaya mno" usifikiri GOD will bring you such a gift. Ni wachache sana hupata neema hiyo.

Na pia sealed is worthy but its not all that matters. Sealed + Hofu ya Mungu+ Ibada + Upendo vyoooote na vingine zaidi na zaidi.

Men, just stay in God's lane muone kama hamtaletewa package special...

#sijuiwatanielewa#


Nashukuru Kwa maoni
 
Jamaa hii kitu usikae ufanye tena..... wataoana na watakuona mbuzi kama mbuzi wengine
 
Ushauri mzuri sana huu japo kwa upande wa mwanamke unaumiza, ila atajifunza na atatulia kwenye ndoa yake hata akija Kuwa na mwanaume mwingine huko mbeleni hata kama afanye kosa kama hili kamwe
Wengine ni tabia zao sugu. Mungu tu ndiye mwenye uwezo wa kuwafanya wabadilike.
 
Kikao kwisha
Hapo hujatenda jambo jema. Ungewaachia waamue wenyewe. Ushauri wako ulienda mbali mno.

Kwa raarifa yako hao wataoana na wataishi kwa upendo. Sijui utaficha sura yako wapi.
 
Wataoana. Trust me. Na wewe utakuwa adui yao namba moja. Usipende kujihusisha na mambo ya watu wawili hadharani hasa wenye akili za kitoto kama huyo mdogo wako
Wewe acha hizo! Hakuna ndoa hapo.
 
Wataoana. Trust me. Na wewe utakuwa adui yao namba moja. Usipende kujihusisha na mambo ya watu wawili hadharani hasa wenye akili za kitoto kama huyo mdogo wako
Wataoana lakini Luna siku muoaji atakuja kuamini alichoambiwa....

Na kuna siku aliyeolewa ataona haya kwa sababu kilichosemwa kipo.

NA KITAKUWA WAZI, ONCE A CHEATER IS ALWAYS A CHEATER
 
Wengine ni tabia zao sugu. Mungu tu ndiye mwenye uwezo wa kuwafanya wabadilike.
Kweli kabisa mkuu. Nilikutana na dem mtandaoni ikawa kama tumeendana baada ya kuwekana wazi changamoto za mahusiano tulizokumbana nazo. Nilijitahidi jkumuweka sawa. Duuu!! Ila Christmas eve nikanyoosha mikono.

Niligundua bado alikuwa kwenye magroup ya WhatsApp ya kuuza mbususu na mashoga zake wote hali ni hiyo. Ila ukimuona hafananii na hiyo mambo kabisa. Maana appearance yake inatosha kabisa kuwa mtu na mji wake.
 
Back
Top Bottom