Nimevuruga kikao cha watu, hakuna ndoa tena


Danganya vitoto Mkuu.

Kwanza mlipzaliwa miaka ya 75 Kurudi chini hamna cha kutuambia miaka hii. Maana mlishindwa karibia vitu vyote
 
Kunguru hafugiki mjomba, nilimtoa bikra mimi mwenyewe na bado kucheat alicheat kama kawaida walahi.


Wadanganye watoto.

Ulimtoa bikra na kumuoa au ulikuwa unamchezea tuu
 
Kama huyo binti anapafahamu kwako l,trust me atapitia sheli


Hawezi kuthubutu.

Wanachomea wanaume mabwege.

Ajaribu ndio atajua hajui.

Kama anataka kuwaweka wazazi wake rehani ajaribu kuja kwangu hata kunipigia kelele zake za kipuuzi

Anniogopa, hata wazazi wake wananijua vizuri na kuniogopa labda Kama amechoka kuishi na ndugu zake
 
An

Afikiri sisi hatupendani kama wao

Maana siku zote huwa naamini wanawake hawapendani


Wanawake wanafikiri wao ni wathamani Sana, hawajui thamani Yao ni wao kuwa Safi. Hilo tuu.

Mwanamke akishakuwa Malaya Hana thamani tena
 


Huyo ni mshamba,
Wanawake bikra wapo kibao na wazuri wenye akili zao.
Mtu akishakuwa Fisi hupenda mizoga
 
Hongera sana joka jeusi, umemuokoa J. bi harusi angemegwa sana siku moja kabla ya harusi kisha akaachiwa aende nae fungate.

Ndio maana huwaga nawaambia Vijana hakikisha unaoa mwanamke mwenye bikra.umuharibu mwenyewe mkiwa ndoani lakini sio kuchukua vilivyoharibiwa na wahuni
 
Wataoana. Trust me. Na wewe utakuwa adui yao namba moja. Usipende kujihusisha na mambo ya watu wawili hadharani hasa wenye akili za kitoto kama huyo mdogo wako
Huo ndiyo uamuzi uliostahili kuchukuliwa_mm ninamtoto wa dada yangu aliwahi niletea kesi kama hiyo nikamshauri akanikaidi yalimkuta makubwa...!!
Haiwezekan mwanamke katolewa posa halafu anazini na mwingine hiyo ndoa ataipa heshima yake?
 
Wataoana. Trust me. Na wewe utakuwa adui yao namba moja. Usipende kujihusisha na mambo ya watu wawili hadharani hasa wenye akili za kitoto kama huyo mdogo wako
Unaogopa kumlinda ndugu yako kisa unaogopa utajenga uadui naye? Issue ya bikra sidhani kama ni practicable kwa dunia hii lakini mwanamke anaendekeza wanaume wakati ana mchumba siyo jambo la kupuuzia.
 
Iko hivi. Sera ya mkuu jokajeusi naielewa kiasi.

Lakini naomba niitimilize. Mwanaume pale unapoanza kujitambua si uache kufunua wanawake sketi zao. Wewe unakitembeza nje kwa spidi ya 4G sa unategemea utapata hiyo sealed?

Kama mwanaume una hulka ya kikahaba utapata kahaba vilevile. Lakini kama mwanaume unajitambua, kwamba si kila shimo la kuingia, kwamba unazisemesha hisia zako, kwamba kichwa cha chini unaweza kukicontrol basi na wewe utapatiwa hitaji lako.

Lakini ikiwa wewe kwa siku unaweza lala wanawake tofauti na ukajiona "ndio mi si mwanaume, hela za kwangu, tamaa imeniwaka vibaya mno" usifikiri GOD will bring you such a gift. Ni wachache sana hupata neema hiyo.

Na pia sealed is worthy but its not all that matters. Sealed + Hofu ya Mungu+ Ibada + Upendo vyoooote na vingine zaidi na zaidi.

Men, just stay in God's lane muone kama hamtaletewa package special...

#sijuiwatanielewa#
 
Anaoa Mgogo huyu J ana akili kweli?! Wagogo hawafai Nyikani hata Mwituni. Mtu yupo kwenye uchumba kuelekea kuolewa anajiuza. Pigeni chini mzao wa SABUFA huo.
 
Tunaendeleza kuharibu tu. Kutoka kumharibia dogo wetu aliyetaka kuoa single mama mpaka kwa huyu mtoto wa kambo wa SABUFA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…