Nimevuruga kikao cha watu, hakuna ndoa tena

Mbona kama wewe ndio una akili za kitoto mkuu? Sorry lakini!

Sent from my A50s using JamiiForums mobile app
Wala bila sorry. Umri wako?,ili nikuelewe nikupime uelewe wako kuringana na umri wako. Mwisho unaamini ktk bikira miaka hii?. Jibu lako kwa hili swali litakuwa limenipeleka kwenye umri wako pia.
 
Duuh
 
Wala bila sorry. Umri wako?,ili nikuelewe nikupime uelewe wako kuringana na umri wako. Mwisho unaamini ktk bikira miaka hii?. Jibu lako kwa hili swali litakuwa limenipeleka kwenye umri wako pia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…