Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Life is too short to wear boring shoesNice sneakers
Muzee ya iyena iyena??😹Usimpe wa kwangu tafadhali..!🤸
Hivi huyu bado hajapataga waifu mpaka leoThe Icebreaker kimbia pm kwa chakorii haraka kabla hajaleta uzi wa kutafuta mume
Jana alivotafutwa mme muislamu si ulipatikana? Au haujaona tuta 🤣🤣Mwambie basi aweke uzi wa kutafuta mume kwanza, kisha ndio arudi tena huko alipokua,
Asiniweke roho juu juu kwa kusubiri uzi wake.
ephen_
Though shoes are shoes as long as they are worn according to the context 😌Life is too short to wear boring shoes
Tumeshindwana hata kabla ya uchumba kuanza!!Jana alivotafutwa mme muislamu si ulipatikana? Au haujaona tuta 🤣🤣
Mama hujawahi niangusha hakikisha huyo mwali anadondokea kwanguJana alivotafutwa mme muislamu si ulipatikana? Au haujaona tuta 🤣🤣
Sijakuelewa huo mstari wa chini.Siwezi kusahau TI.
Hivi bado nikapataga ee😉😉
Siku zote nilikua nasubiri uzi wako tu.Bado hujapataga
Shida ni dini au ni hiyo agg ya 2-0 🤣🤣🤣Tumeshindwana hata kabla ya uchumba kuanza!!
Mimi sichagui dini,kila mtu ana dini yake bhana.
Asante sana mkuu"Karibu dada, mambo ni mengi mda ni mchache...unafuaje na baridi yote mpaka unakosa nguo ya kuvaa unarudia ya zamani?" Atakaecomment hv ana nafasi yake kwenye zle ajiraa za police