Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Have a great morning wa kienyeji..Nafurahi kusikia uko salama.
Niko salama pia mr Z
Tumekumiss piaMko salama wapendwa? imekuwa kitambo sana jamani leo nikasema nimepata kaupenyo kidogo wacha niwajulie hali😉😉
Nimewakumbuka sana marafiki wangu wa JF😍
Nikipata tena upenyo nitakuja kuleta uzi wa kutafuta mume💃💃💃
Kisses and hugs from this side to yours, wakuu🥰
Thank you Daddy 😘😘Mimi baba yako hapa nikiwa na marafiki zangu tunakutakia kila la heri. Japo maisha yanakaba sana lakini kamwe usisahau kuyafurahia maana (maisha) ni haya haya hakuna mengine. Nice to hear that you are OK!
Stay blessed!
View attachment 3001916
ça va bien......Asante sana blaza.Uko salama?
Ukikuja toka london usinisahau kunitagi mkuu, namimi natafuta waifu matirio, napatikana huku mpigamiti vileji...😜Mko salama wapendwa? imekuwa kitambo sana jamani leo nikasema nimepata kaupenyo kidogo wacha niwajulie hali😉😉
Nimewakumbuka sana marafiki wangu wa JF😍
Nikipata tena upenyo nitakuja kuleta uzi wa kutafuta mume💃💃💃
Kisses and hugs from this side to yours, wakuu🥰
Nzuri kabisa mkuu tupo tunapambanaOhooo…😍😍😍
Asante sana best yangu.
Habari ya siku nyingi?
wewe ndo akili fupi endelea kuuguza maumivu.Uko na akili fupi kama punje ya haradali🥂