Nimewasikiliza wabunge wa CHADEMA waliohojiwa na PCCB, yawezekana Lijualikali ni mwongo wa "Kutupwa"

CAG asipojua katiba za vyama atavikaguaje?!

Kwa taarifa yako ukaguzi wa CAG hauishii kwenye fedha pekee, nenda kawaulize MSD watakusimulia vizuri!
 
Ni ujinga uliopitiliza na upuuzi kuhoji watu kitu ambacho kiko kisheria na walikubaliana wenyewe! Hii mijitu inayowahoji inatumia vibaya rasilimali zetu, tuna issue ngapi za rushwa hazijawa solved unakaa unapoteza muda na Chadema wambao walijiwekea utaratibu wao na wakakubaliana kwa kanuni zao? Mambo ya hovyo, sasa ukiwaita unadhani watasema hawakatwi au? Si wangeenda kuangalia form za kupata ubunge wali kubaliana nini! Akili za ajabu sana!
 
Chama cha siasa kinachokata kodi wanachama wake/wabunge wake kwa lazima.
 
Leo ulipata somo gani kanisani.
Naona upo na utulivu, na unajibu kwa upole na point sana.[emoji2]
 
Nitajie wanakokata kodi kwa hiyari!
Muktadha wa hoja yangu unazungumzia kwenye chama wabunge kulazimishwa kukichangia chama kwa lazima wakati huo yale makato hayaonekani yanafanya nn, wakati nikiwa mwanachama wa Mawakili Tanganyika Zamani nikiwa Tanzania, mimi na wenzangu tulikuja na hoja ya kuchangishwa elfu50 kila wakati wa kulipa ada za TLS kwa ajili ya wakili house, ambapo hyo hela iliyokuwa inachangwa ikawa haionekani.
 
Leo ulipata somo gani kanisani.
Naona upo na utulivu, na unajibu kwa upole na point sana.[emoji2]
Hahahaaaa....... Lijualikali anataka kujipatia umaarugu wa bure wakati amekiri kabisa yeye na Lowassa waliiba kura uchaguzi mkuu 2015.

Watu wa aina hii ni hatari sana kwenye chama " kinachoongoza" nchi bwashee!
 
Bwashee, huu mchango wa wabunge wa Chadema uko kwenye katiba yao.

Hakuna anayekulazimisha maana vyama vya siasa viko vingi unaweza kwenda TLP kule ni bure kila kitu.
 
Hahahaaaa....... Lijualikali anataka kujipatia umaarugu wa bure wakati amekiri kabisa yeye na Lowassa waliiba kura uchaguzi mkuu 2015.

Watu wa aina hii ni hatari sana kwenye chama " kinachoongoza" nchi bwashee!
Kwa kweli kama alikua na nia ya kuhama CHADEMA angehama tu kistaarabu ama kimya kimya. Sidhani kwa mapovu aliyotoa hata huko alikopokelewa watamuamini

Lijuakali ni hopeless kabisa.
 
Hivi hata umesoma ulichoandika.

Hayaonekani yanafanya nini? Wewe ni mwanachama wa chadema ?

Si wengeende tu TLPau UDP
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…