Nimewaza kufanya blogging kama part time, kiuhalisia kwa hapa bongo nitaweza kunufaika kiuchumi?

Nimewaza kufanya blogging kama part time, kiuhalisia kwa hapa bongo nitaweza kunufaika kiuchumi?

Hzo statistics gawanya kwa tatu ndio huenda ikawa idadi ya real visitors maana kunatatizo na statistics za blogger
Sio mbaya kwa blog niliyofanyia majaribio hasa ukizingatia niliitengeneza fasta fasta tu na kuweka post chache fupi fupi kisha nikaacha,

Kwa sasa nataka nifanye iwe serious kabisa, Nataka nihamie word press na sio blogger niliyofanyia majaribio, nataka niandika maneno angalau 500 kwa post na sio 100 hadi 200 nilipofanya majaribio, nataka ziwepo post za kutosha na sio kama blog ya majaribio hazifiki hata 6, backlinks ntaweka pia hata kwa humu jf, n.k.

Yaani navyoonaga zile interviews za bloggers wa marekani jinsi ushindani wao ulivyo mkubwa halafu nikicheki huku kwetu naonaga kama fursa inanipita.
 
Kama uko creative na una story fupi fupi za kuvutia bora youtube, video za dakika mbili mpaka nne kama zinavutia unaweza kufanikiwa
youtube kwa sasa hali tete, mabando ni ghali mno, hata wasanii maarufu tuliowazoea kuwaona wakipata views milioni kwa masaa kwa sasa wanazitafuta hata kwa wiki
 
Kwa muda mrefu nimekuwa nikitamani kutinga kwenye uwanja, nimekuwa nikicheki interviews za lisaa ama zaidi kwa bloggers waliofanikiwa na kiukweli natamani walau nipate walau hata theluthi ya mafanikio yao hasa napoona kwamba ushindani wa blogs bado ni mdogo hapa kwetu kwenye niche kibao ukiachana na udaku, michezo, siasa, mapenzi, tiba ambako kuna ushindani mkubwa.

Kwa sasa mimi ni fundi seremala na ni kazi naifanya tangu 2013 baada ya kuumaliza mwendo wa safari ya elimu form 4. Ok, turudi kwenye main topic, Blogging nayotaka kuifanya ni safi.

Natilia msisitizo nataka nifanya blogging safi maana nliwahi kufatilia haya mambo kwa kina nikaja kugundua kuna bloggers wanafanya kazi yao kwa mbinu nyeusi, si ya blogging huwa ni kupata watembeleaji, sasa wao wanachofanya ni kwamba wanadukua account za facebook alafu hizo account wanaanza kuzitumia ku sambaza picha za uchi zenye link za blogs zao.

Watu wakiminya hizo picha wanapelekwa kwenye blog yake ambayo haina hata cha maana, utaambiwa uminye sehem na ukiminya wao ndio wameshaingiza pesa hapo. Ukiona account ya rafiki yako inasambaza picha za ajabu jua kwamba ishapigwa.

Sasa tukija kwa upande wangu nataka nifanye kazi inayoeleweka, niwe na blog kama ya ajira, miziki, michezo, n.k. nataka watembeleaji wangu wanapoingia kwenye blog wakute walichokifata.

My plan

Ntaanza blogging 2023,

Ntafanya blogging kwa kitu ambacho nakijua tayari na nakipenda ili hata msomaji ajue kwamba najua nachoandika

Nimeanza kuandka post moja yenye maneno 500 kila baada ya siku 2 ama 3. hadi sasa zipo 8 na naendelea, kufikia june mwakanu nataka ziwepo walau 50. Post ndio chakula cha blog, post zinavyozidi kuwa nyingi zinachangia haa kuifanya blog yako iwe kwenye matokeo ya juu pale mtu akisechi google.

Kuhusu kipato naendelea kuchunguza ila nimeona niwe nauza kitabu changu na kuuza vifaa vinavyohusiana na blog, mfano kwa wanaohitaji maelezo zaidi na mifano ya ziada wanaweza kunitumia elf 2 ili niwarushie kitabu kwa whatsapp, Pia katika vitu navyozungumzia kwenye blog endapo mtu hajui kwa kukipata basi naweza kumuuzia na kumtumia hata kwa njia ya basi.
Ningekua na uwezo ningekushauri uanze youtube
 
Langu jicho ila kikubwa ni content na watazamaji haimek sense kutengeneza post zisizokuwa na watazamaji pia tupo kuona feilture yako maana hii kazi uvumilivu maana hata demu wako anaweza asiopen link uliyotuma

IM HERE IF YOU NEED ANY TECHNICAL ASSISTANCE
Mkuu na wewe ni blogger
 
Kwa muda mrefu nimekuwa nikitamani kutinga kwenye uwanja, nimekuwa nikicheki interviews za lisaa ama zaidi kwa bloggers waliofanikiwa na kiukweli natamani walau nipate walau hata theluthi ya mafanikio yao hasa napoona kwamba ushindani wa blogs bado ni mdogo hapa kwetu kwenye niche kibao ukiachana na udaku, michezo, siasa, mapenzi, tiba ambako kuna ushindani mkubwa.

Kwa sasa mimi ni fundi seremala na ni kazi naifanya tangu 2013 baada ya kuumaliza mwendo wa safari ya elimu form 4. Ok, turudi kwenye main topic, Blogging nayotaka kuifanya ni safi.

Natilia msisitizo nataka nifanya blogging safi maana nliwahi kufatilia haya mambo kwa kina nikaja kugundua kuna bloggers wanafanya kazi yao kwa mbinu nyeusi, si ya blogging huwa ni kupata watembeleaji, sasa wao wanachofanya ni kwamba wanadukua account za facebook alafu hizo account wanaanza kuzitumia ku sambaza picha za uchi zenye link za blogs zao.

Watu wakiminya hizo picha wanapelekwa kwenye blog yake ambayo haina hata cha maana, utaambiwa uminye sehem na ukiminya wao ndio wameshaingiza pesa hapo. Ukiona account ya rafiki yako inasambaza picha za ajabu jua kwamba ishapigwa.

Sasa tukija kwa upande wangu nataka nifanye kazi inayoeleweka, niwe na blog kama ya ajira, miziki, michezo, n.k. nataka watembeleaji wangu wanapoingia kwenye blog wakute walichokifata.

My plan

Ntaanza blogging 2023,

Ntafanya blogging kwa kitu ambacho nakijua tayari na nakipenda ili hata msomaji ajue kwamba najua nachoandika

Nimeanza kuandka post moja yenye maneno 500 kila baada ya siku 2 ama 3. hadi sasa zipo 8 na naendelea, kufikia june mwakanu nataka ziwepo walau 50. Post ndio chakula cha blog, post zinavyozidi kuwa nyingi zinachangia haa kuifanya blog yako iwe kwenye matokeo ya juu pale mtu akisechi google.

Kuhusu kipato naendelea kuchunguza ila nimeona niwe nauza kitabu changu na kuuza vifaa vinavyohusiana na blog, mfano kwa wanaohitaji maelezo zaidi na mifano ya ziada wanaweza kunitumia elf 2 ili niwarushie kitabu kwa whatsapp, Pia katika vitu navyozungumzia kwenye blog endapo mtu hajui kwa kukipata basi naweza kumuuzia na kumtumia hata kwa njia ya basi.
Kuna mengi usiyo yafahamu kuhusu Search Engine Optimization (SEO). Kuwa na post nyingi kwenye blogu au tovuti, hakuwezi kufanya posti hizo ziweze kuwa na rank nzuri kwenye search results.
 
Kuna mengi usiyo yafahamu kuhusu Search Engine Optimization (SEO). Kuwa na post nyingi kwenye blogu au tovuti, hakuwezi kufanya posti hizo ziweze kuwa na rank nzuri kwenye search results.
kuwa na post nyingi kunasaidia sana tu..

Blog ikiwa na post nyingi nako kunasaidia, inakua kama duka lenye bidhaa nyingi ambazo hazipo kwenye duka dogo.
 
Nilichokiona kwa NetMaster ni mbishi na asietaka kujifunza anasimamia sana misimamo yake hiko ndio kitakachomfelisha huyu jamaaa
 
Nina blog ila kinacho nichanganya post kutokuonekana kwenye google search
Jaribu kufanya haya nunua Domain name, tumia custom pro blogger themes zilizo na onpage seo, kumbuka kuweka label na search description kila unapopost post mpya, set vizuri sitemap na angalia settings za robot hapo usijekuwa umelock post kuwa indexed jisajili na uweke sitemap kwenye search console na bingwebmaster kila mda ambapo google italeta error kuhusu indexing fix, fanya keyword research unapotengeneza post
Yote yakifeli amia WordPress
 
Jaribu kufanya haya nunua Domain name, tumia custom pro blogger themes zilizo na onpage seo, kumbuka kuweka label na search description kila unapopost post mpya, set vizuri sitemap na angalia settings za robot hapo usijekuwa umelock post kuwa indexed jisajili na uweke sitemap kwenye search console na bingwebmaster kila mda ambapo google italeta error kuhusu indexing fix, fanya keyword research unapotengeneza post
Yote yakifeli amia WordPress
Dionwillz angalia kilicho pelea hapo nje na domain name
 
Dionwillz angalia kilicho pelea hapo nje na domain name
Ndugu nimekuongezea traffic ila sipo vizuri kabisa kwenye swala la content wala layout sina hata comment
 
Nilichokiona kwa NetMaster ni mbishi na asietaka kujifunza anasimamia sana misimamo yake hiko ndio kitakachomfelisha huyu jamaaa
sasa mkuu wewe umesema posts nyingi hazisaidii seo, mimi nimekuletea mfano wa kukuonyesa jinsi zinavyo saidia seo.... Ingependeza unielimishe kwa mrengo wako ni vipi posts nyingi hazisaidii seo.

Kuniambia tu kwamba mimi ni mbishi haitoshi, Nakuomba unielimishe kwa kunipa details, huu mtandao wa jamii forums naamini huku ni home of great thinkers wanaotoa majibu yaliyoshiba.
 
Back
Top Bottom