Nimewaza kufanya blogging kama part time, kiuhalisia kwa hapa bongo nitaweza kunufaika kiuchumi?

mkuu nakuitaji PM tafadhari
 
Hivi ni teknolojia gani inatumika hapa ili mtu akitumia search engine apate matokeo ya blog fulani.

Sent from my TECNO-W3LTE using JamiiForums mobile app
 
Hivi ni teknolojia gani inatumika hapa ili mtu akitumia search engine apate matokeo ya blog fulani.

Sent from my TECNO-W3LTE using JamiiForums mobile app
ushindani unachangia sana mtu akisearch kitu flani google, matokeo yakija zinatokea blogs nyingi, zile za juu kule mwanzo mwanzo hasa 3 bora ndio zitaingiliwa zaidi.

google wana sheria zao za kuifanya blog iwe juu kwenye matokeo, vipo vitu kibao sana kama quality content, kupangilia vizuri headings na sub headings, kujenga utandu wa links za ndani ya websites, back-links, n.k.

mfano nikigusia hapo kwenye back-links ni kwamba kama blog yako imekuwa reffered links zake kupachikwa kwenye blogs ama websites kubwa, google itaipendelea blog yako, mfano blog yako ikiwekwa link yake kama source ya habari flani kwenye websites kama bbc, cnn, n.k. hii ni point inayoifanya blog ipendelewe na google kwa kuongeza uwezekano wa kuwemo kwenye matokeo ya mwanzo kwenye google.
 
Hapo nimeelewa. Nitaitafuta hii elimu ya Blogging maana mm huwa naandika na kuuza mawazo yangu kwa bei ya hasara!

Sent from my TECNO-W3LTE using JamiiForums mobile app
 
blogging sio mchongo nowadays , jaribu kwenda na kasi ya ulimwengu, ila hata sijui nikushauri ufanye nini!
Kweli, blog ilikuwa habari ya mjini enzi hizo hakuna Instagram na kipindi matumizi ya YouTube yako chini hapa bongo, nakumbuka enzi hizo Millard Ayo alikuwa na blog maarufu sana, wengine kina Issa Michuzi, Mange Kimambi n.k ila upepo wa blog ulikuja kuuliwa na Instagram, umbea wote na habari unazipata huko
 
Blogs ina fursa sana hasa ukiweza kufanya SEO na kuattract site visitors kwa ajili ya ad revenue. Pia kuweza kuendesha bloga mbalimbali kwa ajili ya commissions ni mojawapo ya advantages
 
Blogs ina fursa sana hasa ukiweza kufanya SEO na kuattract site visitors kwa ajili ya ad revenue. Pia kuweza kuendesha bloga mbalimbali kwa ajili ya commissions ni mojawapo ya advantages
blog ukiifanya huku ukijua unachokifanya basi wala hupati tabu, tatizo wengi tunafanya tukitanguliza pesa in mind kwanza unakuta mtu
- hana genuine content
  • hana mbinu za seo
  • hata topic inayoeleweka
utaona maisha ya blogging ni magumu sana, btw blogging sasa hivi ni old fashion
 
Ni kweli kabisa mkuu, mambo inabidi uwe na passion nayo ili uweze kufika mbali
 
Vipi kuhusu usajili wa blog kwa upande wa TCRA? Ukiwa na blog unapaswa kulipia sh' ngapi?
 
kuwa na post nyingi kunasaidia sana tu..

Blog ikiwa na post nyingi nako kunasaidia, inakua kama duka lenye bidhaa nyingi ambazo hazipo kwenye duka dogo.
Kwanza, Search Engine sio duka mkuu. Kama Search Engine ingekuwa ni duka basi watu wangekuwa wanalipia ili post zao ziwe rank nzuri.

Pili, naomba utofautishe website rank na post rank. Kuwa na post nyingi kunaweza kusaidia website iwe na rank nzuri lakini kuwa na post nyingi hakuwezi kufanya post iwe na rank nzuri kwenye search results. Ili post yako iweze kuwa na rank nzuri kwenye search results, you must optimize it well.
 
I can't wait kuanza rasmi hii ishu, nishaandika Post zangu zaidi ya 90 zenye maneno zaidi ya 800 kila post bado kuzifanyia lundering kwajiri ya kuzipost Pesa ya kuanzia 120,000 Tzs ndio inanichelewesha hadi sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…