dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
i'll bite, Thabo huwa anapaka nini pakikauka ?Ukiona mwanaume anapaka paka mate jua huyo underground wa mapenzi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
i'll bite, Thabo huwa anapaka nini pakikauka ?Ukiona mwanaume anapaka paka mate jua huyo underground wa mapenzi
Pole sana mkuuHapana mkuu hii ni UTI Kali 100+
Ni kweli mkuu hasa hizi Antibiotics hazifai kabisa.Watanzania tunajijengea tabia ya hovyo na mbaya sana.
Achilia mbali chofya chofya kwa wake na watu tusiojua hali yao kiafya, lakini matumizi ya hovyo za dawa bila ushauri wa wataalam.
Mtu anaamka, ana dalili fulani anakimbilia kununua dawa pasipo hata kumconsult mganga. Hii ni mbaya sana na madhara yake ni makubwa mno.
Hima Watanzania wenzangu, ukiumwa tafadhali fika kituo cha afya. Onana na tabibu, mueleze ukweli. Kisha akuandikie dawa. Tuepuke sana matumizi holela za dawa.
SawasawaBado haupo salama. Kapime HIV pia kwani magonjwa ya zinaa na Ukimwi ni kama mjomba na shangazi
Pagum sana hasa hasa hizi UTI kwenye swala la Ukimwi angalau mtu unaweza tumia hata Mafuta Ili utelezi uwe wa kutosha.Kujinusuru panakuaga pagumu
Sasa wewe UTI umeitafsiri Je ?!.Kumbe UTI inasababisha mtu atoe usaha !!
Duuuhh
Malegend wanapakaa nini?Ukiona mwanaume anapaka paka mate jua huyo underground wa mapenzi
Atembee na kilainishi???Ukiona mwanaume anapaka paka mate jua huyo underground wa mapenzi
Ah wapi..Atembee na kilainishi???
Kumbe Porno star wapo wengi ila wanaigiza nje ya Camera.Ukiona mwanaume anapaka paka mate jua huyo underground wa mapenzi
Imeandikwa wazinzi na walafi hawatauona ufalme wa mbinguni.Utafika mbinguni umechoka sana
Unakataa tu mzee ila hilo GonoHapana mkuu hii ni UTI Kali 100+