khaligraph
JF-Expert Member
- Nov 19, 2016
- 1,141
- 1,057
Jiandae na "Urethral Stricture" baada ya miaka kadhaa..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo ikoje hii mkuuJiandae na "Urethral Stricture" baada ya miaka kadhaa..
Hiyo uliyopata siyo UTI ni ugonjwa wa zinaa unaitwa kisonono (gonorrhoea), acha kufanya mapenzi bila kinga, utakuwa na ukimwi pamoja na homa ya iniWakuu habari.
Wiki mbili nyuma katika pita pita zangu nilifanikiwa kukutana na mrembo wa kinyarwanda ambaye ni alikuwa jirani yangu zamani kidogo na pia ni mke wa mtu. Ambaye tulipiga story mbili tatu na mwishowe tukabadilishana namba!.
Badae kilichofatia tukakubaliana tuonane na tukakulana tena peku baada ya hapo mzigo ukaanza kutema USAA nikasema sio issue nikakimbilia kununua AZUMA zikadunda nikasema usinitanie nikanunua Cipro+Dox+Metro nikapiga lakini mzigo unatema tu! Nikaona kifo hichi hapa mtu nakufa kwa UTI.
Nikaamua nimtafute expert ndio akanielekeza dawa nyingne inaitwa Amoxclavu angalau Mwanga nauona maana mzigo sasa hivi unatema maji maji! Ashukuriwe mkemia aliyegundua Amoxclavu.
Hapa najiuliza Mme wake anakulaje mzigo na hapati hizi dhahama au hawakulani!.
Wala siyo pagumu, ni ujinga tu na upumbavu, muwe mnatumia kinga.Pagum sana hasa hasa hizi UTI kwenye swala la Ukimwi angalau mtu unaweza tumia hata Mafuta Ili utelezi uwe wa kutosha.
How do u come to this conclusion..hiyo gono hata ukitunia kinga unaweza pata vizur tu ukijisahau uka contact yale maji maji..Ukimwi unaingiaje hapo?Hiyo uliyopata siyo UTI ni ugonjwa wa zinaa unaitwa kisonono (gonorrhoea), acha kufanya mapenzi bila kinga, utakuwa na ukimwi pamoja na homa ya ini
Tunaweza kupata source hapa tukaongeza some amount of megawatts kwenye grid kucover difficit iliyopoBaada ya siku 120 kapime Potential Difference (voltage) maana Mshahara wa zinaa ni grid ya Taifa.
Tupe mbinuUkiona mwanaume anapaka paka mate jua huyo underground wa mapenzi
Duh...humjui mpenzio sehemu sensitive anazopagawa mzee baba?
Kwa Gono mwanume inachukua usiku mmoja tu,kesho yake utaona mambo...Nina maswal mawili muhimu naomba kujuzwa.
MSINGI WA SWALI
Kuna kipind (muda mrefu kidogo) niliparamia wanawale wawil katika tofaut ya siku 3 toka mmoja had mwingine.
Ila siku nimetoka kumla yule wa pili (alikua ana shombo kwakwel zoez nilikatisha njian nikamwambia kbisa i cant do it) kesho yake asubuh nika experience discharge za usaha wakat wa kukojoa...
Ukumbuke mara zote hizo nilitumia Condom, so kwakua mimi ni muoga sana wa kuugua, nikakimbia harala sana saa hiyo hiyo hospital nikajieleza kama naungama kwa padre vile sikuficha kitu kwa yule dada daktari.
Akaniandikia vipimo vya damu na mkojo na baada ya majib nakumbuka mpaka leo majibu yaliandikwa
CLOUD , PULSE, >=100
SWALI.
1. NILITUMIA KINGA ,KWANN NILIPATA HIYO SHIDA
2. KNACHUKUA MUDA GANI KUKOJOA USAHA BAADA YA KUKUTANA NA MWANAMKE MGONJWA?
hii kitu sikuwahi kuipatia majib kabisaa mpaka leo
Washakufungia umeme bure kabisaWakuu habari.
Wiki mbili nyuma katika pita pita zangu nilifanikiwa kukutana na mrembo wa kinyarwanda ambaye ni alikuwa jirani yangu zamani kidogo na pia ni mke wa mtu. Ambaye tulipiga story mbili tatu na mwishowe tukabadilishana namba!.
Badae kilichofatia tukakubaliana tuonane na tukakulana tena peku baada ya hapo mzigo ukaanza kutema USAA nikasema sio issue nikakimbilia kununua AZUMA zikadunda nikasema usinitanie nikanunua Cipro+Dox+Metro nikapiga lakini mzigo unatema tu! Nikaona kifo hichi hapa mtu nakufa kwa UTI.
Nikaamua nimtafute expert ndio akanielekeza dawa nyingne inaitwa Amoxclavu angalau Mwanga nauona maana mzigo sasa hivi unatema maji maji! Ashukuriwe mkemia aliyegundua Amoxclavu.
Hapa najiuliza Mme wake anakulaje mzigo na hapati hizi dhahama au hawakulani!.
Basi niliyavagaa bwana.Nikitoka nduki hospital sikungoja .Yan ile kuona first time tu ilikua asubh, ratiba zote za siku nikavunja mbio hospital kwanza.Mi mwoga sana likija suala la afya 😂😂Kwa Gono mwanume inachukua usiku mmoja tu,kesho yake utaona mambo...
hahaahahahha Potential DifferenceBaada ya siku 120 kapime Potential Difference (voltage) maana Mshahara wa zinaa ni grid ya Taifa.
Kumbe UTI inasababisha mtu atoe usaha !!
Duuuhh
MJOMBA HIYO SIO UTI [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Wakuu habari.
Wiki mbili nyuma katika pita pita zangu nilifanikiwa kukutana na mrembo wa kinyarwanda ambaye ni alikuwa jirani yangu zamani kidogo na pia ni mke wa mtu. Ambaye tulipiga story mbili tatu na mwishowe tukabadilishana namba!.
Badae kilichofatia tukakubaliana tuonane na tukakulana tena peku baada ya hapo mzigo ukaanza kutema USAA nikasema sio issue nikakimbilia kununua AZUMA zikadunda nikasema usinitanie nikanunua Cipro+Dox+Metro nikapiga lakini mzigo unatema tu! Nikaona kifo hichi hapa mtu nakufa kwa UTI.
Nikaamua nimtafute expert ndio akanielekeza dawa nyingne inaitwa Amoxclavu angalau Mwanga nauona maana mzigo sasa hivi unatema maji maji! Ashukuriwe mkemia aliyegundua Amoxclavu.
Hapa najiuliza Mme wake anakulaje mzigo na hapati hizi dhahama au hawakulani!.
Potential Difference (P.d) , umenikumbusha form two aseeBaada ya siku 120 kapime Potential Difference (voltage) maana Mshahara wa zinaa ni grid ya Taifa.
Potential Difference formula: V = I x RPotential Difference (P.d) , umenikumbusha form two