Nimeyakanyaga kwa mke wa mtu

Nimeyakanyaga kwa mke wa mtu

Sasa wewe UTI umeitafsiri Je ?!.
Magonjwa yote ya njia ya mkojo ikiwemo hayo ya zinaa ndiyo UTI yenyewe.
Usipambe ugali na rangi ili iwe keki UTI ni moja ya ugonjwa wa njia ya mkojo ila yapo magonjwa ya ngono si lazima ufanye ngono ili upate UTI lakini gono kaswende pangusa na mengineyo lazima ufanye ngono ndipo uyaoate. Mleta mada ana gono hakuna infection inayotoa usaha ukiona usaha hilo ni gono tena umekunywa na antibiotics na haijasaidia loh hilo gono sugu
 
Nina maswal mawili muhimu naomba kujuzwa.

MSINGI WA SWALI
Kuna kipind (muda mrefu kidogo) niliparamia wanawale wawil katika tofaut ya siku 3 toka mmoja had mwingine.

Ila siku nimetoka kumla yule wa pili (alikua ana shombo kwakwel zoez nilikatisha njian nikamwambia kbisa i cant do it) kesho yake asubuh nika experience discharge za usaha wakat wa kukojoa...

Ukumbuke mara zote hizo nilitumia Condom, so kwakua mimi ni muoga sana wa kuugua, nikakimbia harala sana saa hiyo hiyo hospital nikajieleza kama naungama kwa padre vile sikuficha kitu kwa yule dada daktari.

Akaniandikia vipimo vya damu na mkojo na baada ya majib nakumbuka mpaka leo majibu yaliandikwa
CLOUD , PULSE, >=100

SWALI.

1. NILITUMIA KINGA ,KWANN NILIPATA HIYO SHIDA
2. KNACHUKUA MUDA GANI KUKOJOA USAHA BAADA YA KUKUTANA NA MWANAMKE MGONJWA?


hii kitu sikuwahi kuipatia majib kabisaa mpaka leo
 
Wakuu habari.

Wiki mbili nyuma katika pita pita zangu nilifanikiwa kukutana na mrembo wa kinyarwanda ambaye ni alikuwa jirani yangu zamani kidogo na pia ni mke wa mtu. Ambaye tulipiga story mbili tatu na mwishowe tukabadilishana namba!.

Badae kilichofatia tukakubaliana tuonane na tukakulana tena peku baada ya hapo mzigo ukaanza kutema USAA nikasema sio issue nikakimbilia kununua AZUMA zikadunda nikasema usinitanie nikanunua Cipro+Dox+Metro nikapiga lakini mzigo unatema tu! Nikaona kifo hichi hapa mtu nakufa kwa UTI.

Nikaamua nimtafute expert ndio akanielekeza dawa nyingne inaitwa Amoxclavu angalau Mwanga nauona maana mzigo sasa hivi unatema maji maji! Ashukuriwe mkemia aliyegundua Amoxclavu.

Hapa najiuliza Mme wake anakulaje mzigo na hapati hizi dhahama au hawakulani!.
HUNA AKILI, rejesha akilizo kwanza
 
Wakuu habari.

Wiki mbili nyuma katika pita pita zangu nilifanikiwa kukutana na mrembo wa kinyarwanda ambaye ni alikuwa jirani yangu zamani kidogo na pia ni mke wa mtu. Ambaye tulipiga story mbili tatu na mwishowe tukabadilishana namba!.

Badae kilichofatia tukakubaliana tuonane na tukakulana tena peku baada ya hapo mzigo ukaanza kutema USAA nikasema sio issue nikakimbilia kununua AZUMA zikadunda nikasema usinitanie nikanunua Cipro+Dox+Metro nikapiga lakini mzigo unatema tu! Nikaona kifo hichi hapa mtu nakufa kwa UTI.

Nikaamua nimtafute expert ndio akanielekeza dawa nyingne inaitwa Amoxclavu angalau Mwanga nauona maana mzigo sasa hivi unatema maji maji! Ashukuriwe mkemia aliyegundua Amoxclavu.

Hapa najiuliza Mme wake anakulaje mzigo na hapati hizi dhahama au hawakulani!.
90% ya wanawake wanaumwa ila hawajijui yaani ukipiga demu ukatoka Salama bila gono wala UTI na fungus sugu shukuru mungu.
 
Nina maswal mawili muhimu naomba kujuzwa.

MSINGI WA SWALI
Kuna kipind (muda mrefu kidogo) niliparamia wanawale wawil katika tofaut ya siku 3 toka mmoja had mwingine.

Ila siku nimetoka kumla yule wa pili (alikua ana shombo kwakwel zoez nilikatisha njian nikamwambia kbisa i cant do it) kesho yake asubuh nika experience discharge za usaha wakat wa kukojoa...

Ukumbuke mara zote hizo nilitumia Condom, so kwakua mimi ni muoga sana wa kuugua, nikakimbia harala sana saa hiyo hiyo hospital nikajieleza kama naungama kwa padre vile sikuficha kitu kwa yule dada daktari.

Akaniandikia vipimo vya damu na mkojo na baada ya majib nakumbuka mpaka leo majibu yaliandikwa
CLOUD , PULSE, >=100

SWALI.

1. NILITUMIA KINGA ,KWANN NILIPATA HIYO SHIDA
2. KNACHUKUA MUDA GANI KUKOJOA USAHA BAADA YA KUKUTANA NA MWANAMKE MGONJWA?


hii kitu sikuwahi kuipatia majib kabisaa mpaka leo
Swala la UTI kupata nirahisi hata ukitumia condom but kuwepo na contact kati ya uume wako na maji maji ya uke hasa hasa wakati wa kuvua condom au ukipiga Finger then ukajishika kwenye uume tayari unakuwa ushanasa.
Uume kuanzia kutoa USAA nadhan ni kuanzia siku mbili na kuendelea.
 
Swala la UTI kupata nirahisi hata ukitumia condom but kuwepo na contact kati ya uume wako na maji maji ya uke hasa hasa wakati wa kuvua condom au ukipiga Finger then ukajishika kwenye uume tayari unakuwa ushanasa.
Uume kuanzia kutoa USAA nadhan ni kuanzia siku mbili na kuendelea.
Basi nimekusoma na majibu nimepata shida ilianzia wapi.Ahsante sana mkuu
 
Kuna dogo nae alikuwa anadandiadandia wanawake bila ndomu akatumbukia shimo ndilo silo,

kaanza kuugua kajikausha eti iwe siri yake. Siku alianza kulia kama mtoto mdogo akiwa anakojoa huku kashikilia mti, mboo ndo ilikuwa kwenye hatua za awali ioze.

Ngono ni tamu lakini maswahibu yake watu huwa wanajuta hadi vifo vyao.
😅
 
Wakuu habari.

Wiki mbili nyuma katika pita pita zangu nilifanikiwa kukutana na mrembo wa kinyarwanda ambaye ni alikuwa jirani yangu zamani kidogo na pia ni mke wa mtu. Ambaye tulipiga story mbili tatu na mwishowe tukabadilishana namba!.

Badae kilichofatia tukakubaliana tuonane na tukakulana tena peku baada ya hapo mzigo ukaanza kutema USAA nikasema sio issue nikakimbilia kununua AZUMA zikadunda nikasema usinitanie nikanunua Cipro+Dox+Metro nikapiga lakini mzigo unatema tu! Nikaona kifo hichi hapa mtu nakufa kwa UTI.

Nikaamua nimtafute expert ndio akanielekeza dawa nyingne inaitwa Amoxclavu angalau Mwanga nauona maana mzigo sasa hivi unatema maji maji! Ashukuriwe mkemia aliyegundua Amoxclavu.

Hapa najiuliza Mme wake anakulaje mzigo na hapati hizi dhahama au hawakulani!.
Mali ya mtu hailiwi ovyo, kwan huu msemo hujawahi uskia sasa matokeo yke ndio hayo, hvyo BC ucwaze sn maana mwenzio akimla mkewe Wala hapatw na hyo changamoto yko...

Tena shukuru umepatwa kutokwa na USAA vinginevyo ungepatwa na kubwa zaidi ya hilo mkuu[emoji23]

Ila mke wa mtu ntakutoa jmn nyie dah
 
Back
Top Bottom