APEFACE
JF-Expert Member
- Oct 1, 2016
- 5,316
- 9,596
Kuna wanawake ni wakavu kama gome la mtiAh wapi..
Ina maana.unakua hujui sehemu zipi za mpenzi wako anazostimulate hadi ummwagir mimate[emoji18]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna wanawake ni wakavu kama gome la mtiAh wapi..
Ina maana.unakua hujui sehemu zipi za mpenzi wako anazostimulate hadi ummwagir mimate[emoji18]
Usipambe ugali na rangi ili iwe keki UTI ni moja ya ugonjwa wa njia ya mkojo ila yapo magonjwa ya ngono si lazima ufanye ngono ili upate UTI lakini gono kaswende pangusa na mengineyo lazima ufanye ngono ndipo uyaoate. Mleta mada ana gono hakuna infection inayotoa usaha ukiona usaha hilo ni gono tena umekunywa na antibiotics na haijasaidia loh hilo gono suguSasa wewe UTI umeitafsiri Je ?!.
Magonjwa yote ya njia ya mkojo ikiwemo hayo ya zinaa ndiyo UTI yenyewe.
UTI ni Urine Tract k InfectionsKumbe UTI inasababisha mtu atoe usaha !!
Duuuhh
Huyo mbinguni atapasikia tu akiwa kule kwa Lucifer.Utafika mbinguni umechoka sana
HUNA AKILI, rejesha akilizo kwanzaWakuu habari.
Wiki mbili nyuma katika pita pita zangu nilifanikiwa kukutana na mrembo wa kinyarwanda ambaye ni alikuwa jirani yangu zamani kidogo na pia ni mke wa mtu. Ambaye tulipiga story mbili tatu na mwishowe tukabadilishana namba!.
Badae kilichofatia tukakubaliana tuonane na tukakulana tena peku baada ya hapo mzigo ukaanza kutema USAA nikasema sio issue nikakimbilia kununua AZUMA zikadunda nikasema usinitanie nikanunua Cipro+Dox+Metro nikapiga lakini mzigo unatema tu! Nikaona kifo hichi hapa mtu nakufa kwa UTI.
Nikaamua nimtafute expert ndio akanielekeza dawa nyingne inaitwa Amoxclavu angalau Mwanga nauona maana mzigo sasa hivi unatema maji maji! Ashukuriwe mkemia aliyegundua Amoxclavu.
Hapa najiuliza Mme wake anakulaje mzigo na hapati hizi dhahama au hawakulani!.
90% ya wanawake wanaumwa ila hawajijui yaani ukipiga demu ukatoka Salama bila gono wala UTI na fungus sugu shukuru mungu.Wakuu habari.
Wiki mbili nyuma katika pita pita zangu nilifanikiwa kukutana na mrembo wa kinyarwanda ambaye ni alikuwa jirani yangu zamani kidogo na pia ni mke wa mtu. Ambaye tulipiga story mbili tatu na mwishowe tukabadilishana namba!.
Badae kilichofatia tukakubaliana tuonane na tukakulana tena peku baada ya hapo mzigo ukaanza kutema USAA nikasema sio issue nikakimbilia kununua AZUMA zikadunda nikasema usinitanie nikanunua Cipro+Dox+Metro nikapiga lakini mzigo unatema tu! Nikaona kifo hichi hapa mtu nakufa kwa UTI.
Nikaamua nimtafute expert ndio akanielekeza dawa nyingne inaitwa Amoxclavu angalau Mwanga nauona maana mzigo sasa hivi unatema maji maji! Ashukuriwe mkemia aliyegundua Amoxclavu.
Hapa najiuliza Mme wake anakulaje mzigo na hapati hizi dhahama au hawakulani!.
Swala la UTI kupata nirahisi hata ukitumia condom but kuwepo na contact kati ya uume wako na maji maji ya uke hasa hasa wakati wa kuvua condom au ukipiga Finger then ukajishika kwenye uume tayari unakuwa ushanasa.Nina maswal mawili muhimu naomba kujuzwa.
MSINGI WA SWALI
Kuna kipind (muda mrefu kidogo) niliparamia wanawale wawil katika tofaut ya siku 3 toka mmoja had mwingine.
Ila siku nimetoka kumla yule wa pili (alikua ana shombo kwakwel zoez nilikatisha njian nikamwambia kbisa i cant do it) kesho yake asubuh nika experience discharge za usaha wakat wa kukojoa...
Ukumbuke mara zote hizo nilitumia Condom, so kwakua mimi ni muoga sana wa kuugua, nikakimbia harala sana saa hiyo hiyo hospital nikajieleza kama naungama kwa padre vile sikuficha kitu kwa yule dada daktari.
Akaniandikia vipimo vya damu na mkojo na baada ya majib nakumbuka mpaka leo majibu yaliandikwa
CLOUD , PULSE, >=100
SWALI.
1. NILITUMIA KINGA ,KWANN NILIPATA HIYO SHIDA
2. KNACHUKUA MUDA GANI KUKOJOA USAHA BAADA YA KUKUTANA NA MWANAMKE MGONJWA?
hii kitu sikuwahi kuipatia majib kabisaa mpaka leo
Amemsifia ni Mnyarwanda/Mnyarugwanda!Utadhani akiwa hivyo ndiyo anakuwa the best of all!😂Siku nyingine utakufa umekenua meno sio kila shimo unaingia tu tena ulivyo jinga unaingia pekupeku utakufa umeganda km barafu shauri yako
Basi nimekusoma na majibu nimepata shida ilianzia wapi.Ahsante sana mkuuSwala la UTI kupata nirahisi hata ukitumia condom but kuwepo na contact kati ya uume wako na maji maji ya uke hasa hasa wakati wa kuvua condom au ukipiga Finger then ukajishika kwenye uume tayari unakuwa ushanasa.
Uume kuanzia kutoa USAA nadhan ni kuanzia siku mbili na kuendelea.
😅Kuna dogo nae alikuwa anadandiadandia wanawake bila ndomu akatumbukia shimo ndilo silo,
kaanza kuugua kajikausha eti iwe siri yake. Siku alianza kulia kama mtoto mdogo akiwa anakojoa huku kashikilia mti, mboo ndo ilikuwa kwenye hatua za awali ioze.
Ngono ni tamu lakini maswahibu yake watu huwa wanajuta hadi vifo vyao.
Mali ya mtu hailiwi ovyo, kwan huu msemo hujawahi uskia sasa matokeo yke ndio hayo, hvyo BC ucwaze sn maana mwenzio akimla mkewe Wala hapatw na hyo changamoto yko...Wakuu habari.
Wiki mbili nyuma katika pita pita zangu nilifanikiwa kukutana na mrembo wa kinyarwanda ambaye ni alikuwa jirani yangu zamani kidogo na pia ni mke wa mtu. Ambaye tulipiga story mbili tatu na mwishowe tukabadilishana namba!.
Badae kilichofatia tukakubaliana tuonane na tukakulana tena peku baada ya hapo mzigo ukaanza kutema USAA nikasema sio issue nikakimbilia kununua AZUMA zikadunda nikasema usinitanie nikanunua Cipro+Dox+Metro nikapiga lakini mzigo unatema tu! Nikaona kifo hichi hapa mtu nakufa kwa UTI.
Nikaamua nimtafute expert ndio akanielekeza dawa nyingne inaitwa Amoxclavu angalau Mwanga nauona maana mzigo sasa hivi unatema maji maji! Ashukuriwe mkemia aliyegundua Amoxclavu.
Hapa najiuliza Mme wake anakulaje mzigo na hapati hizi dhahama au hawakulani!.