Nimeyakanyaga kwa mke wa mtu

Ni kweli mkuu hasa hizi Antibiotics hazifai kabisa.
 
Kuna dogo nae alikuwa anadandiadandia wanawake bila ndomu akatumbukia shimo ndilo silo,

kaanza kuugua kajikausha eti iwe siri yake. Siku alianza kulia kama mtoto mdogo akiwa anakojoa huku kashikilia mti, mboo ndo ilikuwa kwenye hatua za awali ioze.

Ngono ni tamu lakini maswahibu yake watu huwa wanajuta hadi vifo vyao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…