Nimeyakanyaga kwa mke wa mtu

Hiyo uliyopata siyo UTI ni ugonjwa wa zinaa unaitwa kisonono (gonorrhoea), acha kufanya mapenzi bila kinga, utakuwa na ukimwi pamoja na homa ya ini
 
Pagum sana hasa hasa hizi UTI kwenye swala la Ukimwi angalau mtu unaweza tumia hata Mafuta Ili utelezi uwe wa kutosha.
Wala siyo pagumu, ni ujinga tu na upumbavu, muwe mnatumia kinga.
 
Hiyo uliyopata siyo UTI ni ugonjwa wa zinaa unaitwa kisonono (gonorrhoea), acha kufanya mapenzi bila kinga, utakuwa na ukimwi pamoja na homa ya ini
How do u come to this conclusion..hiyo gono hata ukitunia kinga unaweza pata vizur tu ukijisahau uka contact yale maji maji..Ukimwi unaingiaje hapo?
 
Pole sana kijana, wakati mwingine kuwa makini Zinaa ipo.
 
Baada ya siku 120 kapime Potential Difference (voltage) maana Mshahara wa zinaa ni grid ya Taifa.
Tunaweza kupata source hapa tukaongeza some amount of megawatts kwenye grid kucover difficit iliyopo
 
Kwa Gono mwanume inachukua usiku mmoja tu,kesho yake utaona mambo...
 
Washakufungia umeme bure kabisa
 
Kwa Gono mwanume inachukua usiku mmoja tu,kesho yake utaona mambo...
Basi niliyavagaa bwana.Nikitoka nduki hospital sikungoja .Yan ile kuona first time tu ilikua asubh, ratiba zote za siku nikavunja mbio hospital kwanza.Mi mwoga sana likija suala la afya 😂😂
 
Mbona huzungumzii ngoma? Bado hujavuka ng'ambo bro, kapime kipimo kikubwa aka VVU
 
MJOMBA HIYO SIO UTI [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…