Nimeyakumbuka maisha yangu ya uyatima; Uyatima ni noma sana ndugu zangu

Halafu mmeshangaa sana yaani shangazi huyu ana moyo mwema hvyoo!mi najuaga ndugu wa mama ndo wanakuwaga na moyo kumbe wapo wenye mioyo mibaaya daahhh!mmeshangaa sana!yaani hukoo waliko wanajuta Leo wanaona ht aibu kwa ubaya wao
 
Wewe ni Mimi aseehh!sina tu uwezo ila natamani sana kuishi na wahitaji mnooo!!
 
[emoji23][emoji16][emoji16][emoji16]ila watu mnachekesha!
 
Pole sana
 

Pole sana
Ila penye nia pana njia na kama unapenda kufanya kitu ambacho kina kheri basi utafanikiwa vuta subra

Mimi naishi nje ya nchi napambana huku kwa weupe
Na sijui pa kukusaidia na pa kuanzia ila unaweza kuulizia huko lazima njia zipo hata kuanza na kidogo tu
Nimeona baadhi ya sehemu Tz ambapo wanalea watoto yatima ila misaada inatoka kwa wazungu na wanaosimamia ni waswahili ila watoto hawana hali nzuri hivyo ingawa wamewekewa kila kitu ila washenzi wanakula hela za watoto kwa manufaa yao

Wanakera sana maana unaona kabisa watoto wana hali ngumu hata vyombo wanavyolia vimechakaa sana

Hiyo ni sehemu moja niliyokuwa naenda kuwaona

Kwa kuwa uko hapo unaweza kutembelea hata balozi kadhaa labda wanaweza kuwa na njia na misaada ya hivyo au contacts za watu wao au taasisi zao

Kila la kheri na ninatumaini kuna wengine humu wanaweza kusaidia maana kuna kila aina ya watu humu
 
Kaka stori mboni kams inanihusu na ni kop mwenzangu?? Nimepitia yanayofanana na hayo na sasa nipo mahali nasema alhamdullilah,na ndugu wanasema naringa,ila cha muhimu tu umeahau kutokumtendea mabaya yatima kwani huwa ndo chachu ya kujituma na kufikia malengo! Mm ndo namalizia masters now kwa nguvu zangu mwenyewe!
 
Komaaa sanaa mwanangu.
Mungu yupo nae ni BABA WA YATIMA.

See You on Top..!!

#YNWA
 
Mungu akufanikishe hitaji lako utafanikiwa..Mimi nillimchukua mtoto wa marehemu mpangaji wetu,aliacha watoto wawili wakike na wakiume!alikua std 5 huyu wa kike!baba na mama ake walichana b4 hajafa,alivyokufa wakahama siku moja nkapigiwa simu kua madogo hawaendi shule hakuna wa kuwasomesha daahh!I cried that day!nakumbuka nilikua maeneo ya tabata nililia sana!nkaenda kwao nikamchukua wa kike Niko nae yuko form nilipo yupo na hua namtambulisha kama my first born!!kaka ake alipelekwa kijijii kama ningekua na uwezo ningelea wote ila nimepanga huyu nimhamishe kijijini aje mjini akae kwa mama ake nimsomeshe walau nae afikie kidogo malengo yake !ndugu wamewatelekeza wakati enzi yule kaka yuko hai walikua wanajaa mpk alishindwa kujenga kwa sababu ya kusaidia ndugu zake alivyokufa hakuna ht anaejua watoto wako wapi!Niko na huyu binti mwaka wa saba sijawahi ulizwa hata ameamkaje na nduguze.
Ila mmeahidi huyu wa kike nilie nae n
Ila wa kike naomba Mungu anipambanie afikie malengo yake sina kikubwa maisha yangu ya kuunga unga lakini napambana nae!

Sijwahai ishi kwenye uyatima na sijui nimelelewa na baba boraa kabisaa ktk hii dunia ila naumia kuona yatima au mtoto akinyanyasika!
Nikiendaga orphanage hua nalia sanaa
 
Pole sana. Zamani nilikua najua mashangazi ni watu wa hovyo hawana msaada tofaut na ndugu wa mama. Hakika umeni-prove wrong.
Kwa asilimia kubwa watoto huwa wunakua na bond kubwa na ndugu upande wa mama (wajomba, mama wadogo/wakubwa).
Lakini ikitokea mzazi/wazazi wote hawapo duniani mashangazi (au upande wa baba kwa ujumla) ndio wanakua(ga) na msaada zaidi kwa watoto walioachwa.
 
Hiki unachokisema ni kweli kabisa BS.

Kituo changu kitakuja kuleta mapinduzi makubwa sana na ninauhakika hawa watoto hawatajuta kukaa mikononi mwangu..niamini..

Ninachotaka kukifanya si msukumo wa kupata pesa na kufanya matanuzi bali ni kuwa mbegu na kumbukumbu nzuri Kwa watoto walikata tamaa..trust me nitafanikiwa.hii kitu iko ndani yangu Kwa miaka mingi..nitakwenda kutimiza ndoto za watoto wengi sana.

Asante BS nitayafanyia kazi yote ya muhimu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…