Nimezaa na mke wa mtu, roho inaniuma mwanangu kulelewa na baba mwingine

Nimezaa na mke wa mtu, roho inaniuma mwanangu kulelewa na baba mwingine

Bora wewe unaumia kuna mume wa mtu amempa mimba binti fulani dahhhh! Alaaniwe tu huyo mwanaume!
 
Huwezi kuwapata wanao labda mume mwenzio atangulie kwenda Mbinguni. Hao wataendelea kuwa watoto halali wa ndoa yao.

Kwa usalama tu kaa mbali sasa na mke wa mtu, ipo siku yatakukuta makubwa na huko kupenda kulelewa kutakutokea puani.
 
Wazima? Mimi ni kijana tu wamiaka 24 nasoma bado, nipo chuo mwaka wa 3. Mwaka wa 1 niliingia kwenye mahusiano na mwanamke mmoja tu, ni binti wa rikalangu. Sikujua kumbe mumewe ni mtu mzito tu mpaka nilipoona picha wakiwa wawili.

Alikuwa analalamika haridhishwi na pia mumewe alikuwa na kisirani, ukizingatia maisha ya chuo magumu basi nilikubali kuendelea naye ili nipate chochote kitu.

Baadaye akaja kupata mimba ambayo kwa mara ya kwanza nilijua ni ya mume wake, mpaka baadaye aliponitonya kuwa ni yangu na kunipiga biti nikae kimya atanilelea mtoto,.

Yeye na mumewe wana watoto wawili, mwanangu sasa ana miaka karibu miwili na kafanana na mamaye. Roho inaniuma kwani huyu bosi analea mtoto asie wake. Nataka sana kuishi na damu yangu.

Kikubwa kilichonileta hapa ana ujauzito mwingine kwani tuliahiriki mapenzi siku za hatari. Na mumewe hajajua kwani kamdanganya mimba ni yake. Naogopa mno kwa kweli kwani sijazoea mikiki ya hivi.

Jamani naombeni uahauri life la chuo ni gumu mno na nashindwa kumuacha huyu dada, na siku zinavyokwenda najikuta nampenda na mimi. Na vipi kuhusu mwanangu na ujauzito wangu?

Nimuache? Je vipi mwanangu nitampataje? Yeye anasema atasomeshwa, atakula na atalala nisiwe na shaka.
Bila katiba mpya nakuambia hao watoto hutawapata.
 
Naitaka damu yangu, na nasubiri hiyo mimba ajifungue alelewe mpaka amalize form four then nachukua wanangu
Akimaliza form four ndio utakuwa na uwezo wa kumlea na kumsomesha high school, chuo n.k. si ndio eeh??! 🤔
 
Kwa usalama tu kaa mbali sasa na mke wa mtu, ipo siku yatakukuta makubwa na huko kupenda kulelewa kutakutokea puani
Hana mpango huo! Anachokitafuta atakipata.
Nanukuu "Jamani naombeni uahauri life la chuo ni gumu mno na nashindwa kumuacha huyu dada, na siku zinavyokwenda najikuta nampenda na mimi
 
Shamba la mwenye nalo mahindi ni yako. utabaki biological father tu mwenye mke atabaki baba mzazi

cha maana pambana upate mkwanja aisee atajileta tu
 
Mwivi anapolalamika kuibiwa !!!

Chizi yoyote anaweza ku-donate mbegu..., kuwa baba / mzazi ni malezi.....
 
1. Hebu kausha Kwanza.

Waache watoto walelewe vema.

Wewe soma , maliza tafuta maisha na uoe.
Achana na hiyo familia kabisa.

2. Mkeo pia atagongwa na ww utalea watoto wawili wasio wako. Karma is real.

3. Nashangaa sana wanaume wanaotembea na mke wa mtu. Baada ya kujua si ungeachana nae? Hata kama maisha ya chuo magumu, sio kuteleza kwa mke wa mtu namna hiyo,
Aaaagh!.

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
unashangaa nini wakati waume zao hawajitambui......na wanatusumbua sana hawa wake za watu
 
laiti wanawake wangeliziweka wazi siri walizotunza juu ya mambo haya, nadhani karibu kila familia kungepatikana mtoto/watoto waliochakachuliwa.
 
Wewe Ni Donor Country (Tulia Tu Umeshafanya)
 
Huwa nachukia mwanaume kulia Lia hovyo Sana kijana kuwa jasir kuwa roho ngumu
 
Jamanii em' tupunguze hizi njaa...dah!!! Mtoto wa kiume pambana achana na hizo mambo za wake za watu,afu' sio wewe tuu mwenye life gumu huko chuo mpo wengi tuu I know ila wewe unaendekeza sana njaa nyau wewee,😏
Aliloweka Mpaka Shida Alelewe Kasahau Kuwa Mbegu Zinaota, Akienda Kusogelea Mlango Wa Watu Atajuta
 
Back
Top Bottom