Nimezaa na mke wa mtu, roho inaniuma mwanangu kulelewa na baba mwingine

Nimezaa na mke wa mtu, roho inaniuma mwanangu kulelewa na baba mwingine

Kufupisha Stori, Fanya hivi Nenda Kwa huyo Mzee mwambie. " Mzee nilitembea na mke wako nikampa Mimba na huyo mtoto ni wangu nimekuja kumchukua maana ni mbegu yangu na damu yangu lazima nimchukue"
Then utatuletea mrejesho
Watu wanalazimisha kubabuliwa marinda[emoji38][emoji38][emoji38]
 
unashangaa nini wakati waume zao hawajitambui......na wanatusumbua sana hawa wake za watu
Kama unasumbuliwa unakubali, wewe ni malaya. Naona maisha yako yako hatarini. Kwa mawazo yako (mwizi) utakubaliana na mbakaji kudai mtoto kwa sababu mbegu ni zake. Kumbuka wewe ni mwizi asiyetumia nguvu na mbakaji ni mwizi wa kutumia nguvu.
 
Wazima? Mimi ni kijana tu wamiaka 24 nasoma bado, nipo chuo mwaka wa 3. Mwaka wa 1 niliingia kwenye mahusiano na mwanamke mmoja tu, ni binti wa rikalangu. Sikujua kumbe mumewe ni mtu mzito tu mpaka nilipoona picha wakiwa wawili.

Alikuwa analalamika haridhishwi na pia mumewe alikuwa na kisirani, ukizingatia maisha ya chuo magumu basi nilikubali kuendelea naye ili nipate chochote kitu.

Baadaye akaja kupata mimba ambayo kwa mara ya kwanza nilijua ni ya mume wake, mpaka baadaye aliponitonya kuwa ni yangu na kunipiga biti nikae kimya atanilelea mtoto,.

Yeye na mumewe wana watoto wawili, mwanangu sasa ana miaka karibu miwili na kafanana na mamaye. Roho inaniuma kwani huyu bosi analea mtoto asie wake. Nataka sana kuishi na damu yangu.

Kikubwa kilichonileta hapa ana ujauzito mwingine kwani tuliahiriki mapenzi siku za hatari. Na mumewe hajajua kwani kamdanganya mimba ni yake. Naogopa mno kwa kweli kwani sijazoea mikiki ya hivi.

Jamani naombeni uahauri life la chuo ni gumu mno na nashindwa kumuacha huyu dada, na siku zinavyokwenda najikuta nampenda na mimi. Na vipi kuhusu mwanangu na ujauzito wangu?

Nimuache? Je vipi mwanangu nitampataje? Yeye anasema atasomeshwa, atakula na atalala nisiwe na shaka.
Ahaa kumbe wewe ni kaka poa?
Unauza nyege?
Wenzako tunalipia mahali pa kukojolea mkuu.
 
Hakuna mtoto atachagua maskini aache baba tajiri
 
Achana na chuo kama huoni future huko tafuta pesa haraka muda wowote utaletewa familia uyo wabpili sura itakapo fanana na wewe ndo utakua mwisho wa kitonga
 
Sad,ila ndo uhalisia wa sasa ndoa nyingi watoto si wa baba mjengo
 
Mwanachuo aliesoma??? wakati mambo yako kichwani ni ya kipumbafu .ulienda kusoma nn sasa ni Bora ungeacha wengine wakapata fursa hizo
 
Wazima? Mimi ni kijana tu wamiaka 24 nasoma bado, nipo chuo mwaka wa 3. Mwaka wa 1 niliingia kwenye mahusiano na mwanamke mmoja tu, ni binti wa rikalangu. Sikujua kumbe mumewe ni mtu mzito tu mpaka nilipoona picha wakiwa wawili.

Alikuwa analalamika haridhishwi na pia mumewe alikuwa na kisirani, ukizingatia maisha ya chuo magumu basi nilikubali kuendelea naye ili nipate chochote kitu.

Baadaye akaja kupata mimba ambayo kwa mara ya kwanza nilijua ni ya mume wake, mpaka baadaye aliponitonya kuwa ni yangu na kunipiga biti nikae kimya atanilelea mtoto,.

Yeye na mumewe wana watoto wawili, mwanangu sasa ana miaka karibu miwili na kafanana na mamaye. Roho inaniuma kwani huyu bosi analea mtoto asie wake. Nataka sana kuishi na damu yangu.

Kikubwa kilichonileta hapa ana ujauzito mwingine kwani tuliahiriki mapenzi siku za hatari. Na mumewe hajajua kwani kamdanganya mimba ni yake. Naogopa mno kwa kweli kwani sijazoea mikiki ya hivi.

Jamani naombeni uahauri life la chuo ni gumu mno na nashindwa kumuacha huyu dada, na siku zinavyokwenda najikuta nampenda na mimi. Na vipi kuhusu mwanangu na ujauzito wangu?

Nimuache? Je vipi mwanangu nitampataje? Yeye anasema atasomeshwa, atakula na atalala nisiwe na shaka.
Huyo siyo mwanao huwezi kupanda mbegu shamba la watu halafu mti ukikua ukadai uchume matunda. Tafuta shamba lako upande mbegu zako huko. Umepoteza haki labda baba yao awakatae na akijua anaweza kukudai fidia kubwa kwa ugoni kama siyo kukuua.
 
Wazima? Mimi ni kijana tu wamiaka 24 nasoma bado, nipo chuo mwaka wa 3. Mwaka wa 1 niliingia kwenye mahusiano na mwanamke mmoja tu, ni binti wa rikalangu. Sikujua kumbe mumewe ni mtu mzito tu mpaka nilipoona picha wakiwa wawili.

Alikuwa analalamika haridhishwi na pia mumewe alikuwa na kisirani, ukizingatia maisha ya chuo magumu basi nilikubali kuendelea naye ili nipate chochote kitu.

Baadaye akaja kupata mimba ambayo kwa mara ya kwanza nilijua ni ya mume wake, mpaka baadaye aliponitonya kuwa ni yangu na kunipiga biti nikae kimya atanilelea mtoto,.

Yeye na mumewe wana watoto wawili, mwanangu sasa ana miaka karibu miwili na kafanana na mamaye. Roho inaniuma kwani huyu bosi analea mtoto asie wake. Nataka sana kuishi na damu yangu.

Kikubwa kilichonileta hapa ana ujauzito mwingine kwani tuliahiriki mapenzi siku za hatari. Na mumewe hajajua kwani kamdanganya mimba ni yake. Naogopa mno kwa kweli kwani sijazoea mikiki ya hivi.

Jamani naombeni uahauri life la chuo ni gumu mno na nashindwa kumuacha huyu dada, na siku zinavyokwenda najikuta nampenda na mimi. Na vipi kuhusu mwanangu na ujauzito wangu?

Nimuache? Je vipi mwanangu nitampataje? Yeye anasema atasomeshwa, atakula na atalala nisiwe na shaka.
Kutenda kosa si kosa kurudia kosa ndo kisanga.......unalolitafuta kijana lipo mbioni kukupata

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Naitaka damu yangu, na nasubiri hiyo mimba ajifungue alelewe mpaka amalize form four then nachukua wanangu
Utakufa mbwa wewe, wewe ridhika muhimu mwanao unamtambua na mamake anajua siku akikua na akawa amepevuka akili ataambiwa
 
Back
Top Bottom