Nimezaa na mke wa mtu, roho inaniuma mwanangu kulelewa na baba mwingine

Bora wewe unaumia kuna mume wa mtu amempa mimba binti fulani dahhhh! Alaaniwe tu huyo mwanaume!
 
Huwezi kuwapata wanao labda mume mwenzio atangulie kwenda Mbinguni. Hao wataendelea kuwa watoto halali wa ndoa yao.

Kwa usalama tu kaa mbali sasa na mke wa mtu, ipo siku yatakukuta makubwa na huko kupenda kulelewa kutakutokea puani.
 
Bila katiba mpya nakuambia hao watoto hutawapata.
 
Naitaka damu yangu, na nasubiri hiyo mimba ajifungue alelewe mpaka amalize form four then nachukua wanangu
Akimaliza form four ndio utakuwa na uwezo wa kumlea na kumsomesha high school, chuo n.k. si ndio eeh??! 🤔
 
Kwa usalama tu kaa mbali sasa na mke wa mtu, ipo siku yatakukuta makubwa na huko kupenda kulelewa kutakutokea puani
Hana mpango huo! Anachokitafuta atakipata.
Nanukuu "Jamani naombeni uahauri life la chuo ni gumu mno na nashindwa kumuacha huyu dada, na siku zinavyokwenda najikuta nampenda na mimi
 
Shamba la mwenye nalo mahindi ni yako. utabaki biological father tu mwenye mke atabaki baba mzazi

cha maana pambana upate mkwanja aisee atajileta tu
 
Mwivi anapolalamika kuibiwa !!!

Chizi yoyote anaweza ku-donate mbegu..., kuwa baba / mzazi ni malezi.....
 
unashangaa nini wakati waume zao hawajitambui......na wanatusumbua sana hawa wake za watu
 
laiti wanawake wangeliziweka wazi siri walizotunza juu ya mambo haya, nadhani karibu kila familia kungepatikana mtoto/watoto waliochakachuliwa.
 
Wewe Ni Donor Country (Tulia Tu Umeshafanya)
 
Huwa nachukia mwanaume kulia Lia hovyo Sana kijana kuwa jasir kuwa roho ngumu
 
Jamanii em' tupunguze hizi njaa...dah!!! Mtoto wa kiume pambana achana na hizo mambo za wake za watu,afu' sio wewe tuu mwenye life gumu huko chuo mpo wengi tuu I know ila wewe unaendekeza sana njaa nyau wewee,😏
Aliloweka Mpaka Shida Alelewe Kasahau Kuwa Mbegu Zinaota, Akienda Kusogelea Mlango Wa Watu Atajuta
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…