Nimezaa na mke wa mtu, roho inaniuma mwanangu kulelewa na baba mwingine

[emoji23][emoji23]
 
Watu wengine hawaitaji ushauri wa kuandika andika hivi ni kupigwa makofi mawili matatu mashavu yachangamke akili ukae Sawa
 
Ila kweli naamin tuna jamhuri ya kizazi cha hovyo.[emoji38][emoji23][emoji23]just imagine dume linakuja kulia ugum wa maisha so linazaa na mme wa mtu kweli ili kujinusuru na wakati angeweza kufanya mambo kibao ya msingi ya kupata kipato lkn anategemea kitonga kwa Sugar mumy wake kwa kumzalia anyway sadness story.
 
Nime ishu
Nimeishi chuo maisha magumu ,bumu ninalopata ninagawa na nyumbani angalau wadogo zangu nao wapate .Nilifanya vibarua muda waziada na sikuwahi fikiria kulala na mwanaume sababu ya pesa. Yaani unaudhalilisha ujana wako hiviiiii puuuuuuuuuuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…