Nimezama kwenye penzi la single mother ila naogopa

Nioe chap bas 😌kabla sjachoka ku fake tabia yangu
 
HAA!! πŸ™„πŸ™„

Kumaliza vidole vyangu ku-type yote hayo bado unaona natania!!!!???
Sasa mkuu hata wewe unakutana na mtu kama huyo na umempenda na unaona kabisa kwa mienendo yake awezi rudia matapishi..

How you can say to find evidence of his ex
 
Nakutakia kila la heri. Sijui kwanini unanijia wimbo wa Dr Remi " Kipenda Roho".
 
Nakutakia kila la heri. Sijui kwanini unanijia wimbo wa Dr Remi " Kipenda Roho".
Ahahahahaha daaah wee jamaa mnafiki sana πŸ˜„ πŸ˜„ πŸ˜„ πŸ˜„ πŸ˜„ πŸ™Œ πŸ™ πŸ˜„ πŸ™Œ πŸ™
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…