Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
Sasa 1. 5 si tuition hiyo😂🤣, beside ni mwana.Kaka jamani milioni 3 😀😀😀😀
So naona kawaida tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa 1. 5 si tuition hiyo😂🤣, beside ni mwana.Kaka jamani milioni 3 😀😀😀😀
FactHivi hio products inayofundisha huko Private schools (walimu) mbona wengi wao walisoma Kayumba.
Mtu anapeleka mtoto nursery analipa mil 1.5 haliyakua hapo nursery anafundishwa na mwalimu aliepata div 4 ya 32 form four. Hivi kweli inaangia akilini?.
Kama ingekua shule za vipaji maalumu nihalali mtoto umlipie hiyo ada, mfano mtoto anasoma huku anaendeleza kipaji chake kama mpira, volleyball, ngumi n.k yaan mtoto anasoma kuendeleza talent yake huyo unaweza mlipia. Lakini sio kuhesabu eti one mpaka twenty kwa kingereza ndio umlipie pesa zote hizo.
Kuishi maisha magumu sio tiketi ya kutoboa... tuache akili za kitumwa. Huko Ulaya wanaoishi maisha soft tumewazidi nini kimaendeleo?Hizo ndo shule sasa. Achana na hizi shule zenu za soft work
😐😐😐😐😐 sina neno mimi kaka....Sasa 1. 5 si tuition hiyo😂🤣, beside ni mwana.
So naona kawaida tu.
Sijakataa , private schools walimu Wana bidii kuliko wanafunzi Ila serikali wanafunzi Wana bidii kuliko walimu yaani Iko vice versa. Mie topic ya water mwalimu aliingia darasani akauliza kuwa Kuna nani hayajui maji, darasa kimya, Kuna mtu hajui maji Yana rangi ama harufu Gani , tukawa kimya mwalimu akasema kuwa topic imeisha iyo. N kweli ikaisha mtihani ukaja na tunafaulu mno.Kusoma English medium na bata vinahusianaje?
Hawa wa Private they work more compare na hawa wa public schools.
Ambao walimu hawana hata muda nao.
kidogo nagawana na masikini wenzangu 🤣😂😐😐😐😐😐 sina neno mimi kaka....
Mgawie kwanza dada yako akalipe ada ya anko wako......fadhila inaanzia nyumbani 🤣🤣🤣🤣🤣kidogo nagawana na masikini wenzangu 🤣😂
Huko Ulaya wanakoishi maisha soft ni wapi?.Kuishi maisha magumu sio tiketi ya kutoboa... tuache akili za kitumwa. Huko Ulaya wanaoishi maisha soft tumewazidi nini kimaendeleo?
Mie wanangu nakomaa nao English nyumbani na wanaongea fresh na wako kayumba, yaani English is over estimated wakati ni sawa watt wanakuwa wanakuta naongea kikurya sana na wife so watt nao wataijua iyo lugha so namie wanakuta nawaongelesha English wanaelewa mbonaHivi hio products inayofundisha huko Private schools (walimu) mbona wengi wao walisoma Kayumba.
Mtu anapeleka mtoto nursery analipa mil 1.5 haliyakua hapo nursery anafundishwa na mwalimu aliepata div 4 ya 32 form four. Hivi kweli inaangia akilini?.
Kama ingekua shule za vipaji maalumu nihalali mtoto umlipie hiyo ada, mfano mtoto anasoma huku anaendeleza kipaji chake kama mpira, volleyball, ngumi n.k yaan mtoto anasoma kuendeleza talent yake huyo unaweza mlipia. Lakini sio kuhesabu eti one mpaka twenty kwa kingereza ndio umlipie pesa zote hizo.
Jobless pro max natoa wapi hizo noti 🤣😂Mgawie kwanza dada yako akalipe ada ya anko wako......fadhila inaanzia nyumbani 🤣🤣🤣🤣🤣
Kaka rudisha Avatar yako ya awali. Mods shughulieni hilo tafadhali
Si umesema unaweza kumlipia ada mtoa mada hapo juu au sio wewe?? Au ndio ile JF kila mtu ana hela anaweza kumsaidia mwenzie wakati in reality unaweza kuta hata kula hajala??Jobless pro max natoa wapi hizo noti 🤣😂
nime mlipia mdogo wangu, elewa nilipo sema ni vile sija oa. Ninge mchukua aje kukaa kwangu.Si umesema unaweza kumlipia ada mtoa mada hapo juu au sio wewe?? Au ndio ile JF kila mtu ana hela anaweza kumsaidia mwenzie wakati in reality unaweza kuta hata kula hajala??
Haya kaka lakini pale hukusema mdogo wako ndio maana nikashangaa umlipie mtoto watoa mada milioni 3 hee....btw mdogo wako atakuwa proud sana na wewe akikua bro keep on doing good job.nime mlipia mdogo wangu, elewa nilipo sema ni vile sija oa. Ninge mchukua aje kukaa kwangu.
Haya kaka lakini pale hukusema mdogo wako ndio maana nikashangaa umlipie mtoto watoa mada milioni 3 hee....btw mdogo wako atakuwa proud sana na wewe akikua bro keep on doing good job.
trudie Soma kuanzia ni vile sija oa, na Safari hii nime lipa Mimi. Maana naona kawaida kwa anacho jifunza hukoHuyu Jamaa ni kizazi, na ange kuwa karibu yangu ninge mchapa Kofi.
public school nazi heshimu, ila kwakweli hapana kabisa.
ni vile tu Sija oa, ila ninge mchukua aje huku niliko.
ada ni 3m na safari hii nime lipa Mimi, na still naona kawaida mno kwa anacho jifunza huko.
Nmesoma bro lakini still narudi pale pale umesema ungemchukua ila hujasema ni nani thats why nikaunganisha tunayemuongelea ni mtoto wa mtoa mada. I thought ndio mhusika unayemuongelea and may be ni lugha gongana pia.trudie Soma kuanzia ni vile sija oa, na Safari hii nime lipa Mimi. Maana naona kawaida kwa anacho jifunza huko
Mimi nimchukue mtoto wa mzazi aliye hai??, big nope.Nmesoma bro lakini still narudi pale pale umesema ungemchukua ila hujasema ni nani thats why nikaunganisha tunayemuongelea ni mtoto wa mtoa mada. I thought ndio mhusika unayemuongelea and may be ni lugha gongana pia.