Nimpeleke mtoto shule ya milioni 1.5 au hela nimuwekezee UTT au hisa?

Nimpeleke mtoto shule ya milioni 1.5 au hela nimuwekezee UTT au hisa?

Why mtt asifanye kazi jamani yaani kidumu na fagio kufagia na kupalilia miti ni adhabu yaani mnapenda watoto wasioweza kuvunja slice ya mkate hata kupaka blue band apakiwe, anafuliwa underwear zake na dada kweli, napenda angalau mtt ajue kutunza bustani ndogo ndogo ya mboga na matunda huku anasoma.
Let us face reality of life, so yaani yeye hagusi kitu ni kusoma tu, chakula analishwa, anafuliwa, chai saa nne analetewa, Kuna mmoja akasoma Tanganyika school international saivi ni it kwa kampuni ya kaka yake , Ila Sasa Yuko hapa hapa bongo , hana la ajabu sana. Let us conclude smt our ego inatu push kufanya maamuzi yaani unataka uonekane wewe ni Bora zaidi ya wengine ni wajinga na maskini, Kila binadamu ana hitaji la kutaka juu ya kuwa mwingine,Ila Kama unataka peleka mwanao USA huko ndiko exposure ilipo jamani Sasa hapa hapa bongo kisa English ya ze ze na wanafundishwa na walimu waliosoma kwa kukariri na wamesoma kayumba Mwanzo mwisho so hapo Kuna exposure Gani kwani. Usafiri wa daladala kweli unasumbua mtt Ila mpe nauli ya mtu mzima akae bila ya kusumbuliwa na konda , unataka utengeneze soft times ambazo zita create soft men ambao hao soft men wata create hard times kweli.
 
Why mtt asifanye kazi jamani yaani kidumu na fagio kufagia na kupalilia miti ni adhabu yaani mnapenda watoto wasioweza kuvunja slice ya mkate hata kupaka blue band apakiwe, anafuliwa underwear zake na dada kweli, napenda angalau mtt ajue kutunza bustani ndogo ndogo ya mboga na matunda huku anasoma.
Let us face reality of life, so yaani yeye hagusi kitu ni kusoma tu, chakula analishwa, anafuliwa, chai saa nne analetewa, Kuna mmoja akasoma Tanganyika school international saivi ni it kwa kampuni ya kaka yake , Ila Sasa Yuko hapa hapa bongo , hana la ajabu sana. Let us conclude smt our ego inatu push kufanya maamuzi yaani unataka uonekane wewe ni Bora zaidi ya wengine ni wajinga na maskini, Kila binadamu ana hitaji la kutaka juu ya kuwa mwingine,Ila Kama unataka peleka mwanao USA huko ndiko exposure ilipo jamani Sasa hapa hapa bongo kisa English ya ze ze na wanafundishwa na walimu waliosoma kwa kukariri na wamesoma kayumba Mwanzo mwisho so hapo Kuna exposure Gani kwani. Usafiri wa daladala kweli unasumbua mtt Ila mpe nauli ya mtu mzima akae bila ya kusumbuliwa na konda , unataka utengeneze soft times ambazo zita create soft men ambao hao soft men wata create hard times kweli.
100% Fact
 
As a matter of fact kwanini umpeleke mtoto wako kwenye shule yenye watu usio waamini?
Mbona wewe wageni hauwaruhusu kulala na wanao?? Kwanini unakaribisha watu usiowaamini nyumbani kwako??..
 
Unaweza ukawa na hela hizo hizo hela zikatumika kulemaza wanao Ila wewe unajiona Kama ndio unawalea kwa upendo, kiufupi elea pleasure and pains Zina drive human being.
Sasa mpe Raha baadaye aanze kuuliza lini dingi anakufa nirithi Mali.
Mfano mzuri kwa jk Kuna kijana wake mmoja anayejitambua,kulea watt kibata unaona ndio unawapa Maisha kumbe wao subconsciously wanapanda kitu kinaota kuwa life ni Bata tu, watakuja kugombania nyumba iuzwe hapo kariakoo wagawane Kila mtu achukue chake ama wanaishi kwa kutegemea Kodi ya nyumba ulizoacha, yaani ulivyoacha badala ya kuendelezwa ni kumalizwa.
 
Unaweza ukawa na hela hizo hizo hela zikatumika kulemaza wanao Ila wewe unajiona Kama ndio unawalea kwa upendo, kiufupi elea pleasure and pains Zina drive human being.
Sasa mpe Raha baadaye aanze kuuliza lini dingi anakufa nirithi Mali.
Mfano mzuri kwa jk Kuna kijana wake mmoja anayejitambua,kulea watt kibata unaona ndio unawapa Maisha kumbe wao subconsciously wanapanda kitu kinaota kuwa life ni Bata tu, watakuja kugombania nyumba iuzwe hapo kariakoo wagawane Kila mtu achukue chake ama wanaishi kwa kutegemea Kodi ya nyumba ulizoacha, yaani ulivyoacha badala ya kuendelezwa ni kumalizwa.
Kusoma English medium na bata vinahusianaje?

Hawa wa Private they work more compare na hawa wa public schools.
Ambao walimu hawana hata muda nao.
 
Why mtt asifanye kazi jamani yaani kidumu na fagio kufagia na kupalilia miti ni adhabu yaani mnapenda watoto wasioweza kuvunja slice ya mkate hata kupaka blue band apakiwe, anafuliwa underwear zake na dada kweli, napenda angalau mtt ajue kutunza bustani ndogo ndogo ya mboga na matunda huku anasoma.
Let us face reality of life, so yaani yeye hagusi kitu ni kusoma tu, chakula analishwa, anafuliwa, chai saa nne analetewa, Kuna mmoja akasoma Tanganyika school international saivi ni it kwa kampuni ya kaka yake , Ila Sasa Yuko hapa hapa bongo , hana la ajabu sana. Let us conclude smt our ego inatu push kufanya maamuzi yaani unataka uonekane wewe ni Bora zaidi ya wengine ni wajinga na maskini, Kila binadamu ana hitaji la kutaka juu ya kuwa mwingine,Ila Kama unataka peleka mwanao USA huko ndiko exposure ilipo jamani Sasa hapa hapa bongo kisa English ya ze ze na wanafundishwa na walimu waliosoma kwa kukariri na wamesoma kayumba Mwanzo mwisho so hapo Kuna exposure Gani kwani. Usafiri wa daladala kweli unasumbua mtt Ila mpe nauli ya mtu mzima akae bila ya kusumbuliwa na konda , unataka utengeneze soft times ambazo zita create soft men ambao hao soft men wata create hard times kweli.
Kuna wajinga hawawezi kukuelewa, hali yakua wao wamesoma St Kayumba na wanaishi vizuri tu, mtu anapeleka mtoto shule ya kulipia halafu mtoto Mwenyewe anafundishwa na waliosoma st Kayumba.
 
Kusoma English medium na bata vinahusianaje?

Hawa wa Private they work more compare na hawa wa public schools.
Ambao walimu hawana hata muda nao.
Hivi hio products inayofundisha huko Private schools (walimu) mbona wengi wao walisoma Kayumba.

Mtu anapeleka mtoto nursery analipa mil 1.5 haliyakua hapo nursery anafundishwa na mwalimu aliepata div 4 ya 32 form four. Hivi kweli inaangia akilini?.


Kama ingekua shule za vipaji maalumu nihalali mtoto umlipie hiyo ada, mfano mtoto anasoma huku anaendeleza kipaji chake kama mpira, volleyball, ngumi n.k yaan mtoto anasoma kuendeleza talent yake huyo unaweza mlipia. Lakini sio kuhesabu eti one mpaka twenty kwa kingereza ndio umlipie pesa zote hizo.
 
Kusoma English medium na bata vinahusianaje?

Hawa wa Private they work more compare na hawa wa public schools.
Ambao walimu hawana hata muda nao.
Hivi Hawa private students wanafanya kazi maofisi yapi jaman, au ndio wafanyabiashara wengi wao ?. Maana walioko huku ofisini ni wakawaida sana uwezo wao.
 
Hakikisha mwanao anasoma chekechea nzuri sana. Hata kama primary atasoma Kayumba..

Wataalamu wa utoto, 'early childhood' wanasema tafiti zinaonesha experiences za miaka 6 ya mwanzo humuathiri mtu maisha yake yote.
Hapo ndipo mtoto hujenga Ile sehemu ya character yake inayoinfluensiwa na mazingira.
Inaleta sense!
 
Back
Top Bottom