Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,984
- 19,288
- Thread starter
-
- #61
Acha utoto, mimi sipo kutamba utajiri hapa, point yangu ni kuwa ada ya mwanangu naimudu,Wewe bado ni fukara. Tsh 30m kwa mwaka bado ni kidogo. Wastani wa Tsh 2.5m kwa mwezi. Jipange angalau ufikie 5m kwa mwezi.
tuwaache wafanye wanayotakaWatu wanatumia kipimo cha kushindwa kwa wazazi na kizazi chao kupimia wengne.
Wewe unaita wengine furaha una ngapi mkuu? Maana watu wenye hela hawana muda wa kuja JF kufanya trollingJamaa ni fukara mwenye stress. Hajikubali kabisa kwa hali yake. Anajitutumua lakini katikati ya maandishi yake tunaona LIVE kilio cha mtu mzima.
Jamaa nimelipuuza sana! Linakuja kutafuta ushauri huku tayari lina majibu!Anaomba ushauri halafu tukimshauri anatukaripia.
Elimu
Elimu
Elimu.
Kama elimu ni ghali, ajaribu ujinga basi.
Ajabu na kweli!Mtoto wa Kayumba ana shepiwa vizuri kuliko mtoto wa Feza?
😹😹😹 ujue kuna vitu waungwana mnachekesha sana.!!Hata kama namudu, Naona pia mtoto kusoma shule za serikali anakuwa na experience na real world zaidi kuliko kusoma za private
Nunua government bonds za 20-25 yrs Kuna tanga Municipal bondsUTT inalipa kiasi gani kwa mwezi/mwaka nikiweka 10M.
Mkuu humu ndani kuna maswali ya kijinga sana huwa yanaulizwa! Jamaa yetu kazidiwa brain na mke wake!😹😹😹 ujue kuna vitu waungwana mnachekesha sana.!!
Sikia usitafute visingizio km huwezi kumudu acha wala hakuna wa kukuchapa..!!
Huyu maisha ya shida kwake ni real world 😹😹😹Hakuna real world kwenye umaskini , nimesoma hizo shule A level nazijua
Wenzako tunafanya yote Mkuu, tunalipa hizo 1.5 shule na UTT pia tunaweka.Wakuu kuna mtoto wangu kaanza shule mwaka huu, chekechea ada yake ni milioni 1.5 ukijumlisha na vikorokoro vingine inaweza fika jumla milioni 1.7
Sio muumini sana wa hizi shule, ila mama yake ndio aling'ang'ania sana tumpeleke huko baada ya kuona rafiki zake nao wamepeleka watoto wao shule za private na wanaongea kiingereza kingi wakiwa na umri mdogo na pia anasema mtoto tukimpeleka shule za serikali atateseka6
Sasa nimefikiria, kumpeleka mtoto hadi amalize shule ya msingi, then sekondari, je hizo pesa za ada badala ya kumlipia shule ya private nikamhamishia serikalini ambako hata hivyo atakua ananuliwa vitabu na materials nyingine , halafu hiyo ada ya private nikawa naiwekeza kwenye mfuko wa UTT au kununua hisa za kampuni inayofanya vizuri tu kila mwaka, au kuiwekeza kwenyw kununua ardhi
Baaadae mtoto akiwa na miaka 20 ama 25 huko atakuwa na mtaji wa kuanzia maisha halafu connection nitampa mimi kwenye biashara zangu
Pia nimefikiria kumpeleka mtoto shule za kawaida kutamjenga awe 'mgumu' awe na kuweza kumudu mazingira halisi ya mtaano baada ya kumaliza masomo, kuliko mazingira ya kupelekwa na kurudishwa na school bus ambayo hayamjengi
Mimi mwenyewe ni msomi mwenye degree, lakini kazi ninyoifanya haihusiani kabisa na elimu yangu, na ilinibidi ni adapt mtaani japo kwa maumivu na hofu yangu ni kuwa mwanangu naweza kumsomesha kwa gharama kubwa halafu elimu isimsaidie kwenye maisha kama mimi, na akawa hana hata skills za kutoboa mtaani, mimi kutokusoma hizo shule za gharama naamimi kumenisaidia kidogo
Dunia inabadilika, wasomi wengi mtaani kazi hakuna na mbaya zaidi kazi nyingi zitaenda kuwa automated miaka ijayo,
Endelea kujengea wewe fala mlisishe mtoto wako fixed asset zenye kuzalishaWakuu kuna mtoto wangu kaanza shule mwaka huu, chekechea ada yake ni milioni 1.5 ukijumlisha na vikorokoro vingine inaweza fika jumla milioni 1.7
Sio muumini sana wa hizi shule, ila mama yake ndio aling'ang'ania sana tumpeleke huko baada ya kuona rafiki zake nao wamepeleka watoto wao shule za private na wanaongea kiingereza kingi wakiwa na umri mdogo na pia anasema mtoto tukimpeleka shule za serikali atateseka6
Sasa nimefikiria, kumpeleka mtoto hadi amalize shule ya msingi, then sekondari, je hizo pesa za ada badala ya kumlipia shule ya private nikamhamishia serikalini ambako hata hivyo atakua ananuliwa vitabu na materials nyingine , halafu hiyo ada ya private nikawa naiwekeza kwenye mfuko wa UTT au kununua hisa za kampuni inayofanya vizuri tu kila mwaka, au kuiwekeza kwenyw kununua ardhi
Baaadae mtoto akiwa na miaka 20 ama 25 huko atakuwa na mtaji wa kuanzia maisha halafu connection nitampa mimi kwenye biashara zangu
Pia nimefikiria kumpeleka mtoto shule za kawaida kutamjenga awe 'mgumu' awe na kuweza kumudu mazingira halisi ya mtaano baada ya kumaliza masomo, kuliko mazingira ya kupelekwa na kurudishwa na school bus ambayo hayamjengi
Mimi mwenyewe ni msomi mwenye degree, lakini kazi ninyoifanya haihusiani kabisa na elimu yangu, na ilinibidi ni adapt mtaani japo kwa maumivu na hofu yangu ni kuwa mwanangu naweza kumsomesha kwa gharama kubwa halafu elimu isimsaidie kwenye maisha kama mimi, na akawa hana hata skills za kutoboa mtaani, mimi kutokusoma hizo shule za gharama naamimi kumenisaidia kidogo
Dunia inabadilika, wasomi wengi mtaani kazi hakuna na mbaya zaidi kazi nyingi zitaenda kuwa automated miaka ijayo,
Mi ndiomana nyuzi za hivi huwa nazipita ni kujichosha kubishana na watu wajinga..!!Mkuu humu ndani kuna maswali ya kijinga sana huwa yanaulizwa! Jamaa yetu kazidiwa brain na mke wake!
Elimu sio ghali bana ni namna ya ku manipulate watu watoe hela kwa wajanja wachache,mbona maarifa yapo free hata YouTube unaweza unakomaa tu ukajua how to invest/trade stocks market na ukawa successful.Anaomba ushauri halafu tukimshauri anatukaripia.
Elimu
Elimu
Elimu.
Kama elimu ni ghali, ajaribu ujinga basi.
Achana na huyo mjinga Mdogo wangu,, hana lolote angalia hata username yake atakuwa ni chawa wa wakubwa,,, Focus kwenye ushauri chanyaAisee...! Mbona JF ina mbumbumbu wengi hivi? Mimi kazi yangu inaniingizia kipato cha zaidi ya milioni 30 kwa mwaka, kwa umri nilio nao na nikilinganisha na watanzania wengine ni kipato kikubwa, ila sipo hapa kujitambia utajiri, na sichukulii poa najua naweza kufilisika au kupata zaidi, wapo watanzania wengi ambao hata kushika hata laki 5 kwa mkupuo mmoja ni ndoto, ni umbumbumbu mkubwa sana kudharau hela kisa wewe unazo
Na hapa topic haijalalamikia ukubwa wa ada bali ni trade offs