Nimpeleke mtoto shule ya milioni 1.5 au hela nimuwekezee UTT au hisa?

Nimpeleke mtoto shule ya milioni 1.5 au hela nimuwekezee UTT au hisa?

Wewe bado ni fukara. Tsh 30m kwa mwaka bado ni kidogo. Wastani wa Tsh 2.5m kwa mwezi. Jipange angalau ufikie 5m kwa mwezi.
Acha utoto, mimi sipo kutamba utajiri hapa, point yangu ni kuwa ada ya mwanangu naimudu,
Au kwa kuwa unatumia fake ID na unaanza kujitapa?
 
Binafsi nmeaoma private mpka chuo na nafanya Mambo tofauti na nlichosomea na wanangu Mungu akipenda watapita njia hyohyo no matter what ata aje kua Nan as long as amepata exposure nyng ya dunia ya Sasa. Itamsaidia kwa namna nyengine

Kama zipo usimuangaishe dgo mpe elimu nzuri ya mazingira mazur
Huo ugumu mfundishe ww au ajichanganye apo mtaani

Kuna waliosoma wakishua ilawagumu balaa hii ni mtaa
 
😹😹😹 ujue kuna vitu waungwana mnachekesha sana.!!

Sikia usitafute visingizio km huwezi kumudu acha wala hakuna wa kukuchapa..!!
Mkuu humu ndani kuna maswali ya kijinga sana huwa yanaulizwa! Jamaa yetu kazidiwa brain na mke wake!
 
Wakuu kuna mtoto wangu kaanza shule mwaka huu, chekechea ada yake ni milioni 1.5 ukijumlisha na vikorokoro vingine inaweza fika jumla milioni 1.7

Sio muumini sana wa hizi shule, ila mama yake ndio aling'ang'ania sana tumpeleke huko baada ya kuona rafiki zake nao wamepeleka watoto wao shule za private na wanaongea kiingereza kingi wakiwa na umri mdogo na pia anasema mtoto tukimpeleka shule za serikali atateseka6

Sasa nimefikiria, kumpeleka mtoto hadi amalize shule ya msingi, then sekondari, je hizo pesa za ada badala ya kumlipia shule ya private nikamhamishia serikalini ambako hata hivyo atakua ananuliwa vitabu na materials nyingine , halafu hiyo ada ya private nikawa naiwekeza kwenye mfuko wa UTT au kununua hisa za kampuni inayofanya vizuri tu kila mwaka, au kuiwekeza kwenyw kununua ardhi

Baaadae mtoto akiwa na miaka 20 ama 25 huko atakuwa na mtaji wa kuanzia maisha halafu connection nitampa mimi kwenye biashara zangu

Pia nimefikiria kumpeleka mtoto shule za kawaida kutamjenga awe 'mgumu' awe na kuweza kumudu mazingira halisi ya mtaano baada ya kumaliza masomo, kuliko mazingira ya kupelekwa na kurudishwa na school bus ambayo hayamjengi

Mimi mwenyewe ni msomi mwenye degree, lakini kazi ninyoifanya haihusiani kabisa na elimu yangu, na ilinibidi ni adapt mtaani japo kwa maumivu na hofu yangu ni kuwa mwanangu naweza kumsomesha kwa gharama kubwa halafu elimu isimsaidie kwenye maisha kama mimi, na akawa hana hata skills za kutoboa mtaani, mimi kutokusoma hizo shule za gharama naamimi kumenisaidia kidogo

Dunia inabadilika, wasomi wengi mtaani kazi hakuna na mbaya zaidi kazi nyingi zitaenda kuwa automated miaka ijayo,
Wenzako tunafanya yote Mkuu, tunalipa hizo 1.5 shule na UTT pia tunaweka.

Kama kipato chako hakitoshi ONGEZA BIDII YA KAZI kuliko kulaumu ada za shule na kulaumu Mungu kukupa uzao
 
Wakuu kuna mtoto wangu kaanza shule mwaka huu, chekechea ada yake ni milioni 1.5 ukijumlisha na vikorokoro vingine inaweza fika jumla milioni 1.7

Sio muumini sana wa hizi shule, ila mama yake ndio aling'ang'ania sana tumpeleke huko baada ya kuona rafiki zake nao wamepeleka watoto wao shule za private na wanaongea kiingereza kingi wakiwa na umri mdogo na pia anasema mtoto tukimpeleka shule za serikali atateseka6

Sasa nimefikiria, kumpeleka mtoto hadi amalize shule ya msingi, then sekondari, je hizo pesa za ada badala ya kumlipia shule ya private nikamhamishia serikalini ambako hata hivyo atakua ananuliwa vitabu na materials nyingine , halafu hiyo ada ya private nikawa naiwekeza kwenye mfuko wa UTT au kununua hisa za kampuni inayofanya vizuri tu kila mwaka, au kuiwekeza kwenyw kununua ardhi

Baaadae mtoto akiwa na miaka 20 ama 25 huko atakuwa na mtaji wa kuanzia maisha halafu connection nitampa mimi kwenye biashara zangu

Pia nimefikiria kumpeleka mtoto shule za kawaida kutamjenga awe 'mgumu' awe na kuweza kumudu mazingira halisi ya mtaano baada ya kumaliza masomo, kuliko mazingira ya kupelekwa na kurudishwa na school bus ambayo hayamjengi

Mimi mwenyewe ni msomi mwenye degree, lakini kazi ninyoifanya haihusiani kabisa na elimu yangu, na ilinibidi ni adapt mtaani japo kwa maumivu na hofu yangu ni kuwa mwanangu naweza kumsomesha kwa gharama kubwa halafu elimu isimsaidie kwenye maisha kama mimi, na akawa hana hata skills za kutoboa mtaani, mimi kutokusoma hizo shule za gharama naamimi kumenisaidia kidogo

Dunia inabadilika, wasomi wengi mtaani kazi hakuna na mbaya zaidi kazi nyingi zitaenda kuwa automated miaka ijayo,
Endelea kujengea wewe fala mlisishe mtoto wako fixed asset zenye kuzalisha
 
Experience and real world.....hivi kusoma kwa shida na karaha ndio experience nzuri ya maisha?? Watanzania kwa nini tunautukuza umasikini kama ni sifa?? Unasema unamuandaa aje kufanya biashara kama zako yet unamuandaa kwenye mazingira magumu serious??
 
Anaomba ushauri halafu tukimshauri anatukaripia.
Elimu
Elimu
Elimu.
Kama elimu ni ghali, ajaribu ujinga basi.
Elimu sio ghali bana ni namna ya ku manipulate watu watoe hela kwa wajanja wachache,mbona maarifa yapo free hata YouTube unaweza unakomaa tu ukajua how to invest/trade stocks market na ukawa successful.
Gharama ilipo ni wewe kujitoa kuisaka elimu,mie nimesoma nimemaliza bachelor ya Engineering sijatumia hata 1M from std wani mpaka chuo, na nimesoma na nje pia Russia na udsm coet , yaani sijatumia milioni na pia nimesoma boarding miaka sita nimetoka na divisheni wani pote ,nimesoma tabora boys and ilboru.
Nje huko nasoma kwa hela za Russia and Tanzania, mie sijaona hizo Gharama mie ishu ilikuwa kusoma na kufaulu tu mbona. Watu wanakuza elimu bana kuwa ni gharama hakuna cha gharama sema ni Ile ya binadamu ya kutaka kutukuzwa kuwa yeye yu mjanja aka ego inamu drive Ila hakuna kitu.watu wanasoma online wanapata degree zao. Yaani ukiwa na hamu Kali yaani Ile kiu ya kutaka kusoma unasoma bana mbona.
 
Aisee...! Mbona JF ina mbumbumbu wengi hivi? Mimi kazi yangu inaniingizia kipato cha zaidi ya milioni 30 kwa mwaka, kwa umri nilio nao na nikilinganisha na watanzania wengine ni kipato kikubwa, ila sipo hapa kujitambia utajiri, na sichukulii poa najua naweza kufilisika au kupata zaidi, wapo watanzania wengi ambao hata kushika hata laki 5 kwa mkupuo mmoja ni ndoto, ni umbumbumbu mkubwa sana kudharau hela kisa wewe unazo
Na hapa topic haijalalamikia ukubwa wa ada bali ni trade offs
Achana na huyo mjinga Mdogo wangu,, hana lolote angalia hata username yake atakuwa ni chawa wa wakubwa,,, Focus kwenye ushauri chanya
 
Back
Top Bottom