It doesn't work that wayMungu alivyo wa ajabu. Unamtoa mtoto Ems ili kuokoa ada iende UTT unaanza kupata pesa zinazotoshea kununua uniform na daftari za Kayumba. Zile ulizodhani zitakuwa za saving zinapotea kabisa. Acha mtoto shule mengine yatajipa mbele. Huenda mzazi wako asingekupeleka usingepata nguvu ya kupambana mtaani kila siku ungekuwa unamlaumu amechangia kufeli kwa maisha yako. Lakini kwa sasa huna cha kumlaumu umebaki na maisha yako.
Muongo weweIla nakupa ushauri mmoja,mtoto akianza english medium chekechea hakikisha primary anaenda shule hizo hizo la sivyo atakuwa kilaza kwakuwa hataweza kuelewa vizuri kufundishwa kwa kiswahili primary
Unaweza kuona utani lkn nina ushahidi tosha,yani mwanzo lazima atapata sana shida kuswitch kutoka kiingereza mpaka kiswahili
Bora umpeleke shule au umununulie mashamba vijiji aje kukata viwanja uzeeniWakuu kuna mtoto wangu kaanza shule mwaka huu, chekechea ada yake ni milioni 1.5 ukijumlisha na vikorokoro vingine inaweza fika jumla milioni 1.7
Sio muumini sana wa hizi shule, ila mama yake ndio aling'ang'ania sana tumpeleke huko baada ya kuona rafiki zake nao wamepeleka watoto wao shule za private na wanaongea kiingereza kingi wakiwa na umri mdogo na pia anasema mtoto tukimpeleka shule za serikali atateseka6
Sasa nimefikiria, kumpeleka mtoto hadi amalize shule ya msingi, then sekondari, je hizo pesa za ada badala ya kumlipia shule ya private nikamhamishia serikalini ambako hata hivyo atakua ananuliwa vitabu na materials nyingine , halafu hiyo ada ya private nikawa naiwekeza kwenye mfuko wa UTT au kununua hisa za kampuni inayofanya vizuri tu kila mwaka, au kuiwekeza kwenyw kununua ardhi
Baaadae mtoto akiwa na miaka 20 ama 25 huko atakuwa na mtaji wa kuanzia maisha halafu connection nitampa mimi kwenye biashara zangu
Pia nimefikiria kumpeleka mtoto shule za kawaida kutamjenga awe 'mgumu' awe na kuweza kumudu mazingira halisi ya mtaano baada ya kumaliza masomo, kuliko mazingira ya kupelekwa na kurudishwa na school bus ambayo hayamjengi
Mimi mwenyewe ni msomi mwenye degree, lakini kazi ninyoifanya haihusiani kabisa na elimu yangu, na ilinibidi ni adapt mtaani japo kwa maumivu na hofu yangu ni kuwa mwanangu naweza kumsomesha kwa gharama kubwa halafu elimu isimsaidie kwenye maisha kama mimi, na akawa hana hata skills za kutoboa mtaani, mimi kutokusoma hizo shule za gharama naamimi kumenisaidia kidogo
Dunia inabadilika, wasomi wengi mtaani kazi hakuna na mbaya zaidi kazi nyingi zitaenda kuwa automated miaka ijayo,
Kila mtu ana standard zake asee na tusipangiwe namna gani ya kutumia jasho letu😆😆😆Huyu maisha ya shida kwake ni real world 😹😹😹
Sasa sijui hao wanaosoma huko English medium wao wanaishi kwenye fake world 🤣😹
Bora Nyerere asingepambania uhuru tu.!!
FactBora umpeleke shule au umununulie mashamba vijiji aje kukata viwanja uzeeni
Wee ndio mwanaume, tumia akili mkeo anatumia hisia achana nae.Wakuu kuna mtoto wangu kaanza shule mwaka huu, chekechea ada yake ni milioni 1.5 ukijumlisha na vikorokoro vingine inaweza fika jumla milioni 1.7
Sio muumini sana wa hizi shule, ila mama yake ndio aling'ang'ania sana tumpeleke huko baada ya kuona rafiki zake nao wamepeleka watoto wao shule za private na wanaongea kiingereza kingi wakiwa na umri mdogo na pia anasema mtoto tukimpeleka shule za serikali atateseka6
Sasa nimefikiria, kumpeleka mtoto hadi amalize shule ya msingi, then sekondari, je hizo pesa za ada badala ya kumlipia shule ya private nikamhamishia serikalini ambako hata hivyo atakua ananuliwa vitabu na materials nyingine , halafu hiyo ada ya private nikawa naiwekeza kwenye mfuko wa UTT au kununua hisa za kampuni inayofanya vizuri tu kila mwaka, au kuiwekeza kwenyw kununua ardhi
Baaadae mtoto akiwa na miaka 20 ama 25 huko atakuwa na mtaji wa kuanzia maisha halafu connection nitampa mimi kwenye biashara zangu
Pia nimefikiria kumpeleka mtoto shule za kawaida kutamjenga awe 'mgumu' awe na kuweza kumudu mazingira halisi ya mtaano baada ya kumaliza masomo, kuliko mazingira ya kupelekwa na kurudishwa na school bus ambayo hayamjengi
Mimi mwenyewe ni msomi mwenye degree, lakini kazi ninyoifanya haihusiani kabisa na elimu yangu, na ilinibidi ni adapt mtaani japo kwa maumivu na hofu yangu ni kuwa mwanangu naweza kumsomesha kwa gharama kubwa halafu elimu isimsaidie kwenye maisha kama mimi, na akawa hana hata skills za kutoboa mtaani, mimi kutokusoma hizo shule za gharama naamimi kumenisaidia kidogo
Dunia inabadilika, wasomi wengi mtaani kazi hakuna na mbaya zaidi kazi nyingi zitaenda kuwa automated miaka ijayo,
Kabisa, kila mtu ashinde mechi zake 😹Kila mtu ana standard zake asee na tusipangiwe namna gani ya kutumia jasho letu😆😆😆
UKIONA ELIMU NI GHARI BASI JARIBU UJINGA.Wakuu kuna mtoto wangu kaanza shule mwaka huu, chekechea ada yake ni milioni 1.5 ukijumlisha na vikorokoro vingine inaweza fika jumla milioni 1.7
Sio muumini sana wa hizi shule, ila mama yake ndio aling'ang'ania sana tumpeleke huko baada ya kuona rafiki zake nao wamepeleka watoto wao shule za private na wanaongea kiingereza kingi wakiwa na umri mdogo na pia anasema mtoto tukimpeleka shule za serikali atateseka6
Sasa nimefikiria, kumpeleka mtoto hadi amalize shule ya msingi, then sekondari, je hizo pesa za ada badala ya kumlipia shule ya private nikamhamishia serikalini ambako hata hivyo atakua ananuliwa vitabu na materials nyingine , halafu hiyo ada ya private nikawa naiwekeza kwenye mfuko wa UTT au kununua hisa za kampuni inayofanya vizuri tu kila mwaka, au kuiwekeza kwenyw kununua ardhi
Baaadae mtoto akiwa na miaka 20 ama 25 huko atakuwa na mtaji wa kuanzia maisha halafu connection nitampa mimi kwenye biashara zangu
Pia nimefikiria kumpeleka mtoto shule za kawaida kutamjenga awe 'mgumu' awe na kuweza kumudu mazingira halisi ya mtaano baada ya kumaliza masomo, kuliko mazingira ya kupelekwa na kurudishwa na school bus ambayo hayamjengi
Mimi mwenyewe ni msomi mwenye degree, lakini kazi ninyoifanya haihusiani kabisa na elimu yangu, na ilinibidi ni adapt mtaani japo kwa maumivu na hofu yangu ni kuwa mwanangu naweza kumsomesha kwa gharama kubwa halafu elimu isimsaidie kwenye maisha kama mimi, na akawa hana hata skills za kutoboa mtaani, mimi kutokusoma hizo shule za gharama naamimi kumenisaidia kidogo
Dunia inabadilika, wasomi wengi mtaani kazi hakuna na mbaya zaidi kazi nyingi zitaenda kuwa automated miaka ijayo,
sasa mkuu mbona unalinganisha hao walio level za ukwasi tena mawaziri kwanza hao hawapeleki watoto hizi english medium tunazolia nazo humu JF hao mawaziri wanapeleka watoto wao International school hao watoto wa vigogo utawakuta huko Feza,Braeburn na Ist..kingine sio kwamba wazazi hawataki kusomesha watoto wao shule bora tatizo uchumi mbovu wa walio wengi huko kayumba lazima twende hata kama hututaki..ww si unaona zogo humu ada ya milion 1.5 tu watu wanapiga mayowe na kulaani kisa tu wao hawana hizo hela na kuwaona wenye nazo wanaolipia watoto wao huko wanawaona kama wanatupa hela..haya makelele humu wanajifariji tu wanalia na milion 1.5 vp kama wakisikia huko international kwa kina Braeburn na Ist wanakolipa million 20-50 kwa mwaka na watu wanalipa bila mawazo si watakufa kwa kihoro hawa.!Hakuna mbadala wa elimu nzuri, period, kayumba ni upuuzi, tu, taja waziri anayesomesha mtoto kayumba! Hata, waziri wa elimu, hapeleki mtoto kayumba,
Kwa iyo chekechea aanze kayumba primary ndo private sioChekechea hapana, Primary sawa....
Hivi ni nani alianzisha hili neno "Kayumba" ? Yaani alimaanisha wanaosoma kwenye hizi shule alizoziita "Ka-yumba" wame-yumba ; hawajanyooka.sasa mkuu mbona unalinganisha hao walio level za ukwasi tena mawaziri kwanza hao hawapeleki watoto hizi english medium tunazolia nazo humu JF hao mawaziri wanapeleka watoto wao International school hao watoto wa vigogo utawakuta huko Feza,Braeburn na Ist..kingine sio kwamba wazazi hawataki kusomesha watoto wao shule bora tatizo uchumi mbovu wa walio wengi huko kayumba lazima twende hata kama hututaki..ww si unaona zogo humu ada ya milion 1.5 tu watu wanapiga mayowe na kulaani kisa tu wao hawana hizo hela na kuwaona wenye nazo wanaolipia watoto wao huko wanawaona kama wanatupa hela..haya makelele humu wanajifariji tu wanalia na milion 1.5 vp kama wakisikia huko international kwa kina Braeburn na Ist wanakolipa million 20-50 kwa mwaka na watu wanalipa bila mawazo si watakufa kwa kihoro hawa.!
Hata mawazo yako sio lazima yawe kama unavyofikiriIt doesn't work that way
Acha kunililia mimi sio babako. Pambana utoke kwenye huo ufukara wa kukosa 1.5m ya ada.Wewe unaita wengine furaha una ngapi mkuu? Maana watu wenye hela hawana muda wa kuja JF kufanya trolling
Sijakulilia, na huwezi kuwa babaanguAcha kunililia mimi sio babako. Pambana utoke kwenye huo ufukara wa kukosa 1.5m ya ada.
Kumbuka biashara zake zimemnyima 1.5m ya ada. Hapo anamrithisha mwanae umaskini.Experience and real world.....hivi kusoma kwa shida na karaha ndio experience nzuri ya maisha?? Watanzania kwa nini tunautukuza umasikini kama ni sifa?? Unasema unamuandaa aje kufanya biashara kama zako yet unamuandaa kwenye mazingira magumu serious??
Naona mafukara mnapeana moyoAchana na huyo mjinga Mdogo wangu,, hana lolote angalia hata username yake atakuwa ni chawa wa wakubwa,,, Focus kwenye ushauri chanya
Unapokelewa jinsi ulivyokuja. Acha kuutukuza umaskini.Acha utoto, mimi sipo kutamba utajiri hapa, point yangu ni kuwa ada ya mwanangu naimudu,
Au kwa kuwa unatumia fake ID na unaanza kujitapa?