Nimpeleke mtoto shule ya milioni 1.5 au hela nimuwekezee UTT au hisa?

Nimpeleke mtoto shule ya milioni 1.5 au hela nimuwekezee UTT au hisa?

Elimu sio ghali bana ni namna ya ku manipulate watu watoe hela kwa wajanja wachache,mbona maarifa yapo free hata YouTube unaweza unakomaa tu ukajua how to invest/trade stocks market na ukawa successful.
Gharama ilipo ni wewe kujitoa kuisaka elimu,mie nimesoma nimemaliza bachelor ya Engineering sijatumia hata 1M from std wani mpaka chuo, na nimesoma na nje pia Russia na udsm coet , yaani sijatumia milioni na pia nimesoma boarding miaka sita nimetoka na divisheni wani pote ,nimesoma tabora boys and ilboru.
Nje huko nasoma kwa hela za Russia and Tanzania, mie sijaona hizo Gharama mie ishu ilikuwa kusoma na kufaulu tu mbona. Watu wanakuza elimu bana kuwa ni gharama hakuna cha gharama sema ni Ile ya binadamu ya kutaka kutukuzwa kuwa yeye yu mjanja aka ego inamu drive Ila hakuna kitu.watu wanasoma online wanapata degree zao. Yaani ukiwa na hamu Kali yaani Ile kiu ya kutaka kusoma unasoma bana mbona.
Serikali ya Russia na Tanzania zilitumia makaratasi kugharamia elimu yako? Elimu ni gharama HAIPINGIKI.
 
usipoteze hela kulipa english medium primary school

HIZO HELA WEKEZA KWENYE HISA,MASHAMBA,VIWANJA PERI URBAN AREAS

📌FOCUS IANZE KWA KUWEKEZA PESA ZA KUJA KUWAPA MITAJI NA URITHI WA MALI KWA HAO AKINA JUNIOR WENU.KUPOTEZA MAMILIONI HUKO EMS KISHA ANAKUJA KUGOMBANIA INTERVIEW ZA TAMISEMI NI "UKICHAA".

MABASI YA NJANO NA TABU ZA TAMISEMI WAPI NA WAPI ACHIENI KAYUMBA HUKO TAMISEMI NDO MAZINGIRA YAO TANGU WADOGO.NYIE WAZUNGU PORI😄😄😄ANZISHENI MIRADI!!!
Huku chini hawa watoto wanahitaji uangalizi na msingi mzuri sana.Wajue lugha vyema,na uelewa upanuke

Form 1 kayumba sawa
 
Serikali ya Russia na Tanzania zilitumia makaratasi kugharamia elimu yako? Elimu ni gharama HAIPINGIKI.
Gharama unazoengelea ni zipo Sasa yaani mie kulipiwa em 4M ama kusomeshwa elimu ya juu, sikia elimu ni sawa na bima ya afya tunalipa Kodi watanzania hizo hizo zinakuja kusaidia watu. Kujenga Barabara ama kuletewa maji ama umeme hizo ni huduma basic kwa watu na sharing cost.
Mie siamini kuwa kutumia hela nyingi kulipa ada kuwa ndio mtt anakuwa na uwezo Kama hapendi kusoma ni tizi kubwa ama hana uwezo wa kusoma hata mazingira yangekuwa Kama binguni hawezi toboa.
Tabora boys tulifaulu Ila mchango wa mwalimu ni Kama hakuna kabisa
 
Gharama unazoengelea ni zipo Sasa yaani mie kulipiwa em 4M ama kusomeshwa elimu ya juu, sikia elimu ni sawa na bima ya afya tunalipa Kodi watanzania hizo hizo zinakuja kusaidia watu. Kujenga Barabara ama kuletewa maji ama umeme hizo ni huduma basic kwa watu na sharing cost.
Mie siamini kuwa kutumia hela nyingi kulipa ada kuwa ndio mtt anakuwa na uwezo Kama hapendi kusoma ni tizi kubwa ama hana uwezo wa kusoma hata mazingira yangekuwa Kama binguni hawezi toboa.
Tabora boys tulifaulu Ila mchango wa mwalimu ni Kama hakuna kabisa
100% Fact
 
Gharama unazoengelea ni zipo Sasa yaani mie kulipiwa em 4M ama kusomeshwa elimu ya juu, sikia elimu ni sawa na bima ya afya tunalipa Kodi watanzania hizo hizo zinakuja kusaidia watu. Kujenga Barabara ama kuletewa maji ama umeme hizo ni huduma basic kwa watu na sharing cost.
Mie siamini kuwa kutumia hela nyingi kulipa ada kuwa ndio mtt anakuwa na uwezo Kama hapendi kusoma ni tizi kubwa ama hana uwezo wa kusoma hata mazingira yangekuwa Kama binguni hawezi toboa.
Tabora boys tulifaulu Ila mchango wa mwalimu ni Kama hakuna kabisa
Kijana umesoma Tabora ila uelewa wako ni duni mno. Hujui kuwa binadamu tunatofautiana? Kuna wanaosoma special schools na kuna wanaosoma MEMKWA ila wote wanatafuta elimu.
 
Elimu bora ni nini?
Screenshot_20250124_231421_ChatGPT.jpg
 
Wakuu kuna mtoto wangu kaanza shule mwaka huu, chekechea ada yake ni milioni 1.5 ukijumlisha na vikorokoro vingine inaweza fika jumla milioni 1.7

Sio muumini sana wa hizi shule, ila mama yake ndio aling'ang'ania sana tumpeleke huko baada ya kuona rafiki zake nao wamepeleka watoto wao shule za private na wanaongea kiingereza kingi wakiwa na umri mdogo na pia anasema mtoto tukimpeleka shule za serikali atateseka6

Sasa nimefikiria, kumpeleka mtoto hadi amalize shule ya msingi, then sekondari, je hizo pesa za ada badala ya kumlipia shule ya private nikamhamishia serikalini ambako hata hivyo atakua ananuliwa vitabu na materials nyingine , halafu hiyo ada ya private nikawa naiwekeza kwenye mfuko wa UTT au kununua hisa za kampuni inayofanya vizuri tu kila mwaka, au kuiwekeza kwenyw kununua ardhi

Baaadae mtoto akiwa na miaka 20 ama 25 huko atakuwa na mtaji wa kuanzia maisha halafu connection nitampa mimi kwenye biashara zangu

Pia nimefikiria kumpeleka mtoto shule za kawaida kutamjenga awe 'mgumu' awe na kuweza kumudu mazingira halisi ya mtaano baada ya kumaliza masomo, kuliko mazingira ya kupelekwa na kurudishwa na school bus ambayo hayamjengi

Mimi mwenyewe ni msomi mwenye degree, lakini kazi ninyoifanya haihusiani kabisa na elimu yangu, na ilinibidi ni adapt mtaani japo kwa maumivu na hofu yangu ni kuwa mwanangu naweza kumsomesha kwa gharama kubwa halafu elimu isimsaidie kwenye maisha kama mimi, na akawa hana hata skills za kutoboa mtaani, mimi kutokusoma hizo shule za gharama naamimi kumenisaidia kidogo

Dunia inabadilika, wasomi wengi mtaani kazi hakuna na mbaya zaidi kazi nyingi zitaenda kuwa automated miaka ijayo,
Mpeleke hio shule ya 1.5m halafu endelea kumuwekea hio 1.5m huku utt.
 
Mnahangaika sana aisee.

Anyways mpeleke mtoto Kayumba, ndio uwezo wa baba yake unalingana huko. Don't stretch too much, utataabika

1.5m kwa mwaka ndio ya kufungulia uzi JF? Tena juu ya elimu ya mtoto?
125,000 kwa mwezi.
 
Wakuu kuna mtoto wangu kaanza shule mwaka huu, chekechea ada yake ni milioni 1.5 ukijumlisha na vikorokoro vingine inaweza fika jumla milioni 1.7

Sio muumini sana wa hizi shule, ila mama yake ndio aling'ang'ania sana tumpeleke huko baada ya kuona rafiki zake nao wamepeleka watoto wao shule za private na wanaongea kiingereza kingi wakiwa na umri mdogo na pia anasema mtoto tukimpeleka shule za serikali atateseka6

Sasa nimefikiria, kumpeleka mtoto hadi amalize shule ya msingi, then sekondari, je hizo pesa za ada badala ya kumlipia shule ya private nikamhamishia serikalini ambako hata hivyo atakua ananuliwa vitabu na materials nyingine , halafu hiyo ada ya private nikawa naiwekeza kwenye mfuko wa UTT au kununua hisa za kampuni inayofanya vizuri tu kila mwaka, au kuiwekeza kwenyw kununua ardhi

Baaadae mtoto akiwa na miaka 20 ama 25 huko atakuwa na mtaji wa kuanzia maisha halafu connection nitampa mimi kwenye biashara zangu

Pia nimefikiria kumpeleka mtoto shule za kawaida kutamjenga awe 'mgumu' awe na kuweza kumudu mazingira halisi ya mtaano baada ya kumaliza masomo, kuliko mazingira ya kupelekwa na kurudishwa na school bus ambayo hayamjengi

Mimi mwenyewe ni msomi mwenye degree, lakini kazi ninyoifanya haihusiani kabisa na elimu yangu, na ilinibidi ni adapt mtaani japo kwa maumivu na hofu yangu ni kuwa mwanangu naweza kumsomesha kwa gharama kubwa halafu elimu isimsaidie kwenye maisha kama mimi, na akawa hana hata skills za kutoboa mtaani, mimi kutokusoma hizo shule za gharama naamimi kumenisaidia kidogo

Dunia inabadilika, wasomi wengi mtaani kazi hakuna na mbaya zaidi kazi nyingi zitaenda kuwa automated miaka ijayo,
Mpeleke azimio sm. Hizo fedha peleka utt
 
Gharama unazoengelea ni zipo Sasa yaani mie kulipiwa em 4M ama kusomeshwa elimu ya juu, sikia elimu ni sawa na bima ya afya tunalipa Kodi watanzania hizo hizo zinakuja kusaidia watu. Kujenga Barabara ama kuletewa maji ama umeme hizo ni huduma basic kwa watu na sharing cost.
Mie siamini kuwa kutumia hela nyingi kulipa ada kuwa ndio mtt anakuwa na uwezo Kama hapendi kusoma ni tizi kubwa ama hana uwezo wa kusoma hata mazingira yangekuwa Kama binguni hawezi toboa.
Tabora boys tulifaulu Ila mchango wa mwalimu ni Kama hakuna kabisa
We jamaa umesoma Urusi ipi hata kauandika tu ni shida?

Mbona unataka kutuchota hapa?
 
Back
Top Bottom