Hiyo number 3. Usipuuze mkuu, wanaweza kuwa kitengo maalum TISS, hawa jamaa kila mahali wanaingia hata kama wamesomea linguistic!
Huko huko kivukoni tutawapata wenye vipaji vya uongoziUongozi ni kipaji siyo taaluma
Kivukoni wanazalisha mafisadi na wanafiki tu.Huko huko kivukoni tutawapata wenye vipaji vya uongozi
Hii itakuwa TISS njaa. Walitakiwa watu wao wenye utaalamu wa health ikiwemo medicine. Au ukute hao wana vyeti fake vya health, ikiwemo medicine!Hiyo number 3. Usipuuze mkuu, wanaweza kuwa kitengo maalum TISS, hawa jamaa kila mahali wanaingia hata kama wamesomea linguistic!
Kazi gani ?Ifutwe na kazi zake tukupe wewe na familia yako?
Ukiona hivyo ujue jamaa wanafanya kazi nzuri.
HahahaWale jamaa hawako serious kabisa.
Ile kachumbari mtu yeyote anaweza kutengeneza badala ya kwenda kuinunua kwa hela kubwa namna ile.
Wapo huko kwa kazi maalum.PhD za sociology zinasaidia nini kwenye medical research?
Hapa nampongeza kaka yangu binafsi mwenye phd yake anayoitumia vizuri.... afadhali kidogo taasisi za utafiti za kilimo na mifugo; angalau hawa wameweza kuja na mbegu mbadala za mazao mbalimbali - mahindi, mtama, korosho, n.k. Pia wakulima wanapata mitamba na madume bora ya ng'ombe na mbuzi wa maziwa.
Naanza kukubaliana thread moja ililetwa humu jana kwamba SUA ndio chuo kinachoongoza Tanzana kwa tafiti zake kuwa cited. Wataalamu wengi wa kilimo na mifugo nchini walipitia SUA.
Hujanielewa mkuu? Chimbuko la ukoo wetu ni kijiji jirani na Itegamatwi. Unakujua Mabama? Nimesema jina limenivutia kutokana na maana sio nitokapo.Hahahaha, kwahiyo Itegamatwi ni nyumbani kwenu ?
Yeah mabama napafahamu kwa kina marehemu Chilugwe.Hujanielewa mkuu? Chimbuko la ukoo wetu ni kijiji jirani na Itegamatwi. Unakujua Mabama? Nimesema jina limenivutia kutokana na maana sio nitokapo.
Kazi gani maalumu?Wapo huko kwa kazi maalum.
Siri yao na waliowapeleka hapo.Kazi gani maalumu?
Hii itakuwa TISS njaa. Walitakiwa watu wao wenye utaalamu wa health ikiwemo medicine. Au ukute hao wana vyeti fake vya health, ikiwemo medicine!
Hakuna watu wa kitengo waliosoma biology, medicine, pharmacy ?
Kwa mtu mmoja moja sio shida apelekwe popote akatimize majukum yake, lakini nimri kama taasisi tulitegemea tuone matokeo chanya.Mkuu wapo, lakini tiss ni kama kiraka, anaingia popote wakati wowote, labda kama hujui utendaji wao,
Hawa jamaa sio lazima upelekwe mahali kwa professional yako, nope!
Mimi kuna jamaa namfahamu kasomea mifugo lakini nakuta bandari, Mara namkuta mahotel makubwa as worker, Mara namkuta pale JNIA,Mara namkuta NEC,Mara namkuta NIDA, juzi nimechoka nilimkuta muhimbili, sasa jiulize anaprofessionals zote hizo mkuu?!
Kwa mtu mmoja moja sio shida apelekwe popote akatimize majukum yake, lakini nimri kama taasisi tulitegemea tuone matokeo chanya.
Na ndo maana wanafokewa!
Kama wote ni makachero wabadili jina na tuambiwe kuwa hatuna taasisi inayojihusisha na utafiti tiba.
Mkuu wapo, lakini tiss ni kama kiraka, anaingia popote wakati wowote, labda kama hujui utendaji wao,
Hawa jamaa sio lazima upelekwe mahali kwa professional yako, nope!
Mimi kuna jamaa namfahamu kasomea mifugo lakini mara namkuta bandari, mara namkuta mahotel makubwa as worker, mara namkuta pale JNIA, mara namkuta NEC, mara namkuta NIDA, juzi nimechoka nilimkuta muhimbili, sasa jiulize ana professionals zote hizo mkuu?!
Huko duniani kwa mabeberu hawafanyi hivyo ndio maana wanakuwa na vitengo bora kabisa.Unampelekaje mtu wa kiswahili NIMR! smh.