NIMR ni kimeo, haina faida kwa nchi, ifutwe tu

NIMR ni kimeo, haina faida kwa nchi, ifutwe tu

Hiyo number 3. Usipuuze mkuu, wanaweza kuwa kitengo maalum TISS, hawa jamaa kila mahali wanaingia hata kama wamesomea linguistic!
Hii itakuwa TISS njaa. Walitakiwa watu wao wenye utaalamu wa health ikiwemo medicine. Au ukute hao wana vyeti fake vya health, ikiwemo medicine!
 
... afadhali kidogo taasisi za utafiti za kilimo na mifugo; angalau hawa wameweza kuja na mbegu mbadala za mazao mbalimbali - mahindi, mtama, korosho, n.k. Pia wakulima wanapata mitamba na madume bora ya ng'ombe na mbuzi wa maziwa.

Naanza kukubaliana thread moja ililetwa humu jana kwamba SUA ndio chuo kinachoongoza Tanzana kwa tafiti zake kuwa cited. Wataalamu wengi wa kilimo na mifugo nchini walipitia SUA.
Hapa nampongeza kaka yangu binafsi mwenye phd yake anayoitumia vizuri.
 
Hahahaha, kwahiyo Itegamatwi ni nyumbani kwenu ?
Hujanielewa mkuu? Chimbuko la ukoo wetu ni kijiji jirani na Itegamatwi. Unakujua Mabama? Nimesema jina limenivutia kutokana na maana sio nitokapo.
 
Jamaa kapiga kibiriti kichaka naona mijusi washaanza kutoka upande wa pili.
Sasa ni hivi hilo chaka kadri linavyoendelea kuteketea, angalia kuna vichuguu vina mashimo na wengine mumsaidie kumwagia mafuta ya taa au petrol kwenye hayo mashimo ili Majoka makubwa yaliyojichimbia humo yatoke.
 
Hujanielewa mkuu? Chimbuko la ukoo wetu ni kijiji jirani na Itegamatwi. Unakujua Mabama? Nimesema jina limenivutia kutokana na maana sio nitokapo.
Yeah mabama napafahamu kwa kina marehemu Chilugwe.
 
Kwenye CV ya director general wa nimr, jiwe alibugi sana kama benki kuu pia. Pamoja na mapungufu yake lakini JK alikuwa anajitahidi sana kuteua CEOs smart, ndo maana kukawa na vichwa kama kina Prof Assad. Sasa jiwe anaangalia zaidi ukanda kuliko CV, ingawa huyu Prof Mgaya sio wa kanda ile.
 
Hii itakuwa TISS njaa. Walitakiwa watu wao wenye utaalamu wa health ikiwemo medicine. Au ukute hao wana vyeti fake vya health, ikiwemo medicine!


Vyote vinawezekana!! Sikatai,,, lakini tuseme utawala uliopo umeshindwa kuwabaini hao "watumishi hewa?!"


Any way; Tiss anaweza kuwepo popote bila kujali vyeti, unaweza kukuta kasomea sua, lakini yupo kwenye miradi ya civil constructions, unaweza kuta kasomea mifugo lakini ukamkuta mohans,
 
Hakuna watu wa kitengo waliosoma biology, medicine, pharmacy ?


Mkuu wapo, lakini tiss ni kama kiraka, anaingia popote wakati wowote, labda kama hujui utendaji wao,

Hawa jamaa sio lazima upelekwe mahali kwa professional yako, nope!

Mimi kuna jamaa namfahamu kasomea mifugo lakini mara namkuta bandari, mara namkuta mahotel makubwa as worker, mara namkuta pale JNIA, mara namkuta NEC, mara namkuta NIDA, juzi nimechoka nilimkuta muhimbili, sasa jiulize ana professionals zote hizo mkuu?!
 
Mkuu wapo, lakini tiss ni kama kiraka, anaingia popote wakati wowote, labda kama hujui utendaji wao,

Hawa jamaa sio lazima upelekwe mahali kwa professional yako, nope!

Mimi kuna jamaa namfahamu kasomea mifugo lakini nakuta bandari, Mara namkuta mahotel makubwa as worker, Mara namkuta pale JNIA,Mara namkuta NEC,Mara namkuta NIDA, juzi nimechoka nilimkuta muhimbili, sasa jiulize anaprofessionals zote hizo mkuu?!
Kwa mtu mmoja moja sio shida apelekwe popote akatimize majukum yake, lakini nimri kama taasisi tulitegemea tuone matokeo chanya.

Na ndo maana wanafokewa!

Kama wote ni makachero wabadili jina na tuambiwe kuwa hatuna taasisi inayojihusisha na utafiti tiba.
 
Kwa mtu mmoja moja sio shida apelekwe popote akatimize majukum yake, lakini nimri kama taasisi tulitegemea tuone matokeo chanya.

Na ndo maana wanafokewa!

Kama wote ni makachero wabadili jina na tuambiwe kuwa hatuna taasisi inayojihusisha na utafiti tiba.


Mkuu G.25 kama ni wote au ni wengi wao wana vyeti tofauti na taaluma yao basi hapo kuna shida,

Niliongelea kukuta mtu mmoja unayemfahamu au wawili wa aina hiyo, wengine wanakuwa ni "kitengo!"
 
Huko duniani kwa mabeberu hawafanyi hivyo ndio maana wanakuwa na vitengo bora kabisa.Unampelekaje mtu wa kiswahili NIMR! smh.
Mkuu wapo, lakini tiss ni kama kiraka, anaingia popote wakati wowote, labda kama hujui utendaji wao,

Hawa jamaa sio lazima upelekwe mahali kwa professional yako, nope!

Mimi kuna jamaa namfahamu kasomea mifugo lakini mara namkuta bandari, mara namkuta mahotel makubwa as worker, mara namkuta pale JNIA, mara namkuta NEC, mara namkuta NIDA, juzi nimechoka nilimkuta muhimbili, sasa jiulize ana professionals zote hizo mkuu?!
 
Huko duniani kwa mabeberu hawafanyi hivyo ndio maana wanakuwa na vitengo bora kabisa.Unampelekaje mtu wa kiswahili NIMR! smh.


Ushushu hauitaji udaktari wala uphamacia mkuu,

Upelelezi ni taluuma mtambuka , hapo wako wale wanaowekwa kwenye taaluma hiyohiyo mfano police kuna police ambao ni tiss kama alivyokuwa Diwan Athumani, na wanajeshi ambao ni tiss pia,

lakini sio lazima kila tiss apelekwe kwenye taaluma aliyosomea haiko hivyo mkuu, unaweza kumkuta popote.
 
Back
Top Bottom