Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kinga yetu haina madhara!Hao wanaofanyiwa majaribio wanalipwa?
Bwashee kama unaingelea zile chachandu zenu za NIMR hazijathibitishwaHiyo kinga imethibitishwa wapi?
Futuhi
Sawa bwasheeeHahahaaaa...... Tv iko kiganjani bwashee issue yoyote inayorushwa mubashara inaniambia faster!
Labda angekuwa anatokea Kenya huko. Hawa waandishi wa Tanzania kwa sasa hawana uwezo huo.Mwandishi angemuuliza toka NIMR imeanzishwa walishawahi kutengeneza chanjo au dawa iliyopo sokoni, ambayo imethibitishwa na taasisi huru ya madawa kwamba iko salama kwa matumizi ya binadamu.
ATCL imeanza kwenda china. Sasa na kile kipimo chetu cha uchina sijui itakuwaje.Hujasikia Japan wameionya China isithubutu kuwachanja raia wake?
Hapo Ufipa mpo tayari kwa chanjo ya China bwashee?
Kwa sababu hats wakisoma Na kufikia hadhi ya juu Kama uprofesa bado wanakuwa Ni mambumbumbu.Sasa nimeelewa kwa nini wenye uwezo hawataki watoto wao wasome hapa.
Amandla...
Magufuli amekataza. Wakichanja tu,wamejitoa kuwa raia wa Tanzania.Kwani Watanzania waliopo China hawachanjwi?
Tuanzie hapo bwashee!
Hahahaaaa hapo ndio kwenye mtihani bwashee!ATCL imeanza kwenda china. Sasa na kile kipimo chetu cha uchina sijui itakuwaje.
Mkuu kama ndio hivyo ni kwa nini tumekua tukitumia mabilioni kila mwaka kuagiza madawa ya mafua, upumuaji, athma na magonjwa ya mfumo wa hewa badala ya kutumia tangawizi na limao?Hujui kuwa Tangawizi na Limao imekuwa ikitumika miaka mingi kuponyesha mafua na magonjwa yanayohusiana na upumuaji?? Waulize wazee wako bahati mbaya umekalia kugoogle tu! Watumie wazee watakupa maarifa mengi sana.