Labda akiamua kuyang'oa makalio yake ndo jua halitazamaNa Kagame siyo wa mchezo mchezo. Ni Putin wa Afrika huyu, akiamua kumung'oa mama jua halizami.
Unaota amka utajikojolea😁Na Kagame siyo wa mchezo mchezo. Ni Putin wa Afrika huyu, akiamua kumung'oa mama jua halizami.
Ataweza nchi zingine lakin si hapa, we know his playbook.Na Kagame siyo wa mchezo mchezo. Ni Putin wa Afrika huyu, akiamua kumung'oa mama jua halizami.
Sio rahisi kihivyoNa Kagame siyo wa mchezo mchezo. Ni Putin wa Afrika huyu, akiamua kumung'oa mama jua halizami.
Kuna magari zaidi ya 300 kutoka Rwanda yanabeba Mchanga uliokuja na meli kupitia bandari ya Kigoma kutoka Congo yanapita Kigoma -Kasulu - Kibondo- Kakonko -Nyakanazi. Itakuwa Nchi wanachama tunafiadika siyo bure.sijajua wanajeshi wetu wanafia nini kule DR congo wakati sasa imejulikana bila shaka kwamba wanapigana na wanajeshi wa Rwanda ambayo ni nchi mwanachama wa EAC.
SOLUHISHO ya vita ile ni kuiwekea vikwazo RWANDA na kuifukuza EAC haraka iwezekanavyo.
Mama yetu mpendwa nakuomba uwaondoe haraka watoto wa taifa letu wanaopigana na M23 kule DRC.damu yao inamwagika kwa sababu gani?
View: https://www.youtube.com/watch?v=HHtxvhSPgAQ&t=124s&pp=ygUWdGhlIHBlb3BsZSAgd2hvIGFzayBtZQ%3D%3D
ww ni tahira unae muoverate kagame.....alafu uhamiaji wafanye wawafurushe hawa wakimbiz wa kirund na kirwanda waliojazana huku katavi.....wakimbizi kama mtoa maada hawatakiw kuwepo bongo.Na Kagame siyo wa mchezo mchezo. Ni Putin wa Afrika huyu, akiamua kumung'oa mama jua halizami.
Ikola Mwese Katuma nkww ni tahira unae muoverate kagame.....alafu uhamiaji wafanye wawafurushe hawa wakimbiz wa kirund na kirwanda waliojazana huju katavi.....wakimbizi kama mtoa maada hawatakiw kuwepo bongo.
yan huku wamejaa wakimbizi kibao sana uhamiaji shtukenIkola Mwese Katuma nk