Nimwombe Rais Samia awaondoe haraka wanajeshi wetu kule DRC Congo. Mnapigana na nchi ya EAC

Nimwombe Rais Samia awaondoe haraka wanajeshi wetu kule DRC Congo. Mnapigana na nchi ya EAC

Sijajua wanajeshi wetu wanafia nini kule DR congo wakati sasa imejulikana bila shaka kwamba wanapigana na wanajeshi wa Rwanda ambayo ni nchi mwanachama wa EAC.

SOLUHISHO ya vita ile ni kuiwekea vikwazo RWANDA na kuifukuza EAC haraka iwezekanavyo.

Mama yetu mpendwa nakuomba uwaondoe haraka watoto wa taifa letu wanaopigana na M23 kule DRC.damu yao inamwagika kwa sababu gani?


View: https://www.youtube.com/watch?v=HHtxvhSPgAQ&t=124s&pp=ygUWdGhlIHBlb3BsZSAgd2hvIGFzayBtZQ%3D%3D

Rwanda ni sehemu tu ya mzozo ila matatizo ya Drc ni zaidi ya Rwanda.

zitto junior JokaKuu imhotep Richard
 
..nakubaliana na hoja zako zote ila hoja ya annexation ya sehemu ya DRC inanipa ukakasi.

..serikali ya DRC itawajibika kuweka mifumo ya kiutawala na kiulinzi baada ya SADC kuwafukuza hao wanaitwa waasi.

..pia kuwepo kwa demilitarized zone mpakani kwa DRC ili nchi yeyote isipate kisingizio kwamba jirani anapanga kumvamia.

NB:

..Eastern DRC ni shamba la Bibi la Kagame na Museveni. Wamekuwa mabilionea kwa kuiba madini ya DRC. Maokoto wanayoyapata DRC ndio yanawezesha kung'ang'ania madarakani.
There are only two ending scenarios

1. Ni hiyo ambayo wewe, mimi na watu wote wanaoitakia Congo mema kuona serikali yao ina control hiyo region. Trouble is they are not fully committed, matokeo yake kila siku nchi zingine zinapeleka askari, wakiondoka na vikundi vya waasi vinarudi hali hii itaendelea mpaka lini?

2. Waasi (and Kagame) wanataka annexation ya eneo not ideal for Congo; ila halina madhara kwetu we have tried our best to prevent that from happening lakini serikali ya Congo aibebeki huo ukweli ifike hatua tuukubali pia and focus on planning what kind of a relationship we want (as mitigating strategy) na hiyo nchi mpya should the rebel succeed.

Lakini ku-commit jeshi kusaidia Congo indefinitely what do we gain zaidi ya loss of lives tu and probably war costs sidhani kama SADC wana military budget inayochangiwa na nchi yeyote ambayo inatumika kwenye mission yeyote zaidi ya kutoa hela kutoka mfukoni kwako tu.
 

View: https://m.youtube.com/watch?v=g8RyEDJeM3I

Ukiingia YouTube kuna video mpaka za hao M23 wenyewe kusema wanaachia maeneo, kuna video za wananchi kutoamini wakijua ni swala la muda tu watarudi.

Ukiingia YouTube kuna unlimited narrative and perspectives you want to hear on what Kenya achieved in short space of time.

Heshima mkuu, lakini kuhusu hili sina sababu kabisa ya kuingia youtube kama unavyo nishauri. Kenya walifanya utapeli wa hali ya juu sana na kumdanyanya Tishekedi kuwa watakwenda kupambana na M23. Walipofika Goma wimbo ukabadilika na kusema wao hawakuja kupigana vita bali kulinda amani. Hakuna mahali popote Kenya alipowasambaratisha M23, bali walianza kushirikiana na M23 na kukubaliana M23 aondoke baadhi ya maeneo kimkakati, ili kuhadaa serikali ya Congo.

Unanishangaza sana unapo sifia mafanikio waliyopata Kenya kwa kazi waliyofanya Congo, wakati imelazimika waondoke kwa aibu kubwa baada ya kustukiwa udanganyifu waliokuwa wakiufanya.
Huyo Nyaga unayemwonyesha hapo, hivi hujui alivyoondoka Congo kwa aibu?
 
Na Kagame siyo wa mchezo mchezo. Ni Putin wa Afrika huyu, akiamua kumung'oa mama jua halizami.

PK aliwahi kumwambia JK, I will hit you!. JK hakutia neno.

We mtutsi acha kujidanganya..
 
Aaah wapi acheni mikwara...
EeeenHeeee, jamaa wanavyo pamba, kwa mtu asiyejuwa haya atadhani Kagame kweli ni Putin wa hapa!
Hapana, labda ingefaa kumfananisha na Netanyahu wa hapa, kwa sababu hiyo ndiyo 'model' muhimu anayo ifuata yeye.
Ulinganisho pekee na Putin, labda ni huko kutaka maeneo ya jirani ya nchi zinazomzunguka ambako watu wa asili ya Rwanda wamejipenyeza kwa wingi.
 
Heshima mkuu, lakini kuhusu hili sina sababu kabisa ya kuingia youtube kama unavyo nishauri. Kenya walifanya utapeli wa hali ya juu sana na kumdanyanya Tishekedi kuwa watakwenda kupambana na M23. Walipofika Goma wimbo ukabadilika na kusema wao hawakuja kupigana vita bali kulinda amani. Hakuna mahali popote Kenya alipowasambaratisha M23, bali walianza kushirikiana na M23 na kukubaliana M23 aondoke baadhi ya maeneo kimkakati, ili kuhadaa serikali ya Congo.

Unanishangaza sana unapo sifia mafanikio waliyopata Kenya kwa kazi waliyofanya Congo, wakati imelazimika waondoke kwa aibu kubwa baada ya kustukiwa udanganyifu waliokuwa wakiufanya.
Huyo Nyaga unayemwonyesha hapo, hivi hujui alivyoondoka Congo kwa aibu?

View: https://m.youtube.com/watch?v=47L5nstXb24&pp=ygUJbTIzIGtlbnlh

Kenya wamepigana na M23 maeneo kadhaa hadi kupoteza askari.

Wacha political theories mkuu, facts on what transpired zipo; mpaka video za wenyeji wa maeneo ya walipokuwa M23 na kukimbia wakielezea mapigano, video za jeshi la Congo wakiongea kuchukua hayo maeneo.

Like I told every narrative and perspective ipo ukitaka kujua Kenya walicho achieve ndani ya muda wao.
 

View: https://m.youtube.com/watch?v=47L5nstXb24&pp=ygUJbTIzIGtlbnlh

Kenya wamepigana na M23 maeneo kadhaa hadi kupoteza askari.

Wacha political theories mkuu, facts on what transpired zipo; mpaka video za wenyeji wa maeneo ya walipokuwa M23 na kukimbia wakielezea mapigano, video za jeshi la Congo wakiongea kuchukua hayo maeneo.

Like I told every narrative and perspective ipo ukitaka kujua Kenya walicho achieve ndani ya muda wao.

Mkuu, nikuache kama ulivyo, kwa sababu hujui unacho andika. Huyo askari alikufa kwa ajali, hayakuwa mapambano na M23.
Hapakuwepo na uhasama wowote kati ya Kenya na M23 kiasi kwamba askari wa Kenya kuuawa kwenye mapambano.

Mkuu 'Mayor' ninakufahamu muda mrefu humu JF, wewe ni mbishi hata katika mambo yaliyo wazi kabisa.
 
There are only two ending scenarios

1. Ni hiyo ambayo wewe, mimi na watu wote wanaoitakia Congo mema kuona serikali yao ina control hiyo region. Trouble is they are not fully committed, matokeo yake kila siku nchi zingine zinapeleka askari, wakiondoka na vikundi vya waasi vinarudi hali hii itaendelea mpaka lini?

2. Waasi (and Kagame) wanataka annexation ya eneo not ideal for Congo; ila halina madhara kwetu we have tried our best to prevent that from happening lakini serikali ya Congo aibebeki huo ukweli ifike hatua tuukubali pia and focus on planning what kind of a relationship we want (as mitigating strategy) na hiyo nchi mpya should the rebel succeed.

Lakini ku-commit jeshi kusaidia Congo indefinitely what do we gain zaidi ya loss of lives tu and probably war costs sidhani kama SADC wana military budget inayochangiwa na nchi yeyote ambayo inatumika kwenye mission yeyote zaidi ya kutoa hela kutoka mfukoni kwako tu.

1. Rwanda na Uganda wanatoa wapi budget ya kufadhili maasi dhidi ya DRC? Kama budget ya kufadhili maasi ipo, basi budget ya kuzima uasi lazima chanzo chake kip.

2. DRC wataweza kusimika mifumo ya ulinzi, usalama, na utawala, ikiwa kutakuwa na mazingira ambako hakuna uasi. Hata jeshi letu Jwtz lilianzishwa baada ya uasi wa Tanganyika Rifles kuzimwa na Muingereza, na Nyerere kuwa na " space " ya kufanya what was needed to be done.
 
Sijajua wanajeshi wetu wanafia nini kule DR congo wakati sasa imejulikana bila shaka kwamba wanapigana na wanajeshi wa Rwanda ambayo ni nchi mwanachama wa EAC.

SOLUHISHO ya vita ile ni kuiwekea vikwazo RWANDA na kuifukuza EAC haraka iwezekanavyo.

Mama yetu mpendwa nakuomba uwaondoe haraka watoto wa taifa letu wanaopigana na M23 kule DRC.damu yao inamwagika kwa sababu gani?


View: https://www.youtube.com/watch?v=HHtxvhSPgAQ&t=124s&pp=ygUWdGhlIHBlb3BsZSAgd2hvIGFzayBtZQ%3D%3D

Labda angekuwa Membe,Kagame alihakikisha kamtoa Membe kwanza,huyo Mama anamugopa sana Kagame
 
Sijajua wanajeshi wetu wanafia nini kule DR congo wakati sasa imejulikana bila shaka kwamba wanapigana na wanajeshi wa Rwanda ambayo ni nchi mwanachama wa EAC.

SOLUHISHO ya vita ile ni kuiwekea vikwazo RWANDA na kuifukuza EAC haraka iwezekanavyo.

Mama yetu mpendwa nakuomba uwaondoe haraka watoto wa taifa letu wanaopigana na M23 kule DRC.damu yao inamwagika kwa sababu gani?


View: https://www.youtube.com/watch?v=HHtxvhSPgAQ&t=124s&pp=ygUWdGhlIHBlb3BsZSAgd2hvIGFzayBtZQ%3D%3D

Acha kuishi na kuwaza kawaida bro! Jiulize kwanza, Haiti ni ndogo kama chalinze, ipo pembezoni mwa, USA, kwanini USA hapeleki majeshi yake pale kutuliza Amani? Kama, aliweza, kupeleka Afghanistan, Iraq, nk kwanini sio Haiti? Ila anatoa pesa anaipa Kenya ipereke polisi!
Why! Congo hapo ni Vita ya maslahi, Rwanda haina economic muscles ya kuendesha Vita na Ku support M23, kuna powerful non state players wapo nyuma!
Hapo ni tpdf kukiwasha, kwa, akili, na kuiba jspo madini kidogo, kama tuliweza kuikomboa kusini mwa Afrika, hatushindwi Congo,
Hao Rwanda walienda Mozambique, kutuliza magaidi, Hari imekuwa tete wamekimbia,
 
Na Kagame siyo wa mchezo mchezo. Ni Putin wa Afrika huyu, akiamua kumung'oa mama jua halizami.

PK aliwahi kumwambia JK, I will hit you!. JK hakutia neno.
Endeleeni kudanganyanq hapo kiyovu
 
Sijajua wanajeshi wetu wanafia nini kule DR congo wakati sasa imejulikana bila shaka kwamba wanapigana na wanajeshi wa Rwanda ambayo ni nchi mwanachama wa EAC.

SOLUHISHO ya vita ile ni kuiwekea vikwazo RWANDA na kuifukuza EAC haraka iwezekanavyo.

Mama yetu mpendwa nakuomba uwaondoe haraka watoto wa taifa letu wanaopigana na M23 kule DRC.damu yao inamwagika kwa sababu gani?


View: https://www.youtube.com/watch?v=HHtxvhSPgAQ&t=124s&pp=ygUWdGhlIHBlb3BsZSAgd2hvIGFzayBtZQ%3D%3D

Mbona huwa mnasema jeshi letu ni imara kuliko la Rwanda, sasa inakuwaje wanaingiza ubaridi tena? Au jeshi letu ni dhabiti kwenye kudhibiti rais wasio na silaha ambao hawaikubali ccm?
 
Bahima Empire,Plundering and piracy ya resources ndio msingi mkubwa wa mauaji ya raia wasio na hatia..

Hatuwezi kuwa salama kama nchi ikiwa tutabariki uharamia wa rasilimali kwa wenzetu (DRC) wenye impact kubwa kwenye uchumi wetu..Logistics infrustructure and trade.

Tukizembea na kujizima data ipo siku M24 wataingia Ngara,Geita,Kahama,Biharamulo..
Hapo ndio utaona Kwa mara ya kwanza iskanda inarushwa kutoka 93kj pale Ilolangulu
 
Mbona huwa mnasema jeshi letu ni imara kuliko la Rwanda, sasa inakuwaje wanaingiza ubaridi tena? Au jeshi letu ni dhabiti kwenye kudhibiti rais wasio na silaha ambao hawaikubali ccm?
Ni vile maazimio ya kuzuia mashambulizi ila JW Wana wapa laha sana hao mgambo wa chigali
 
Back
Top Bottom